JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

hivi inakuwaje mnasema hajafilisika wakati kaonekana akigombea daladala pale akiba? Tyta wawekee ushaidi hawa

Akiba nagombea daladala nikielekea wapi? Makazi yangu ni jirani na Paw kule BLUE DIAMOND OF TANZANIA a.k.a KIGAMBONI.
 
Last edited by a moderator:
Akiba nagombea daladala nikielekea wapi? Makazi yangu ni jirani na Paw kule BLUE DIAMOND OF TANZANIA a.k.a KIGAMBONI.

aaah! kile kituo cha pale baridi hukugombania gari pale wewe?
 
Last edited by a moderator:
Hakuna udaku hapo bhana!
Mbona yote ya kweli
 
Lady doctor nina wasiwasi na member mmoja anajiita Filipo. Cc: Arushaone



Na sasa yupo studio akifanya remix wimbo wa NAKOMAA NA JIJI wa msanii Shilole.



I think unanifananisha na Money Stunna Cc: shem badiebey

Ushajibiwa... thanks mai waifu mwallu. #SINAGA-MICHEPUKO



I think the real culprit is Munkari. Meanwhile Vin Diesel yu safarini kuelekea Arusha, kuziba pengo lililoachwa (talk of #fursa )



Huyu pia inasemekana alikuwa anapeleka posa kwa wachumba wawili kwa mpigo.


Nicas Mtei...kana mimba hii nikuumbue.



Senkyu...!!!


Ha ha ha...umesikia mie mtaalamu wa kuziba mapengo eeeeh.
 
hivi inakuwaje mnasema hajafilisika wakati kaonekana akigombea daladala pale akiba? Tyta wawekee ushaidi hawa
Mentor si anakaa alikowaambia magufuli wapige mbizi?daladala yeye wapi na wapi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom