The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mwaka ukiisha eti mnasameheana ila mwaka ukianza tu mnaanza kukwaruzana! hizi ni mind set tu hakuna maana yeyote ile,kusameheana ni muda wowote na sio mwisho wa mwaka tu,tuache kuishi kwa kukariri vitu.