Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mi anipe hela tu, hayo mengine atajua mwenyewe.
hahahahahabhaabhqhaaa espy nakufa mm jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahabhaabhqhaaa espy nakufa mm jaman
Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]
Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)
Mi anipe hela tu, hayo mengine atajua mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hd nimekaaa khaa ww mtoto
Eeeh wapenda ubuyu hawapatagi magonjwa ya presha teh
Yani nikunyweshe bure bure!! Haki utatapika yooote hadi nione nyongo ndio nakuacha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe waelewa eh..hawa wa huku wapo shallow sana ... hahahhaa wew litoto wewe..umefunguka km vyoteeee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!@heaven sent ukuje mtaje na ww wakwako nami nimtaje kwani sh ngap bwana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kwan kamba ya kujining'iniza sinayo[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]povu shoga hahahahahhaha... ukija siasan.utamuona..baba smart haijapata tokea toka ulimwengu kuumbwa!hana matusi hachambi anatemba facts tu
Dota asipomtaja mimi namtaja, alafu Nalendwa nae ni huyo huyo ninaemkubali mimi ndio na yeye anamkubali. Aje hapa amtaje.
Aisee ngoja nianze kushinda jukwaa la siasaMe ndo nipo namtongoza tongoza pm kwake, sasa nikimtaja kabla anaweza kupeperuka
Shinda mwayaAisee ngoja nianze kushinda jukwaa la siasaMe ndo nipo namtongoza tongoza pm kwake, sasa nikimtaja kabla anaweza kupeperuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman niachien huyu jaman khaaa!
Daah ahsante sana kwa taarifa madameShinda mwaya
Huko kuna wanaume wa shoka na wanaume wa nguvu
unaona sasa... na wakt mwenzako nataka mapenźi shata shata[emoji4]
HahahhahaHahahaaaaa! Hawa masikini wenzetu taabu tupu.
Karibu.Daah ahsante sana kwa taarifa madame
Nilivyo active hivi; nishaanza kazi instantlyKaribu.
Na uifanyie kazi taarifa yangu
Mi napingaShinda mwaya
Huko kuna wanaume wa shoka na wanaume wa nguvu