Jhonier Alfonso Blanco striker mpya wa azam ni Habari nyingine

Jhonier Alfonso Blanco striker mpya wa azam ni Habari nyingine

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nimemuangalia huyu striker mpya wa Azam you tube, natema mate Chino.Hawa Azam safari hii labda wafanyiwe kafara zito, Blanco ana balaa, pengine anaweza kuwa striker bora ambaye hajawahi kutokea hapa nchin, mabeki wavivu na wachovu kama Bacca, Mwamnyeto, Che Malone, Job aisee kama hamtakuwa na tabia za Juma Nyosso, Blanco anakuja kuharibu ugali wenu.Jiandaeni kumkaba jamaa anajua kweli boil sio mchezo.
 
Nimemuangalia huyu striker mpya wa Azam you tube, natema mate Chino.Hawa Azam safari hii labda wafanyiwe kafara zito, Blanco ana balaa, pengine anaweza kuwa striker bora ambaye hajawahi kutokea hapa nchin, mabeki wavivu na wachovu kama Bacca, Mwamnyeto, Che Malone, Job aisee kama hamtakuwa na tabia za Juma Nyosso, Blanco anakuja kuharibu ugali wenu.Jiandaeni kumkaba jamaa anajua kweli boil sio mchezo.
Forward wa you tube, ngoja ligi ianze.
 
Azam wamepania kutuvua ubingwa msimu ujao. Hongera tunataka challenge na sio kukaa kizembe kama Makolo. Walete hao wachezaji tuchangamshe ligi
 
YouTube hata sawadogo utaona anajua sana, vitu vya miaka miwili alivyofanya mchezaji vinawekwa ndani ya dakika 3

Alafu kuhusu kumuita poti Ibrahim bacca kua ni mchovu, ningekua mod ningekulima ban


Shenzi
Nimekumbuka Muhasibu wetu alituletea video za kumpamba Mthunguuu na baadae Sawadogo kilichomtokea anajua yeye mwenyewe,nasubiri usajili uanze tupate video za magharasa ya mikia kutoka yu tubuuuu
 
Nimemuangalia huyu striker mpya wa Azam you tube, natema mate Chino.Hawa Azam safari hii labda wafanyiwe kafara zito, Blanco ana balaa, pengine anaweza kuwa striker bora ambaye hajawahi kutokea hapa nchin, mabeki wavivu na wachovu kama Bacca, Mwamnyeto, Che Malone, Job aisee kama hamtakuwa na tabia za Juma Nyosso, Blanco anakuja kuharibu ugali wenu.Jiandaeni kumkaba jamaa anajua kweli boil sio mchezo.
You tube ? Hata Konkoni you tube alikuwa poa sana
 
Back
Top Bottom