Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Mkuu Superman napenda kuwapendekeza Pasco kwa wanaume na FistLady1 kwa wanawake.
-Uchaguzi wangu kwa Pasco ni kwa sababu amekuwa mtoaji habari muhimu na amekuwa anafuatilia kujibu post zake anapotakiwa kufanya hivyo.Nimemuweka katika kundi la Wanaume kwa sababu nafahamu jinsia yake.
-FirstLady1 naye nimevutiwa na uandishi na ushiriki wake katika thread nyingi,nimemchagua katika kundi la wanawake kutokana na Jina lake.Ataniwia radhi kama yeye ni mwanaume.
Kuna wanachama wengi navutiwa na post zao,lakini kwa sababu moja ama nyingine sikuona busara kuwachagua ktk kinyang'anyiro hichi.Watu hao ambao nawasoma mara kwa mara na uwepo wao hapa ni muhimu ni pamoja na Mwanakijiji,Nyani Ngabu,WOS,Mwanajamiione,Halisi pamoja na Dr Slaa.
Asante Mwawado; wote wanakubalika:
PASCO:
otal Posts
Total Posts 3,350
Posts Per Day 4.19
User Notes
Post a User Note
Total Thanks
Total Thanks3,315
Thanked 2,815 Times in 1,034 Posts
General Information
Last Activity Today 07:06 PM
Current Activity Searching Forums
Join Date 22nd September 2008
Threads zake: https://www.jamiiforums.com/search.php?searchid=2753876
FIRSTLADY1:
Statistics
Total Posts
Total Posts 9,410
Posts Per Day 19.19
Visitor Messages
Total Messages 137
Most Recent Message Today
Visitor Messages for FirstLady1
Post a visitor message for FirstLady1
User Notes
Post a User Note
Total Thanks
Total Thanks2,287
Thanked 3,456 Times in 2,252 Posts
General Information
Last Activity Today 05:28 PM
Current Activity Viewing User Profile
Join Date 29th July 200
Threads zake: https://www.jamiiforums.com/search.php?searchid=2753915