Jf ukikurupuka utatamani kubadili ID

Pinkman

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
712
Reaction score
1,571
Waheshimiwa habari zenu.
Hapo zamani za kale..2013 nil
ikuwa member wa jf.
Nilifanyaga ujinga wa kipumbavu eti natafuta mke na wakati nilikuwa nimeoa.
Pm nilikuwa natongoza kila mtu.
Ebwana eeh kilichonipataga....
Kweli jf ukikurupuka utaishia kubadili I'd kila siku.

Je ni kitu gani ulichokifanya kupitia jf kinachokufanya ujute??

Binafsi natamani siku zirudi nyuma nika correct nilipofanya mashudu.
Usiku mwema.
 
Hahahahaha pole mkuu tunajifunza kutokana na makosa

Wengine wakibwagwa wanafungua ID mpya, mwingine ana mtu wake na password ya ID anayo kiasi fulani inapunguza uhuru aaah ya nini ni kufungua ID mpya

kila mtu ana sababu yake
 
Hahahaha.
Mimi siwezi kubadili I'd hata iweje.
Ila kuna mijitu mipumbavu najuta hata kuijua.
Hata hivyo wengine tumenuniana na wengine tunachekeana kinafki.
Unafki unafkini.
Mmewahi kuonana in person ?
 
Kwahiyo ulikuwa waona ufahari kutongoza ilhali una mke?


Ila ngoja nisubiri watu wakitoa ushuhuda hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…