Jibu la Zamaradi baada ya kuambiwa ana roho mbaya

Maoni yangu hapo ni uwepo wa character assassination
 
Kijana ningekujibu kwa matusi kama ulivyofanya ila kwa kulinda heshima yangu nimeona sio vema kujibishana na wewe kijana wa kiume unayekubali kuingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wenzio.
Mama Abdul nimetukana wapi? Au wewe Mama Abdul hauingii Period? Mimi ni mwanaume sasa naingiliwaje wakati mimi sio mfuasi wa papa?
 
Wewe hauoni hata anenepi pamoja kuwa na maisha fresh? Mtu anatembelea Autobiography ,matangazo kibao ,mmewe sms garage inamuingizia maokoto ,TV inapata matangazo lakini Bibiye mwili umegoma...Aondoe chuki ili anenepe.
 
Mkuu ulishawahi kuwa mwandishi wa gazeti za udaku?maana uandishi wako kama nishauona sehemu.
 
Hivi hao the so called mashabiki wa watu kama hawa,huwa wanashabikia nini haswa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…