Huko daslam?Ndiýo nani huyo mkuu?,.
Kabla huja-comment uwe unaangalia kwanza upo Jukwaa gani.Hii nayo ni habari??
Huu shambenga hatuutaki humu. Kwanza hatumfahamu. Au unajipromote?Mtangazaji na CEO wa "Zamaradi Tv" mwanadada Zamaradi Mketema, amemjibu shabiki aliemwambia kuwa ana roho mbaya.
Sekeseke lilianza baada ya Zamaradi kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika "Mmanyema mmoja hivi!!"
View attachment 2907949
Moja ya shabiki wake akajitokeza na ku-reply kwenye hiyo post "mwenye roho mbaya yake". Mwanadada Zamaradi akashindwa kujizuia na kumjibu "Hatari kabisa tena mbaya kweli kweli".
View attachment 2907948
Hii sio mara ya kwanza watu kumshutumu Zamaradi kuwa ana roho mbaya maana hata aliekuwa rafiki wake wa karibu Faiza Ally alishawahi kumshutumu kwenye hilo.
Nini maoni yako?
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
wanawake wembamba, Mungu awasaidie tu, wengi wenu roho zenu mnazijua wenyewe. wakifuatiwa na wanawake wafupi. nakumbuka tu kipindi kile ruge analialia kwenye clip afu akairusha ili aaibike zaidi na akaenda kuolewa na huyo shambaboy wa pm. huyu dada nilimdharau tangu siku ile.Mtangazaji na CEO wa "Zamaradi Tv" mwanadada Zamaradi Mketema, amemjibu shabiki aliemwambia kuwa ana roho mbaya.
Sekeseke lilianza baada ya Zamaradi kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika "Mmanyema mmoja hivi!!"
View attachment 2907949
Moja ya shabiki wake akajitokeza na ku-reply kwenye hiyo post "mwenye roho mbaya yake". Mwanadada Zamaradi akashindwa kujizuia na kumjibu "Hatari kabisa tena mbaya kweli kweli".
View attachment 2907948
Hii sio mara ya kwanza watu kumshutumu Zamaradi kuwa ana roho mbaya maana hata aliekuwa rafiki wake wa karibu Faiza Ally alishawahi kumshutumu kwenye hilo.
Nini maoni yako?
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
Bongo ukitaka kutoboa inabidi uwe na roho mbaya kweli kweli. Ukiwa mkarimu au mwema, people take it as a sign of weakness and will definitely take advantage of you...Mtangazaji na CEO wa "Zamaradi Tv" mwanadada Zamaradi Mketema, amemjibu shabiki aliemwambia kuwa ana roho mbaya.
Sekeseke lilianza baada ya Zamaradi kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika "Mmanyema mmoja hivi!!"
View attachment 2907949
Moja ya shabiki wake akajitokeza na ku-reply kwenye hiyo post "mwenye roho mbaya yake". Mwanadada Zamaradi akashindwa kujizuia na kumjibu "Hatari kabisa tena mbaya kweli kweli".
View attachment 2907948
Hii sio mara ya kwanza watu kumshutumu Zamaradi kuwa ana roho mbaya maana hata aliekuwa rafiki wake wa karibu Faiza Ally alishawahi kumshutumu kwenye hilo.
Nini maoni yako?
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
Wanatoka Kigoma, ni waha wasiopenda kujiita au kuitwa wahaWamanyema wanatoka mkoa gani?
Mama abdul upo period unataka tukujibu halafu tupate balaa kutwa ya leo? Kwasababu hapo ulipo ukichuma tembele lazima likaukeItawasaidia CHADEMA kuingia ikulu. Ni habari kubwa sana hiyo
Kijana ningekujibu kwa matusi kama ulivyofanya ila kwa kulinda heshima yangu nimeona sio vema kujibishana na wewe kijana wa kiume unayekubali kuingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wenzio.Mama abdul upo period unataka tukujibu halafu tupate balaa kutwa ya leo? Kwasababu hapo ulipo ukichuma tembele lazima likauke
HahahahahaWanawake wa kimanyema wameua sana waume zao k.koo hpo wamiliki mijengo