JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Hata mimi hili shaliwaza ujue, haswa kwenye kubadili id unakuja na id nyingine alafu baby wako anakutokea tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Haha hivi wanawake hawana multiple Id? Mara mnakutana wenyewe mnaokulanaga hehehe ila hii lazima imeshawahi kutokea sema wahusika tu waliamua kupiga kimya
 
Kwakweli, kumbe kina Kaboom wanatupanga foleni wakati wengine mpo tu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
WALE AMBAO HUU UZI UKAE HATA HADI MWAKANI TUTAAMBULIA PATUPU

TUKUTANE TUJIULIZE TUNAKOSEA WAPI NA TUBORESHE NINI[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwakweli, kumbe kina Kaboom wanatupanga foleni wakati wengine mpo tu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
mkiletaga jeuri dawa ni kuwabeba mshikaki wa kimya kimya bila kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…