Jiandikishe kugawa viungo vyako uishi milele

Na sisi tuanzishe zoezi hilo kwa kadri tuwezavyo.....!
 
Hiyo teknolojia inahitaji uwekezaji wa hali ya juu..Kwa nchi yetu itakuwa baadae sana!
 
Aliyomba/nunua /recipient akifa kabla ya donor hapo vipi?
 
Nipo tayari,lakini nianze kupewa advance kabisa kabla mzigo haujachukuliwa,pia nina swali je viungo vya mtu aliyeishi miaka mingi let's say 80-90_au 100 vitafaa kwa mtu mwingine mwenye umri chini ya huo?
Advance Muhimu
 
Aliyomba/nunua /recipient akifa kabla ya donor hapo vipi?
Orodha ya donors inakuwa ni kubwa, na orodha ya waombaji ni kubwa pia, sio one on one, na hujui ni nani au lini utampa/ au utapokea, ni kama bahati nasibu
 
mmh acha ntangulie na viungo vyangu... kuishi milele sio hivi

Mimi huu utaratibu hua nauona ni mzuri sana tu. Aftaroo hata ukizikwa na hayo maviungo yanaenda kuliwa na mafinyofinyo tu huko ardhini, bora hata usaidie kuokoa maisha ya mwanadamu mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…