JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Hahahaha
We kibokoooo,
Kula na wenzio
Nikimuandika hapa nitaongeza jam pm kwake, ila bonge la bwana kuanzia madini kichwani, roho nzuri, umbo, rangi yake sasa kama anaogea maziwa, njoo kwenye pesa yaani madolari kama yote.

We mwanaume nakujua unaweza ukalike hapa, naomba usilike msukuma wangu.
 
Hahahahaa. Kuna mtu kaniambia pia eti mmoja alienda kumuuliza vipi unamjua mzigua? hapo hapo anamtongoza yeye. Mwingine oooh nasikia mzigua anagawa sana huku akajibiwa sijui. Kumbe nae alishatongoza akala cha mbavu akaenda kujiosha kule kwingine kwamba mi sio mchoyo ili atongoze.
Mwanaume unaogopa kutongoza unataka utongozwe au? Maswala ya kisu au panga butu ni wewe na uthubutu wako tu. Halafu kisu ni mtu anavyoona. Naweza sema manengelo kisu kumbe kwa mwingine atamuona wa kawaidaaa.
[emoji4][emoji4][emoji4] ndo hawa wanaokesha piemu..anatongoza wadada 5 kwa mpgo.. alafu kuna tabia naiona humu kwa wakaka..anakujia pm anakuambia eti manengelo mdada gan humu wamfaham kwa sura? na kati ya hao nani kisu? naulizwaga zaid ya mara nying tu..yaan hapo anataka akatongoze...mxiew..
 
Hahahahaa. Kuna mtu kaniambia pia eti mmoja alienda kumuuliza vipi unamjua mzigua? hapo hapo anamtongoza yeye. Mwingine oooh nasikia mzigua anagawa sana huku akajibiwa sijui. Kumbe nae alishatongoza akala cha mbavu akaenda kujiosha kule kwingine kwamba mi sio mchoyo ili atongoze.
Mwanaume unaogopa kutongoza unataka utongozwe au? Maswala ya kisu au panga butu ni wewe na uthubutu wako tu. Halafu kisu ni mtu anavyoona. Naweza sema manengelo kisu kumbe kwa mwingine atamuona wa kawaidaaa.
Funguka mama..[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom