Uchaguzi bado haujamalizika Mkuu.
Na kampeni haziruhusiwi kipindi hiki cha Uchaguzi.
Sawa KIRAVU tumekuelewa.
amenikumbusha kugwa mziray.
Rufaa itakubalika? (naangalia grounds hapa za kukata rufaa, just in case)Wakati wowote kuanzia sasa JEC itatoa uamuzi juu ya pingamizi la TANMO dhidi ya NN.
Wanajamii;
Mwaka Jana 2009 tulifanya mchakato wa kumpata JF SuperLady & Celebrity of 2009.
Mchakato wote mpaka mshindi kupatikana unaweza kuupitia hapa:
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/91605-man-of-the-year-2010-a.html
Mshindi wa 2009 alikuwa ni "Woman Of Substance" ambaye anategemewa kukabidhi taji lake kwa JF Woman of the Year 2010.
Mwaka huu tunataka kuuboresha mchakato huu na tunapenda kupitia mchakato huu kupata washiriki wengi na kuipa taswira JF kuwa kuna watu wanafanya mambo makubwa.
Mwaka huu 2010 tunafanya mchakato wa kumpata JF WOMAN OF THE YEAR 2010 na pia JF MAN OF THE YEAR 2010.
Katika mchakato wa awali tutapendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo tutachagua watatu kutoka katika kila category na kisha kuwapambanisha kupitia JF POLLS. Mwaka huu napendekeza tutoe zawadi yenye hadhi fulani kwa washindi ili kutoa changamoto za umakini katika mabandiko haba jamvini. Tutajulishana zawadi hizi tutakapoingia katika mchakato wa Kupiga kura.
Vigezo vifuatavyo vizingatiwe katika kutoa mapendekezo ya watakaoshindanishwa katika hizi KURA ZA MAONI:
1. Kama ni category ya WOMAN lazima uwe umemdhania kuwa unayempendekeza ni Mwanamke na una ushahidi wa Kimazingira. katika hali ya mashaka, uhakikisho wa jinsia kutoka kwa muhusika aliyependekezwa utafanya akubalike. Uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Shindano hili utakuwa ni Final. wote mnahakikishiwa hakutakuwa na Uchakachuaji.
2. Kama ni category ya MAN lazima uwe umemdhania kuwa unayempendekeza ni Mwanaume na una ushahidi wa Kimazingira. katika hali ya mashaka, uhakikisho wa jinsia kutoka kwa muhusika aliyependekezwa utafanya akubalike.
Katika 1 na 2: Uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya JF (JEC) wa Shindano hili utakuwa ni Final. wote mnahakikishiwa hakutakuwa na Uchakachuaji.
3. Anayependekezwa lazima kuwe na ushahidi unaoonyesha kuwa ni Mwana JF aliyebobea hasa kutokana na Threads alizozianzisha na pia post alizozianzisha. Vyote lazima viwe na impact chanya kwa wasomaji wa JF
4. Awe ni mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake na kuzijibu kikamilifu bila jazba na kwa umahiri wa hali ya juu pale ambapo anapata challenge toka kwa wachangiaji.
5. Awe ni mwenye ushawishi wa hali ya juu katika mabandiko anyochangia walau kwa muonekano wa wachangiaji kuunga mkono hoja zake.
6. Asibobee kwenye Jukwaa moja tu. Walau awe mchangiaji mzuri wa majukwaa yasiyopungua matatu
7. Asiwe mtu wa shari katika majibizano kiasi cha kupelekea Mods kumpa "BAN".
8. Aonekane wazi katika mabandiko yake anaweza akahisiwa kuwa Kiongozi Mzuri.
9. Awe Mchangiaji ambaye ni active walau mara moja kwa wiki. Ikiwa zaidi ni vizuri zaidi.
10. Awe ni mtu asiyeogopa kukemea mabandiko yenye lengo la kutukana, kudhalilisha, kubagua, kuleta mfarakano na kutokuelewana baina ya wanachama wa JF.
Sasa kila moja yuko huru kutoa mapendekezo yake ya nani wanastahili kuingia katika tatu bora katika kila category.
Nashauri kuwa mapendekezo ya majina yaambatane na maelezo mafupi.
Uwanja ni wenu. Karibuni.
------------------------------------------------------------
UPDATE 1:
Mchakato wa Kupata mapendekezo ya Majina ya wana JF watakaoingia katika king'ang'anyiro cha kumtafuta JF Man of the Year 2010 and JF Woman of the Year 2010 umeshakamilika. Kura za maoni zimefungwa rasmi Ijumaa 3-12-2010 Saa 6.00 Usiku na matokeo ya waliokuwa nominated nayatoa kama yalivyopendekezwa:
Waliopendekezwa kugombania taji la JF MAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. JS - Kura 1
2. Acid - Kura 2
3. Kiranga - Kura 2
4. Mwanakijiji - Kura 2
5. Nyani Ngabu - Kura 3
6. Pasco - Kura 1
7. Mkandara - Kura 1
8. Superman - Kura 1 (Aliomba ajitoe mwanzoni kwani yuko JEC)
9. Malecela - Kura 1
10. Ivuga - Kura 1
Waliopendekezwa kugombania taji la JF WOMAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2
4. First Lady - Kura 1
5. Belinda Jacob - Kura 1
6. Maria Roza - Kura 1
Kura Zilizoharibika:
1. BujiBuji - Kura 1 (Haikutaja category)
Majina yafuatayo, yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLLS za kutafuta JF MAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3
Majina yafuatayo, yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLLS za kutafuta JF WOMAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2
Thread Maalumu itafunguliwa sasa ili kuweza kuwapigia kura waliotajwa.
Asanteni wale wote mliotumia haki yenu ya kikatiba kupiga kura za maoni.
Wanabaraza na Wana Jamii Forums;
Tume ya Uchaguzi ya JamiiForums (JEC) inapendekeza kwanza upitie thread ifuatayo ili kuweza kupata mchakato wa hapa tulipofika:
https://www.jamiiforums.com/celebri...-of-the-year-2010-mchakato-wa-kuwapata-4.html
POLL inayofanyika sasa ni kwa ajili ya kumpata JF WOMAN OF THE YEAR 2010 na pia JF MAN OF THE YEAR 2010.
Zawadi zitatolewa kwa mshindi wa kila Category.
Katika POLL hii inafanyika baada ya Wadau wa JF kupendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo JEC imechagua wale watatu wa mwanzo waliopata kura nyingi kutoka katika kila category (MAN Category kura zilifungana, kwa hiyo wako 4). Washindi hawa wa kura za maoni sasa tunawapambanisha kupitia upigaji kura yaani JF POLL.
Mwaka huu tofauti na mwakajana itatolewa zawadi yenye hadhi fulani kwa washindi ili kutoa changamoto za umakini katika mabandiko haba jamvini. Tutajulishana zawadi hizi mara tu washindi watakapopatikana baada ya mchakato wa Kupiga kura.
Vigezo vifuatavyo vizingatiwe katika kupiga kura yako:
1. Unayempigia kura awe ni Mwana JF aliyebobea hasa kutokana na Threads alizozianzisha na pia post alizozianzisha. Vyote lazima viwe na impact chanya kwa wasomaji wa JF
2. Awe ni mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake na kuzijibu kikamilifu bila jazba na kwa umahiri wa hali ya juu pale ambapo anapata challenge toka kwa wachangiaji.
3. Awe ni mwenye ushawishi wa hali ya juu katika mabandiko anyochangia walau kwa muonekano wa wachangiaji kuunga mkono hoja zake.
4. Asibobee kwenye Jukwaa moja tu. Walau awe mchangiaji mzuri wa majukwaa yasiyopungua matatu
5. Asiwe mtu wa shari katika majibizano kiasi cha kupelekea Mods kumpa "BAN".
6. Aonekane wazi katika mabandiko yake anaweza akahisiwa kuwa Kiongozi Mzuri.
7. Awe Mchangiaji ambaye ni active walau mara moja kwa wiki. Ikiwa zaidi ni vizuri zaidi.
8. Awe ni mtu asiyeogopa kukemea mabandiko yenye lengo la kutukana, kudhalilisha, kubagua, kuleta mfarakano na kutokuelewana baina ya wanachama wa JF.
UPIGAJI KURA:
Mchakato wa Kupiga kura za kumpata JF Man of the Year 2010 and JF Woman of the Year 2010 umeshakamilika. Kura za maoni zimefungwa rasmi Ijumaa 3-12-2010 Saa 6.00 Usiku. Sasa kura zinapigwa kwa wafuatao ambao wamepita katika kura za maoni:
Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF MAN OF THE YEAR 2010:
1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3
Pia katika Thread nyingine tofauti; Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF WOMAN OF THE YEAR 2010:
1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2
Wote mnahimizwa kutumia haki yenu ya kikatiba kwa kumpigia kura mgombea unayedhani amekidhi matarajio yako.
Maoni yanakaribishwa kuelezea sababu la chaguo lako na maoni menine ya kujenga.
Mkuu mwenyekiti wa JEC, naomba vigezo nilivyoviainisha hapo juu vitumike kuengua jina la NYANI NGABU kwa sababu huyu Bwana: ni mshari, mkorofi, mbabe, ana dharau na mara nyingi husababisha migongano humu ndani kiasi cha kupelekea kupewa BAN (Mheshimiwa Roboti anihukumu kama hajawahi kutoa Ban kwa huyu Bwana)...
Binafsi alishawahi kunitukana na kunidhalilisha kwenye post moja kwa kukosea kuandika kiingereza fasaha hali iliyonifanya nikashindwa hata kutekeleza majukumu yangu ya siku hiyo kutokana na mfadhaiko nilioupata. Kuona NYANI NGABU akipewa sifa za ushiriki wa JF Man of the Year ilhali kuna watu ambao kwa namna moja au nyingine walishawahi kuathirika kutokana na kauli na kejeli zake ni kuikosea heshima jamii ya Wana-JF hao ambao wanaamini kuwa JF ni mahali pa kusaidiana na kuelimishana na siyo kudhalilishana...
JF man of the Year ni shindano ambalo kwa imani yangu litapelekea baadhi ya wana-JF kuiga matendo na kauli za washiriki kwa imani kuwa hao ndiyo vioo vya jamii ya JF ili mwakani nao waweze kushiriki hili shindano kwa kuiga yale yaliyosemwa, yanayosemwa na yatakayosemwa na hawa washiriki. Je kutoka kwa NYANI NGABU tuige/tujifunze jinsi ya kudharau? Kukejeli? Kutukana? Kudhalilisha wengine? Kujisifu hata kwa mambo yasiyo na msingi?
Nitafurahi iwapo mchakato huu utakuwa huru na wa haki kwa kuzingatia misingi yote ya Demokrasia ikiwa ni pamoja na wengi wape na pia wachache waheshimiwe "Majority rule and minority right".. Na kwa kuzingatia hilo basi nitashukuru kusikia kauli yako Mheshimiwa Mwenyekiti wa JEC pamoja na utekelezaji wa niliyoyaainisha kwa manufaa ya JF pamoja na wana_JF wote popote walipo.. Pamoja na yote aliyowahi kunitendea huyu Bwana naomba niweke wazi kuwa sina chuki naye bali nimeamua kuanika wazi mambo yake ili jamii ya wana-JF iweze kuelewa ukweli na kufanya maamuzi ya busara katika harakati hizi za kumpata JF Man of Year 2010.
Nashukuru kwa kunielewa.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Jamii Forums.
TANMO - Tanzania Ni Moja
Wanajamii;
Mwaka Jana 2009 tulifanya mchakato wa kumpata JF SuperLady & Celebrity of 2009.
Mchakato wote mpaka mshindi kupatikana unaweza kuupitia hapa:
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/91605-man-of-the-year-2010-a.html
Mshindi wa 2009 alikuwa ni "Woman Of Substance" ambaye anategemewa kukabidhi taji lake kwa JF Woman of the Year 2010.
Mwaka huu tunataka kuuboresha mchakato huu na tunapenda kupitia mchakato huu kupata washiriki wengi na kuipa taswira JF kuwa kuna watu wanafanya mambo makubwa.
Mwaka huu 2010 tunafanya mchakato wa kumpata JF WOMAN OF THE YEAR 2010 na pia JF MAN OF THE YEAR 2010.
Katika mchakato wa awali tutapendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo tutachagua watatu kutoka katika kila category na kisha kuwapambanisha kupitia JF POLLS. Mwaka huu napendekeza tutoe zawadi yenye hadhi fulani kwa washindi ili kutoa changamoto za umakini katika mabandiko haba jamvini. Tutajulishana zawadi hizi tutakapoingia katika mchakato wa Kupiga kura.
Vigezo vifuatavyo vizingatiwe katika kutoa mapendekezo ya watakaoshindanishwa katika hizi KURA ZA MAONI:
1. Kama ni category ya WOMAN lazima uwe umemdhania kuwa unayempendekeza ni Mwanamke na una ushahidi wa Kimazingira. katika hali ya mashaka, uhakikisho wa jinsia kutoka kwa muhusika aliyependekezwa utafanya akubalike. Uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Shindano hili utakuwa ni Final. wote mnahakikishiwa hakutakuwa na Uchakachuaji.
2. Kama ni category ya MAN lazima uwe umemdhania kuwa unayempendekeza ni Mwanaume na una ushahidi wa Kimazingira. katika hali ya mashaka, uhakikisho wa jinsia kutoka kwa muhusika aliyependekezwa utafanya akubalike.
Katika 1 na 2: Uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya JF (JEC) wa Shindano hili utakuwa ni Final. wote mnahakikishiwa hakutakuwa na Uchakachuaji.
3. Anayependekezwa lazima kuwe na ushahidi unaoonyesha kuwa ni Mwana JF aliyebobea hasa kutokana na Threads alizozianzisha na pia post alizozianzisha. Vyote lazima viwe na impact chanya kwa wasomaji wa JF
4. Awe ni mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake na kuzijibu kikamilifu bila jazba na kwa umahiri wa hali ya juu pale ambapo anapata challenge toka kwa wachangiaji.
5. Awe ni mwenye ushawishi wa hali ya juu katika mabandiko anyochangia walau kwa muonekano wa wachangiaji kuunga mkono hoja zake.
6. Asibobee kwenye Jukwaa moja tu. Walau awe mchangiaji mzuri wa majukwaa yasiyopungua matatu
7. Asiwe mtu wa shari katika majibizano kiasi cha kupelekea Mods kumpa "BAN".
8. Aonekane wazi katika mabandiko yake anaweza akahisiwa kuwa Kiongozi Mzuri.
9. Awe Mchangiaji ambaye ni active walau mara moja kwa wiki. Ikiwa zaidi ni vizuri zaidi.
10. Awe ni mtu asiyeogopa kukemea mabandiko yenye lengo la kutukana, kudhalilisha, kubagua, kuleta mfarakano na kutokuelewana baina ya wanachama wa JF.
Sasa kila moja yuko huru kutoa mapendekezo yake ya nani wanastahili kuingia katika tatu bora katika kila category.
Nashauri kuwa mapendekezo ya majina yaambatane na maelezo mafupi.
Uwanja ni wenu. Karibuni.
------------------------------------------------------------
UPDATE 1:
Mchakato wa Kupata mapendekezo ya Majina ya wana JF watakaoingia katika king'ang'anyiro cha kumtafuta JF Man of the Year 2010 and JF Woman of the Year 2010 umeshakamilika. Kura za maoni zimefungwa rasmi Ijumaa 3-12-2010 Saa 6.00 Usiku na matokeo ya waliokuwa nominated nayatoa kama yalivyopendekezwa:
Waliopendekezwa kugombania taji la JF MAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. JS - Kura 1
2. Acid - Kura 2
3. Kiranga - Kura 2
4. Mwanakijiji - Kura 2
5. Nyani Ngabu - Kura 3
6. Pasco - Kura 1
7. Mkandara - Kura 1
8. Superman - Kura 1 (Aliomba ajitoe mwanzoni kwani yuko JEC)
9. Malecela - Kura 1
10. Ivuga - Kura 1
Waliopendekezwa kugombania taji la JF WOMAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2
4. First Lady - Kura 1
5. Belinda Jacob - Kura 1
6. Maria Roza - Kura 1
Kura Zilizoharibika:
1. BujiBuji - Kura 1 (Haikutaja category)
Majina yafuatayo, yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLLS za kutafuta JF MAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3
Majina yafuatayo, yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLLS za kutafuta JF WOMAN OF THE YEAR 2010 ni:
1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2
Thread Maalumu itafunguliwa sasa ili kuweza kuwapigia kura waliotajwa.
Asanteni wale wote mliotumia haki yenu ya kikatiba kupiga kura za maoni.
Wanabaraza na Wana Jamii Forums;
Tume ya Uchaguzi ya JamiiForums (JEC) inapendekeza kwanza upitie thread ifuatayo ili kuweza kupata mchakato wa hapa tulipofika:
https://www.jamiiforums.com/celebri...-of-the-year-2010-mchakato-wa-kuwapata-4.html
POLL inayofanyika sasa ni kwa ajili ya kumpata JF WOMAN OF THE YEAR 2010 na pia JF MAN OF THE YEAR 2010.
Zawadi zitatolewa kwa mshindi wa kila Category.
Katika POLL hii inafanyika baada ya Wadau wa JF kupendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo JEC imechagua wale watatu wa mwanzo waliopata kura nyingi kutoka katika kila category (MAN Category kura zilifungana, kwa hiyo wako 4). Washindi hawa wa kura za maoni sasa tunawapambanisha kupitia upigaji kura yaani JF POLL.
Mwaka huu tofauti na mwakajana itatolewa zawadi yenye hadhi fulani kwa washindi ili kutoa changamoto za umakini katika mabandiko haba jamvini. Tutajulishana zawadi hizi mara tu washindi watakapopatikana baada ya mchakato wa Kupiga kura.
Vigezo vifuatavyo vizingatiwe katika kupiga kura yako:
1. Unayempigia kura awe ni Mwana JF aliyebobea hasa kutokana na Threads alizozianzisha na pia post alizozianzisha. Vyote lazima viwe na impact chanya kwa wasomaji wa JF
2. Awe ni mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake na kuzijibu kikamilifu bila jazba na kwa umahiri wa hali ya juu pale ambapo anapata challenge toka kwa wachangiaji.
3. Awe ni mwenye ushawishi wa hali ya juu katika mabandiko anyochangia walau kwa muonekano wa wachangiaji kuunga mkono hoja zake.
4. Asibobee kwenye Jukwaa moja tu. Walau awe mchangiaji mzuri wa majukwaa yasiyopungua matatu
5. Asiwe mtu wa shari katika majibizano kiasi cha kupelekea Mods kumpa "BAN".
6. Aonekane wazi katika mabandiko yake anaweza akahisiwa kuwa Kiongozi Mzuri.
7. Awe Mchangiaji ambaye ni active walau mara moja kwa wiki. Ikiwa zaidi ni vizuri zaidi.
8. Awe ni mtu asiyeogopa kukemea mabandiko yenye lengo la kutukana, kudhalilisha, kubagua, kuleta mfarakano na kutokuelewana baina ya wanachama wa JF.
UPIGAJI KURA:
Mchakato wa Kupiga kura za kumpata JF Man of the Year 2010 and JF Woman of the Year 2010 umeshakamilika. Kura za maoni zimefungwa rasmi Ijumaa 3-12-2010 Saa 6.00 Usiku. Sasa kura zinapigwa kwa wafuatao ambao wamepita katika kura za maoni:
Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF MAN OF THE YEAR 2010:
1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3
Pia katika Thread nyingine tofauti; Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF WOMAN OF THE YEAR 2010:
1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2
Wote mnahimizwa kutumia haki yenu ya kikatiba kwa kumpigia kura mgombea unayedhani amekidhi matarajio yako.
Maoni yanakaribishwa kuelezea sababu la chaguo lako na maoni menine ya kujenga.
Mkuu mwenyekiti wa JEC, naomba vigezo nilivyoviainisha hapo juu vitumike kuengua jina la NYANI NGABU kwa sababu huyu Bwana: ni mshari, mkorofi, mbabe, ana dharau na mara nyingi husababisha migongano humu ndani kiasi cha kupelekea kupewa BAN (Mheshimiwa Roboti anihukumu kama hajawahi kutoa Ban kwa huyu Bwana)...
Binafsi alishawahi kunitukana na kunidhalilisha kwenye post moja kwa kukosea kuandika kiingereza fasaha hali iliyonifanya nikashindwa hata kutekeleza majukumu yangu ya siku hiyo kutokana na mfadhaiko nilioupata. Kuona NYANI NGABU akipewa sifa za ushiriki wa JF Man of the Year ilhali kuna watu ambao kwa namna moja au nyingine walishawahi kuathirika kutokana na kauli na kejeli zake ni kuikosea heshima jamii ya Wana-JF hao ambao wanaamini kuwa JF ni mahali pa kusaidiana na kuelimishana na siyo kudhalilishana...
JF man of the Year ni shindano ambalo kwa imani yangu litapelekea baadhi ya wana-JF kuiga matendo na kauli za washiriki kwa imani kuwa hao ndiyo vioo vya jamii ya JF ili mwakani nao waweze kushiriki hili shindano kwa kuiga yale yaliyosemwa, yanayosemwa na yatakayosemwa na hawa washiriki. Je kutoka kwa NYANI NGABU tuige/tujifunze jinsi ya kudharau? Kukejeli? Kutukana? Kudhalilisha wengine? Kujisifu hata kwa mambo yasiyo na msingi?
Nitafurahi iwapo mchakato huu utakuwa huru na wa haki kwa kuzingatia misingi yote ya Demokrasia ikiwa ni pamoja na wengi wape na pia wachache waheshimiwe "Majority rule and minority right".. Na kwa kuzingatia hilo basi nitashukuru kusikia kauli yako Mheshimiwa Mwenyekiti wa JEC pamoja na utekelezaji wa niliyoyaainisha kwa manufaa ya JF pamoja na wana_JF wote popote walipo.. Pamoja na yote aliyowahi kunitendea huyu Bwana naomba niweke wazi kuwa sina chuki naye bali nimeamua kuanika wazi mambo yake ili jamii ya wana-JF iweze kuelewa ukweli na kufanya maamuzi ya busara katika harakati hizi za kumpata JF Man of Year 2010.
Nashukuru kwa kunielewa.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Jamii Forums.
TANMO - Tanzania Ni Moja
Mtampaje onyo kabla ya NN kujitetea? Onyo linaji-base kwa upande mmoja tu wa mshtaki? Je kama mshtaki anasema uwongo? Mi nadhani mngesubiri (mngemwongezea muda) NN mpaka aje hapa jamvini na kusema kitu. Kujitetea ni jambo muhimu kabla ya kumhukumu mtu.
Kweli ngoma nzito.
Hawa akina dada wanakwenda sambamba.