JF Woman and Man of The Year 2010: Mchakato Wa Kuwapata

Ni Nani Anafaa Kuwa "JF Man of the Year 2010"?

  • Acid

    Votes: 23 40.4%
  • Kiranga

    Votes: 12 21.1%
  • Nyani Ngabu

    Votes: 22 38.6%

  • Total voters
    57
  • Poll closed .
Wakati wowote kuanzia sasa JEC itatoa uamuzi juu ya pingamizi la TANMO dhidi ya NN.
 
UAMUZI YA TUME YA UCHAGUZI YA JAMIIFORUMS (Jamiiforums Electoral Commission JEC) KWA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA TANMO THIDI YA NYANI NGABU KUWA MGOMBEA WA NAFASI YA JF MAN OF THE YEAR 2010.

Utangulizi:

Tarehe 30-Novemba-2010 JEC ilitangaza mchakato wa kumpata JF Woman and Man of The Year 2010: Thread ya mchakato huu inapatikana https://www.jamiiforums.com/celebri...-of-the-year-2010-mchakato-wa-kuwapata-4.html na hili hapa chini lilikuwa ni tangazo au post yake:


Mapendekezo ya Awali:

Katika Mchakato huo, wadau walitakiwa wamependekeze majina kwa kuzingatia vigezo. Mpaka wakati thread hii inafungwa na majina yaliyopendekezwa kuorodheshwa, JEC haikupokea malalamiko wala pingamizi lolote dhidi ya mgombea yeyote.


Baada ya mafanikio ya mapendekezo ya wagombea, mchujo ulifanya kwa kuchukua waliopata kura nyingi za mapendekezo ili hatimaye wapigiwe kura. "JF Woman" walipatikana 3 na "JF Man" walipatikana 4 (kuna wawili walifungana). Hatimaye Tarehe 4-December-2010 Thread ya kuwapigia kura wagombea (Kwa upande wa Wanaume) ikanzishwa na JEC kama ilivyoainishwa hapa: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/93052-man-of-the-year-2010-piga-kura-yako.html. Nainukuu:

Mwaliko wa Kupiga Kura


Pingamizi la TANMO dhidi ya Nyani Ngabu:

Hata hivyo siku hiyo hiyo TANMO aliwakilisha JEC pingamizi lake kuwa Nyani Ngabu aondolewa katika kugombea kama alivyojieleza hapa chini:




Wito wa JEC kwa Nyani Ngabu Kujitetea

kufuatia pingamizi hili na kwa kufuata kanuni za JEC za uchaguzi, JEC ilimtaka Nyani Ngabu atoe utetezi wake na ikampatia siku tatu kuuwakilisha. Hata hivyo hadi mwisho wa siku tatu, Nyani Ngabu hakuwa amewakilisha utetezi wake na hivyo kuilazimu Tume kuketi na kutoa uamuzi kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi.


Uamuzi wa Tume ya Uchaguzi ya JF (JEC)

Baada ya kupitia malalamiko na pingamizi al TANMO tume imeamua yafuatayo:

1. Nyani Ngabu alipendekezwa kihalali na mpaka mchakato wa mapendekezo ulipomalizika hakukuwa na pingamizi lolote dhidi yake na hivyo kumfanya awe na sifa ya kuingia katika kugombea.

2. Pingamizi la TANMO katika hatua ya kugombea ni la msingi. Hata hivyo limejaa ushahidi ambao kama ungetolewa katika mchakato wa awali JEC ingmuengua. Hata hivyo ushahidi uliotolewa ni wa nje ya thread hii ya uchaguzi kitu ambacho kimefanya tume isione nguvu yake ya kisheria ingawa ni la msingi.

3. Nyani Ngabu ameshindwa kuwakilisha utetezi wake JEC dhidi ya pingamizi alilowekewa. Kwa mujibu wa taratibu hilo ni kosa. JEC inampa "ONYO KALI" Nyani Ngabu kuwa kama atarudia tena kosa kama hilo JEC haitasita kumchukulia hatua za kisheria na kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumuengua.

4. Pia JEC inamtahadharisha NYANI NGABU kuzingatia vigezo vya Uchaguzi na kuwa kama atabainikia kukivunja kigezo chochote kati ya vilivyoainishwa, basi ataondolewa mara moja katika Uchaguzi.

5. Tume pia inawatahadharisha wagombe wote kuzingatia vigezo, kanuni na sheria za JF. Yeyote atakayebainika kwenda kinyume atachukuliwa hatua kali. Kama atakuwa ni mshindi na ikaja kujulikana baadaye amevunja vigezo vay msingi, basi ushindi wake utanyang'anywa na kupewa anayefuatia.



 
UAMUZI YA TUME YA UCHAGUZI YA JAMIIFORUMS (Jamiiforums Electoral Commission JEC) KWA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA TANMO THIDI YA NYANI NGABU KUWA MGOMBEA WA NAFASI YA JF MAN OF THE YEAR 2010.

Utangulizi:

Tarehe 30-Novemba-2010 JEC ilitangaza mchakato wa kumpata JF Woman and Man of The Year 2010: Thread ya mchakato huu inapatikana https://www.jamiiforums.com/celebri...-of-the-year-2010-mchakato-wa-kuwapata-4.html na hili hapa chini lilikuwa ni tangazo au post yake:


Mapendekezo ya Awali:

Katika Mchakato huo, wadau walitakiwa wamependekeze majina kwa kuzingatia vigezo. Mpaka wakati thread hii inafungwa na majina yaliyopendekezwa kuorodheshwa, JEC haikupokea malalamiko wala pingamizi lolote dhidi ya mgombea yeyote.


Baada ya mafanikio ya mapendekezo ya wagombea, mchujo ulifanya kwa kuchukua waliopata kura nyingi za mapendekezo ili hatimaye wapigiwe kura. "JF Woman" walipatikana 3 na "JF Man" walipatikana 4 (kuna wawili walifungana). Hatimaye Tarehe 4-December-2010 Thread ya kuwapigia kura wagombea (Kwa upande wa Wanaume) ikanzishwa na JEC kama ilivyoainishwa hapa: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/93052-man-of-the-year-2010-piga-kura-yako.html. Nainukuu:

Mwaliko wa Kupiga Kura


Pingamizi la TANMO dhidi ya Nyani Ngabu:

Hata hivyo siku hiyo hiyo TANMO aliwakilisha JEC pingamizi lake kuwa Nyani Ngabu aondolewa katika kugombea kama alivyojieleza hapa chini:




Wito wa JEC kwa Nyani Ngabu Kujitetea

kufuatia pingamizi hili na kwa kufuata kanuni za JEC za uchaguzi, JEC ilimtaka Nyani Ngabu atoe utetezi wake na ikampatia siku tatu kuuwakilisha. Hata hivyo hadi mwisho wa siku tatu, Nyani Ngabu hakuwa amewakilisha utetezi wake na hivyo kuilazimu Tume kuketi na kutoa uamuzi kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi.


Uamuzi wa Tume ya Uchaguzi ya JF (JEC)

Baada ya kupitia malalamiko na pingamizi al TANMO tume imeamua yafuatayo:

1. Nyani Ngabu alipendekezwa kihalali na mpaka mchakato wa mapendekezo ulipomalizika hakukuwa na pingamizi lolote dhidi yake na hivyo kumfanya awe na sifa ya kuingia katika kugombea.

2. Pingamizi la TANMO katika hatua ya kugombea ni la msingi. Hata hivyo limejaa ushahidi ambao kama ungetolewa katika mchakato wa awali JEC ingmuengua. Hata hivyo ushahidi uliotolewa ni wa nje ya thread hii ya uchaguzi kitu ambacho kimefanya tume isione nguvu yake ya kisheria ingawa ni la msingi.

3. Nyani Ngabu ameshindwa kuwakilisha utetezi wake JEC dhidi ya pingamizi alilowekewa. Kwa mujibu wa taratibu hilo ni kosa. JEC inampa "ONYO KALI" Nyani Ngabu kuwa kama atarudia tena kosa kama hilo JEC haitasita kumchukulia hatua za kisheria na kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumuengua.

4. Pia JEC inamtahadharisha NYANI NGABU kuzingatia vigezo vya Uchaguzi na kuwa kama atabainikia kukivunja kigezo chochote kati ya vilivyoainishwa, basi ataondolewa mara moja katika Uchaguzi.

5. Tume pia inawatahadharisha wagombe wote kuzingatia vigezo, kanuni na sheria za JF. Yeyote atakayebainika kwenda kinyume atachukuliwa hatua kali. Kama atakuwa ni mshindi na ikaja kujulikana baadaye amevunja vigezo vay msingi, basi ushindi wake utanyang'anywa na kupewa anayefuatia.

 
Mtampaje onyo kabla ya NN kujitetea? Onyo linaji-base kwa upande mmoja tu wa mshtaki? Je kama mshtaki anasema uwongo? Mi nadhani mngesubiri (mngemwongezea muda) NN mpaka aje hapa jamvini na kusema kitu. Kujitetea ni jambo muhimu kabla ya kumhukumu mtu.
 

NN amepewa muda wa kutosha kama sheria inavyotaka lakini amekataa. Ameshaona post za kumtaka ajitetee na kakumbushwa pia lakini hajataka kufanya hivyo.

Uchaguzi huu unaendeshwa kwa misingi ya sheria.
 
Mkiti, hapo hapo kipengele cha pili, Ngabu pia anweza kuwa ametumia kama kigezo cha kutojitete maana hapakuwa/hakuna madhara yoyot maana tuhuma zimetolewa mchakato ushapita .
Kwa mtazamo wangu Ngabu kumbe aliona mbali ndo maana aliamua kukaa kimya.
 
Duh! Jamaa pamoja na kuingia mitini bado kapeta?
Haya Bana, yale yale kama NEC taifa vile.

Nitatoa tamko langu muda wowote kuanzia sasa baada ya kupata msimamo huu wa JEC.
Ngoja nipekue pekue makabrasha yangu hapa..
 
Kweli ngoma nzito.

Hawa akina dada wanakwenda sambamba.
 
Kweli ngoma nzito.

Hawa akina dada wanakwenda sambamba.

Ebu fungua tuone wapiga kura .kwa nini unaficha?

Hii JEC haina standards .leo tunaona mchanganuo wa majina yaliyopiga kura kesho hatuoni. Why???!!!!!!!

isije ikawa kuna mtu kapata 40% ya kura zake kutoka na watu waliojiunga NOV or Dember 2010.
 
Uchaguzi huu una walakini kwa kuwa members wa Jf hawakupiga kura. Hapa inaokena ata 1%ya wanaJF haikufika ktk kupiga kura. Nadhani hapakuwa either muda wa kutosha wanaJF kulijua ili au elimu ndogo kwa mpiga kura kuhusu vigezo husika. Hata ivo,nasubiri uchaguzi uishe niweze kupeleka malalamiko yangu kwa Operators ili chaguzi zijazo ziwe na VIGEZO vinavoendana. Uchaguzi mwema.
 
Kwa hizo tuhuma NN keshapata dosari na atashinda hiyo nafasi akiwa na dosari. Kwa nchi za wenzetu kiongozi anahojiwa hata mambo aliyofanya siku za nyuma na ni busara kwake kukiri madhaifu ili kupunguza mjadala. Bila yeye kukiri bado kutokana na shutuma alizopelekewa ni mchafu na kwa sababu kwa yeye mwenyewe kuto respond anajua hawezi takata hapa jamvini, hakuna awezaye kwa niaba yake. Kura yangu ni ya thamani, haiendi kwa mtu mchafu!
 
Mkuu Superman umepitia sheria hizo za JEC?

Kama kuna kifungu kinambana NN mwite ajitetee ili wapiga kura waweze kujiridhisha na shindano.
 
Kugoma kujitetea (japo hata kwa sababu za uongo uongo) ni kosa na inadhihirisha ''kiburi na dharau'' kama ilivyoainishwa na TANMO.

Superman na wenzake wameamua bora liende tu baada ya Mwanakijiji kuomba kujitoa, hawa watu hawapo tayari sasa kuona NN nae anatolewa/anajitoa kwenye mtanange huu.

Nawatakia uchaguzi mwema wa ''JF Man of the year 2010''
 
MMECHAKACHUA hii iweje FirstLady akose katika kundi la akina dada / Mama. Ana sifa zote zilizowekwa hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…