NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mmeshaanza Malalamiko FC(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
GSM akishirikiana na uongozi wa Prisons umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba.(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Kwani hii NI Mara ya kwanza kufanya hivi hao Tanzania prisons hata wakicheza na YANGA huwa wanapewa motisha.GSM akishirikiana na uongozi wa Prisons umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba.
Katika kikao kilichofanyia viongozi pamoja na wadau wametoa ahadi ya sh 25milioni kwa wachezaji endapo watapata Ushindi dhidi ya Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Bado unateseka na N. Tegere na Charles Ilamfya au unateswa na unbeaten? Uliwafunga wale wakimbizi wa Sudan ambao hawajala mwezi mzima ukaona dunia yote yako. Sasa kiko wapi?(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Mmmeanza kumuelewa mnyama kuwa pointi tatu ni muhimu! Tulishawaambia hayo kuwa kwa sasa tunachoangalia ni ushindi. Mbwembwe nyingine baadaye. Endeleeni tu kumiliki mchezo kwa 98% dhidi ya 2% za Ihefu.Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Umekunywa supu lakini?(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Bado hamjasema(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
4.sisi Utopolo tumeroa bahasha ya sh 25 milioni ili Prisons wakamie.(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Simba hatunaga konakona. Tanzania prison ni timu ndogo sana kufanyiwa hayo.(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Mbeya hakuna uwanja huo, afu eti nawe ndie mchambuzi sasa. AIBUSAA kumi mkuu gemu itapigwa Mbeya uwanja wa Nelson mandela
Naona umeanza kutafuta visingizio mapema ili Simba ikishinda uhalalishe maneno yako ila ikifungwa, "game lilikuwa fair" .(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.