Jiandikishe kugawa viungo vyako uishi milele

 
Chukulia mfano damu tu, unatoa bulee kuchangia damu, lkn ukienda unaambiwa damu hakuna kabisaaaa yaani ni changamoto kubwa sana kwa hapa bongo. Usiseme selikali inakusanya kodi ndogo alafu tunatumia gharama kubwa kutibu magonjwa.kwanza kunywa pombe na kuvuta cgara ni jambo la hiyali kingine kodi inayokusanywa ni kubwa tofauli na unavyofikili, kiwanda cha cgara hiki cha tanzania kitahudumia inch 5 , yaaani kuna nchi tado za africa zinategemea zigara kutoka tanzani, na kwa masaa 6 kiwanda kinazalisha cgara milion 30, pale cgara mfanyakazi mmoja anakatwa kodi 30% kutokana na mshahara wake, hapo bado kule kwa wakulima hatujakusanya kodi ya kuuza tumbaku nk, mfano kipindi cha uchaguzi congo hununua cgara nyingi sana
 
 
 
Hii kitu italeta madhara makubwa sana huko mbele kama mauwaji na human traficking nyie ipigieni debe muone km ni sifa
 
 
Da!!!!! kwa hali hii,hii ikipita, sintolewa tena na kutembea barabarani,,,unaweza kugongwa na gari makusudi ili wakakuvune figo!!
 
Ili jambo ni hatari sana niliwahi kumuona mdada alikuwa na changamoto ya figo aiseee ilikuwa inampa hardship sana sijui kwa sasa yuko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…