JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Kufuatilia mwandiko tukaigundua id yake famous humu. Walah huwezi kumdhania kabisaaaaaaaaa. Akiwa humu utasema boonge la mtu kumbe kiazi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaah. Hahahahaaaaa. Kumbe mshenzi kaja tongoza tu. Wanaume wako na kazi wallah.
 
Hahahahahahaaa. Kwahiyo na nyie sasa hivi mnamchora tu eeeh. Kujikuta bonge la bwana kumbe nyau tuu
Kufuatilia mwandiko tukaigundua id yake famous humu. Walah huwezi kumdhania kabisaaaaaaaaa. Akiwa humu utasema boonge la mtu kumbe kiazi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na walaaaa hatukumstua, tukamuacha tu. Tunamchora tu.
Hahahahaaa. Sio nanihii kweli. Maana nimesikia kuna jamaa ana ID mbili ya kitambo na ya miaka miwili mitatu nyuma. Sasa huwa anatongozea zote. Kama unayumba yumba unaweza jikuta umemkubali mtu mmoja kwa ID zake mbili. Hahahahaaa. Sema huu mchezo wa ID mbili naona mzuri sana. Unachora tu watu
 
Hahahahaaa. Sio nanihii kweli. Maana nimesikia kuna jamaa ana ID mbili ya kitambo na ya miaka miwili mitatu nyuma. Sasa huwa anatongozea zote. Kama unayumba yumba unaweza jikuta umemkubali mtu mmoja kwa ID zake mbili. Hahahahaaa. Sema huu mchezo wa ID mbili naona mzuri sana. Unachora tu watu
Haha na mimi nitengeneze Id mbili nini niwe nawachora vibaka ila mimi nitakamatwa siku mbili tu maana siwezi kuwa natumia akili kubwa kuingia tu Jf kama vile nipo chumba cha mtihani
 
Mi mwenyewe nitadakwa. Kwanza nitashindwa kubadilisha mwandiko. Wenye ID zaidi ya moja nawapa heko kwa kweli wanayaweza. Siku nikila ban labda nitaongeza ID ya pili. Ila sasa hivi nehiii sitaki kuishi najishtukia watu wasinigundue
Haha na mimi nitengeneze Id mbili nini niwe nawachora vibaka ila mimi nitakamatwa siku mbili tu maana siwezi kuwa natumia akili kubwa kuingia tu Jf kama vile nipo chumba cha mtihani
 
Hahahàaaaa!! Tena wakati mwingine unakuta id zote zina muda tu humu hata sio mpya, multiple ids zina balaa acha tu.

Nikikukubali kwa id zote mbili inabidi usiniache maana hiyo ni match made in heaven.
Hahahahaaa. Sio nanihii kweli. Maana nimesikia kuna jamaa ana ID mbili ya kitambo na ya miaka miwili mitatu nyuma. Sasa huwa anatongozea zote. Kama unayumba yumba unaweza jikuta umemkubali mtu mmoja kwa ID zake mbili. Hahahahaaa. Sema huu mchezo wa ID mbili naona mzuri sana. Unachora tu watu
 
Mie yaani ndio unanikamata asubuhi na mapema walah na hivyo sinaga kumbukumbu!! Unaweza kummetion espy nikajikuta nimekujibu na fekero nikaunguza picha[emoji23][emoji23][emoji23]

Ila watu wana kazi jamani, huo muda na akili wangeutumia kwenye mambo ya msingi Tz tungekuwa mbali sana.
Haha na mimi nitengeneze Id mbili nini niwe nawachora vibaka ila mimi nitakamatwa siku mbili tu maana siwezi kuwa natumia akili kubwa kuingia tu Jf kama vile nipo chumba cha mtihani
 
Nilikulaga ban nikafungua id nyingine, khaaah si nikasahau password yake!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mi mwenyewe nitadakwa. Kwanza nitashindwa kubadilisha mwandiko. Wenye ID zaidi ya moja nawapa heko kwa kweli wanayaweza. Siku nikila ban labda nitaongeza ID ya pili. Ila sasa hivi nehiii sitaki kuishi najishtukia watu wasinigundue
 
Back
Top Bottom