General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Mimi sijatajwaAmbae hajatajwa hadi sasa hivi anyooshe kidole nimwambie tatizo lake ni nini hadi hajatajwa
whyMhh nashindwa hata ku tag.
Nikimuandika hapa nitaongeza jam pm kwake, ila bonge la bwana kuanzia madini kichwani, roho nzuri, umbo, rangi yake sasa kama anaogea maziwa, njoo kwenye pesa yaani madolari kama yote.
We mwanaume nakujua unaweza ukalike hapa, naomba usilike msukuma wangu.
We mkali halafu unachagua sanaMimi sijatajwa
Kila mtu ana tatizo lakeHahahaha
Hebu taja tatizo nn kwa faida ya sie wengine
Mie langu likoje maana sijatajwaKila mtu ana tatizo lake
Hahahaha, langu likojeKila mtu ana tatizo lake
We mkali halafu unachagua sana
Nyoooo. Ukinichit kisisimame
Shikamoo Dada!!I’m right here babe
Marahaba mdogo wanguShikamoo Dada!!
Umejuaje mi mkali?
Sijawahi chagua mm
Comments zako
Umekosea,
Zisome comments vizuri!!
Wewe umetajwaMie langu likoje maana sijatajwa
Unazidi kukoseaa,Usiwe mbishi sasa
"kisisimame"??
Ni Kibamia au??
[emoji4][emoji4][emoji4] ndo hawa wanaokesha piemu..anatongoza wadada 5 kwa mpgo.. alafu kuna tabia naiona humu kwa wakaka..anakujia pm anakuambia eti manengelo mdada gan humu wamfaham kwa sura? na kati ya hao nani kisu? naulizwaga zaid ya mara nying tu..yaan hapo anataka akatongoze...mxiew..
Funguka mama..[emoji23][emoji23]Hahahahaa. Kuna mtu kaniambia pia eti mmoja alienda kumuuliza vipi unamjua mzigua? hapo hapo anamtongoza yeye. Mwingine oooh nasikia mzigua anagawa sana huku akajibiwa sijui. Kumbe nae alishatongoza akala cha mbavu akaenda kujiosha kule kwingine kwamba mi sio mchoyo ili atongoze.
Mwanaume unaogopa kutongoza unataka utongozwe au? Maswala ya kisu au panga butu ni wewe na uthubutu wako tu. Halafu kisu ni mtu anavyoona. Naweza sema manengelo kisu kumbe kwa mwingine atamuona wa kawaidaaa.
Kaka jifanye kama hujaona. Ila shemeji yako hawezi kuwa na kibamia