Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
ukweli ndo huo... kukesha MMU kwa men mie sipend..😥!akeshe jukwaa za siasa huko au international forums🤘😀😁changamsha genge?Ukweli ni upi sasa?
Jirani tatizo wewe mgumu hutusifiagi.Ina maana hakuna aliyenitaja mpaka sasa?
Ambae hajatajwa hadi sasa hivi anyooshe kidole nimwambie tatizo lake ni nini hadi hajatajwa
ukweli ndo huo... kukesha MMU kwa men mie sipend..[emoji26]!akeshe jukwaa za siasa huko au international forums[emoji869]
Rafiki Daby hajatajwa![emoji2089][emoji2089][emoji2089]Ambae hajatajwa hadi sasa hivi anyooshe kidole nimwambie tatizo lake ni nini hadi hajatajwa
😊😊😊 ndo hawa wanaokesha piemu..anatongoza wadada 5 kwa mpgo.. alafu kuna tabia naiona humu kwa wakaka..anakujia pm anakuambia eti manengelo mdada gan humu wamfaham kwa sura? na kati ya hao nani kisu? naulizwaga zaid ya mara nying tu..yaan hapo anataka akatongoze...mxiew..Sasa bibie unataka MMU tukeshe peke yetu haitanoga ujue
Itakuwa huna nyotaIna maana hakuna aliyenitaja mpaka sasa?
Si utaje hata sub zake?Nikimuandika hapa nitaongeza jam pm kwake, ila bonge la bwana kuanzia madini kichwani, roho nzuri, umbo, rangi yake sasa kama anaogea maziwa, njoo kwenye pesa yaani madolari kama yote.
We mwanaume nakujua unaweza ukalike hapa, naomba usilike msukuma wangu.
Diiiiih watu hamnazo kumbe huhuhuh na mimi nitakuja unipe hao visu[emoji4][emoji4][emoji4] ndo hawa wanaokesha piemu..anatongoza wadada 5 kwa mpgo.. alafu kuna tabia naiona humu kwa wakaka..anakujia pm anakuambia eti manengelo mdada gan humu wamfaham kwa sura? na kati ya hao nani kisu? naulizwaga zaid ya mara nying tu..yaan hapo anataka akatongoze...mxiew..
yan ushamba na utoto..kwann usiende tu maenyew kwa mhusika..hahaha mie nasemaga wote visu kazi kwakoDiiiiih watu hamnazo kumbe huhuhuh na mimi nitakuja unipe hao visu
Sure.....kwanza,mapenzi ni hisia sasa sijui huo ukisu/uzuri au ubaya unanafasi gani kwenye mahusiano,huwa sielewi kabisayan ushamba na utoto..kwann usiende tu maenyew kwa mhusika..hahaha mie nasemaga wote visu kazi kwako
yan ushamba na utoto..kwann usiende tu maenyew kwa mhusika..hahaha mie nasemaga wote visu kazi kwako
yan ushamba na utoto..kwann usiende tu maenyew kwa mhusika..hahaha mie nasemaga wote visu kazi kwako
HahaaaahahaaJirani tatizo wewe mgumu hutusifiagi.
Watoto wanakuja hadi pm unawatimua ujue.