Huyu hapa kaamka na maumivu ya sindano ya Ihefu!! Pole sana!! Bado anafukuzwa na kivuli cha Ihefu!!(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Kwahiyo Prisons wakicheza na Yanga GSM wanawapa motisha ili waifunge yanga?Kwani hii NI Mara ya kwanza kufanya hivi hao Tanzania prisons hata wakicheza na YANGA huwa wanapewa motisha.
HUNA AKILI NA HUNA MALINDA.UNAJISIKIAJE KUANIKA UPUMBAVU WAKO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII??????????
Swali gani Hilo unalouliza.Kwahiyo Prisons wakicheza na Yanga GSM wanawapa motisha ili waifunge yanga?
Sent using Jamii Forums mobile app
""Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
1. Makosa ya kibinadamu [emoji736](1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
La azam lilikataliwa na mission ikawa saf, akadraw ili asilete upinzani kileleni, ya kwao yakawadodea ikalazimika waahid 25m ili pacha nae akwame awe wa3 kileleni awe azam kwa +1, kwa baht mby simba wateranga wakang'amua, chama kimewakosesha watu 25m hivi hiviMsimu uliopita apo Mbeya goli walilofunga Simba kupitia mkude ni mpira ambao ulikua umetoka nje ukarudishwa ndani ya uwanja na Simba wakajipatia goli na point tatu...
Powee dynamos walikula umeme kwao pale pale, kwan mechi ile ilikuwa chini ya ti ihefu ihefu?1. Makosa ya kibinadamu [emoji736]
2. Kadi nyingi za njano [emoji736]
3. Penati ya mchongo [emoji736]
TFF na Rais wao wawape makolo kombe wasitupotezee muda wetu...
Haha haha haha haya ni mambo ya kawaida sana kwenye game yoyote(1) makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa/waamuzi wa mchezo watakaochezesha huo mchezo.
(2)kadi za njano nyingi sana zitatolewa kwa Tanzania prisons mpaka kadi nyekundu kabisa.
(3) Penalty/Tuta ya mchongo ni Jambo la kawaida kutolewa na Simba sc watanufaika nalo.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi.
Mwisho wa dakika 90 Simba sc wameondoka na pointi tatu muhimuMakosa ya kibinadamu yako kwenye goli la pili. Yale ni makosa ya kibinadamu kaangalie vizuri.
Hamna Uwanja wa Nelson Mandela Mbeya. Kipigo cha Ihefu kimewachanganya Utopolo. Mwingine jana alimuita Kocha wao Nabi.Ngebe mbaya sana.SAA kumi mkuu gemu itapigwa Mbeya uwanja wa Nelson mandela
Wanakosea BBC wasema KUMRADHI Mimi Nani nisikosee??Hamna Uwanja wa Nelson Mandela Mbeya. Kipigo cha Ihefu kimewachanganya Utopolo. Mwingine jana alimuita Kocha wao Nabi.Ngebe mbaya sana.