Pinkman
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 712
- 1,571
Waheshimiwa habari zenu.
Hapo zamani za kale..2013 nil
ikuwa member wa jf.
Nilifanyaga ujinga wa kipumbavu eti natafuta mke na wakati nilikuwa nimeoa.
Pm nilikuwa natongoza kila mtu.
Ebwana eeh kilichonipataga....
Kweli jf ukikurupuka utaishia kubadili I'd kila siku.
Je ni kitu gani ulichokifanya kupitia jf kinachokufanya ujute??
Binafsi natamani siku zirudi nyuma nika correct nilipofanya mashudu.
Usiku mwema.
Hapo zamani za kale..2013 nil
ikuwa member wa jf.
Nilifanyaga ujinga wa kipumbavu eti natafuta mke na wakati nilikuwa nimeoa.
Pm nilikuwa natongoza kila mtu.
Ebwana eeh kilichonipataga....
Kweli jf ukikurupuka utaishia kubadili I'd kila siku.
Je ni kitu gani ulichokifanya kupitia jf kinachokufanya ujute??
Binafsi natamani siku zirudi nyuma nika correct nilipofanya mashudu.
Usiku mwema.