JF Valentines Day

JF Valentines Day

Ana zaidi ya wanne?.....ngoja nksiwataje.....hehehehee.

Michelle karibu tufurahie valentine pamoja...au wasemaje bana.
Aisee mkoloni wiki hii naona ameniamulia kama sio kunitoa utumbo basi atanitoa maini
 
nilikuona mpz kakasirika jana una-dedicate ''Kill em by Drake''......shem in short mi sikufagilii kivile na hivi ndo nishapata mwingine yaani....:A S thumbs_down:
:twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::twitch::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
 
Chipukizi na hiyo miondoko yake mbona kazi itakuwepo baada ya kinywaji kufika mahali pake,tutahakikisha inakuwa zaidi ya wenye wapenzi wao wa muda mrefu walioisha chokana....l.o.l


:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
 
Aisee mkoloni wiki hii naona ameniamulia kama sio kunitoa utumbo basi atanitoa maini

Pole mkuu! Wakiondoka na maini mzee wa weweeeeeee si atarudi marangu mkuu, anakuhitaji sana kwenye biashara wa vice of reason.
 
Pole mkuu! Wakiondoka na maini mzee wa weweeeeeee si atarudi marangu mkuu, anakuhitaji sana kwenye biashara wa vice of reason.
Ha ha ha ha najua semina ya vice of no reason itakuwepo wiki hii lazima niudhurie
 
Nyota inang'aa,ulifikiri ndo mwisho??sasa nicheki mtoto wa mwenzio..kwenye kidole umeona lakini? hug umeliona???mbona watu watajibeba?
Sawa Princess nimeona kwenye kidole hiyo ilikuwa talk of the town maana watu walikuwa wanapiga picha vidole tu
 
Sawa Princess nimeona kwenye kidole hiyo ilikuwa talk of the town maana watu walikuwa wanapiga picha vidole tu

Message delivered,am happy now!!!!cheers X- shem.........:laugh::laugh:
 
Back
Top Bottom