JF Woman and Man of The Year 2010: Mchakato Wa Kuwapata

Ni Nani Anafaa Kuwa "JF Man of the Year 2010"?

  • Acid

    Votes: 23 40.4%
  • Kiranga

    Votes: 12 21.1%
  • Nyani Ngabu

    Votes: 22 38.6%

  • Total voters
    57
  • Poll closed .
Watu wote humu JF ni anonymous mtawapaje hizo zawadi?
 
Hii post sioni umuhimu wake hapa kwenye thread ya polls kwani ina influence fulani kwa wapiga kura... Kama ni kurahisisha ufuatiliaji nafikiri kama ni member active atakuwa kafuatilia mchakato toka mwanzo au angeweza kuchakata mwenyewe kuona nani anafaa kati yao kwa anaweza kusearch threads na kuona nani anafaa kulingana na vigezo vilivyowekwa. Ila tutavote hivyo hivyo
 

Mkuu Kuberwa, unge-take trouble kidogo kusoma thread hii vema ungegundua kuwa yote unayoyasema yamezingatiwa na watu wameshafanya research tayari. Hebu zingatia hili:

Tume ya Uchaguzi ya JamiiForums (JEC) inapendekeza kwanza upitie thread ifuatayo ili kuweza kupata mchakato wa hapa tulipofika:

https://www.jamiiforums.com/celebriti...uwapata-4.html
 
Kura ni haki yako ya msingi ya JF. Piga kura yako sasa.
 
Kuna habari za kuaminika nimezipata kwenye mtandao kuwa kuna mwana JF amekamatwa na FBI (with conspiracy, bank fraud, wire fraud and Mortgage Fraud Scheme)

Kwa kuwa MaxShimba umerejea hewani naomba umjibu X-PASTER tuhuma hii aliyotoa, stay blessed!
 
Namfagilia sana WOS ambapo napendekeza females wenzake wanaotaka kujua masuala muhimu ya kiuongozi na jamii wamfate awafunde. she is good.
ana KITU huyo mwanamke
 
Namfagilia sana WOS ambapo napendekeza females wenzake wanaotaka kujua masuala muhimu ya kiuongozi na jamii wamfate awafunde. she is good.
ana KITU huyo mwanamke

Mkuu, umeshapiga kura yako?

Na hiyo "KITU" aliyonayo ni nini hasa Mkuu? Kuwa muwazi zaidi.
 
Tueleze zawadi gani watapata??
au nazo tutazipigia kura?
 
Tueleze zawadi gani watapata??
au nazo tutazipigia kura?

Mkuu, bado tunapokea ahadi. Kwa sasa kuna mfadhili moja tu amejitokeza kuwa atatoa laki moja.

Ningependa wafadhili wajitokeze zaidi.
 
Nilifuatilia sana mchakato, nlichokuwa worried nacho ni ile kuweka nani kapata kura ngapi hapa kwenye thread hii. Vigezo pekee vngetosha bila idadi ya kura kutoka mchakatoni. Kama mtu angetaka kuona mchakato ulienda vip, angerefer hiyo link ulotoa. Anyway, maji yashamwagika tuendelee na voting. Thanks
4
 

Point taken Mkuu.

Nimeongea na Makamisaa, wana hoja kwako kama unaweza kujiunga na JEC. Please confirm.
 
Point taken Mkuu.

Nimeongea na Makamisaa, wana hoja kwako kama unaweza kujiunga na JEC. Please confirm.
Asante kwa hilo. Kwa sasa nsha vote sijui kama bado naqualify. Nsijeonekama kuwa biased bure. Kama nna qualifikesheni poa tu hamna noma
 
Mods kama kuna uwezekano tungeomba hii mui-Sticky ibaki juu.
 
Mpaka sasa Mchuano ni kati ya Mwanakijiji na Acid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…