Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maoni yangu hapo ni uwepo wa character assassinationMtangazaji na CEO wa "Zamaradi Tv" mwanadada Zamaradi Mketema, amemjibu shabiki aliemwambia kuwa ana roho mbaya.
Sekeseke lilianza baada ya Zamaradi kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika "Mmanyema mmoja hivi!!"
View attachment 2907949
Moja ya shabiki wake akajitokeza na ku-reply kwenye hiyo post "mwenye roho mbaya yake". Mwanadada Zamaradi akashindwa kujizuia na kumjibu "Hatari kabisa tena mbaya kweli kweli".
View attachment 2907948
Hii sio mara ya kwanza watu kumshutumu Zamaradi kuwa ana roho mbaya maana hata aliekuwa rafiki wake wa karibu Faiza Ally alishawahi kumshutumu kwenye hilo.
Nini maoni yako?
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
Mama Abdul nimetukana wapi? Au wewe Mama Abdul hauingii Period? Mimi ni mwanaume sasa naingiliwaje wakati mimi sio mfuasi wa papa?Kijana ningekujibu kwa matusi kama ulivyofanya ila kwa kulinda heshima yangu nimeona sio vema kujibishana na wewe kijana wa kiume unayekubali kuingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wenzio.
Wewe K jaribu kujiheshimu.Mama Abdul nimetukana wapi? Au wewe Mama Abdul hauingii Period? Mimi ni mwanaume sasa naingiliwaje wakati mimi sio mfuasi wa papa?
Mwenyekiti wa kijiji cha igurusi.Ndiýo nani huyo mkuu?,.