PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Jf ni kama familia, muda mwingine tuna hitilafiana, muda mwingine tunakejeliana, muda mwingine tuna taniana, tunapeana ushauri na wengine wameenda adi next level wakawa wapenzi
Naomba tusameehane wote nilio wakosea au walio nikosea na tumalize mwaka na kuanza mwaka mpya kwa amani na upendo
NAWATAKIA HERI YA KRISIMASI NA MWAKA MPYA WANAFAMILIA WOTE WA JAMIIFORUMS
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Haya, mtakie heri mwana Jf yoyote unae mhusudu, au unae mkubali hoja zake.... Kama hujaona basi mtakie heri huyo mtu wa mwisho ulio chati na PM
Naomba tusameehane wote nilio wakosea au walio nikosea na tumalize mwaka na kuanza mwaka mpya kwa amani na upendo
NAWATAKIA HERI YA KRISIMASI NA MWAKA MPYA WANAFAMILIA WOTE WA JAMIIFORUMS
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Haya, mtakie heri mwana Jf yoyote unae mhusudu, au unae mkubali hoja zake.... Kama hujaona basi mtakie heri huyo mtu wa mwisho ulio chati na PM