Fundamental physical quantity..
Time.SI-Unit of time
Second,Minutes,Hours,Days,Weeks,Months,Years
Time is illusion, Virtual reality
Time ni kitu kilichobuniwa na mwanadamu,manmade..
Time is relative, Hakuna aliye nje au ndani ya muda..naweza chelewa kufanya kitu kwasababu wengine waliwahi pia naweza wahi kufanya kitu kwakua wengine walichelewa. Kwa mantiki hiyo usimwambie mwenzako kachelewa kuoa au kuolewa kwakua wewe umewahi au kawahi kwakua wewe umechelewa..Nobody is in Time.
Muda upo kila muda, utauacha muda hapa hapa muda haukuachi..
Tulitengeneza muda ili tuweze kuweza kufanya vitu kwa mpangilio. Muda halisi ni Present..hakuna past wala future. Those are manmade illustrations..
My bad nilijua nipo kwenye Essay ya Theory of relativity...Quantum mechanics
But what is Real...?