Jiamini make up ya nini? jiachie na mwonekano wako ukiwa natural

Jiamini make up ya nini? jiachie na mwonekano wako ukiwa natural

Ukiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.

Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.

Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Khaaa sio kwa povu hili jamani figganigga ina maana ndo nimekukosa nilikuwaga nakumendea
 
Hahaha
Umeonaee... Walau ka Jonson powder
Eeh jamani. Halafu mtu ukipata make up unapendeza bwana. Urembo ni kwa ajili ya mwanamke. Sasa sio mwanaume atoke hata mafuta hapaki na mie hata lipstick kweli?? Anaeniona wa ajabu sawa tu ile mi moyo unafurahia
 
Ukiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.

Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.

Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Hiyo yote iko akilini mwako tu.
 
[emoji23] [emoji23] siwezi kuongeza tena mwenza si umesikia hapendi mekapu na mimi bila mekapu hata msalani siendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kuna dada mmoja haonani na watu mchana maana ukimuona usiku na picha zake za instagram ni watu wawili tofauti na utakaemuona mchana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kuna dada mmoja haonani na watu mchana maana ukimuona usiku na picha zake za instagram ni watu wawili tofauti na utakaemuona mchana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hayo mateso bila chuki
 
Haha mwambie atembee buana siku akikutana na sisi wenzie tunovyotembea kwa kujiamini atapata nguvu na yeye
Tukiwaga nae mchana tukipiga picha ye ndo anaetupiga hataki kutokea. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Saa zingine make up zinatudanganya tunajiona warembo ila tukishazitoa tunajiona uhalisia wetu.
 
Mnao tumia ukikutana na mimi nitakupa maji ya uvuguvugu unawe kisha mambo mengine ndio yatafuata.
 
Back
Top Bottom