JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Hahahaaaaa! Hawa masikini wenzetu taabu tupu.
 
Dota asipomtaja mimi namtaja, alafu Nalendwa nae ni huyo huyo ninaemkubali mimi ndio na yeye anamkubali. Aje hapa amtaje.
 
Nita kuacha ikukaze alafu naikata ukianza kujinyea ili ukipate cha mtema kuni. Alafu tunakupeleka ukashughulikiwe na Jamhuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kwan kamba ya kujining'iniza sinayo[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jingalao si ndio eeeh[emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23]povu shoga hahahahahhaha... ukija siasan.utamuona..baba smart haijapata tokea toka ulimwengu kuumbwa!hana matusi hachambi anatemba facts tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…