hiyo ya 2 jamaa anaitwa konda msafi na demu wake khumbu mwenye takoNakumbuka tu matukio.
1. Fimbo au ubao wa Babu wa Msumbuji.
2. Ipo ya Mapenzi ..jamaa alivyopenda dada huko kwa Madiba.
3. Ipo nyingine ya kusaka utajiri kwenye misitu ya Njombe.
Wadau waliokumbuka hizi kwa majina ya wasimuliaji watataja.
Kimsingi ziko nyingi sana za kusisimua.
Usijali nitakusomea kwa bed [emoji4][emoji4]Huu uzi ungependeza zaidi kama mngeweka link ya kila story
Natanguliza shukrani.
Halafu vijana wanaimba humuUsijali nitakusomea kwa bed [emoji4][emoji4]
Na usiwaambie waache hivyo hivyo waendelee kukosa vitamu. Raha ya vitamu muwe wachacheHalafu vijana wanaimba humu
"Kataa ndoa"
Wangejua ninavyofaidi..
Yani ni kimya kimya mwendo wa Magwea wifeNa usiwaambie waache hivyo hivyo waendelee kukosa vitamu. Raha ya vitamu muwe wachache
Vyovyote utakavyopenda wewe babeYani ni kimya kimya mwendo wa Magwea wife
Ila sasa najiuliza tutaanza na story au storii[emoji39]
Maashallah kipenzi, unaniweza!Vyovyote utakavyopenda wewe babe
Si unajuaga neno lako kwangu sheria