Jibu swali kibashite bashite hapa. Ukiulizwa kushoto wewe jibu kulia!!

Jibu swali kibashite bashite hapa. Ukiulizwa kushoto wewe jibu kulia!!

Swali: Mh. Ujenzi wa reli ya SGR utatumia fedha zetu au mkopo?

Jibu: Ole wenu kesho msinitoe Fenti fedi

Swali: Mh. Huu mchanga uliopo kwenye makontena haya una dhahabu kiasi gani?

Jibu: Sasahivi tunadhibiti wapiga dili wote
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mleta uzi kafikiria nn?
 
Swali:una watoto wangi na mkeo tangia ulipofunga nae ndoa mh.Bashite
Jibu;kwa kweli yale maharage tuliyokua tunakula na Ruge sijui ni ya wapi maana tulikua tunajamba sana..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
 
Awamu hii tunajifunza mengi sana!! Viongozi wetu ukiwauliza hiki wanakujibu kile!! Kwa mfano waziri wa viwanda ukimuuliza maendeleo ya viwanda walivyoahidi anakujibu vyungu vya kukaangia karanga za kuzungusha kwa ungo nacho ni kiwanda. Kana kwamba ndio ilikua ahadi yao ya kwenye kampeni. Hivyo kuonyeshwa kukelwa na majibu yao , hebu tuulizane maswali hapa huku tukijibu tofauti na swali la msingi ili kuenzi utamaduni wa viongozi wetu.

Mfano mkubwa zaidi angalizia (piga chabo) kwa bashite. Anaulizwa vyeti anajibu madawa ya kulevya, anauliza kuvamia clouds anajibu ninayajua mabaya mengi ya Rughe.

Natoa mifano kadhaa,, mwenzio akiuliza swali wewe jibu unavyojisikia kinyume na swali la muulizaji.

tikatika; swali.> tanzania tuna uhuru wa vyombo vya habari ??

Dogidogi; jibu> raisi wetu kesho anapokea taarifa ya mihogo ilivyo michungu!!

Swali,>Kwanini nape aliondolewa katika uwaziri??
Jibu;> bashite ana maendeleo siku hizi kajenga bonge la mjengo mwanza!!

Karibu tuzoee majibu wa viongozi wetu,,!

Swali:Kwani bashite una umri gani mbona unaonekana mdogo sana kulinganisha na madaraka makubwa uliuonayo

Jibu:koromije iunganishwe na dar ili iwe mojawapo ya wilaya za dar.nataka mipaka ya madaraka yangu iongezeke
 
Swali: Mama Anna mghwira wewe ni ACT mbona umeteuliwa na CCM kuwa RC utatekeleza ilani ipi?
JIBU: Mh. Rais anafanya kazi nzuri sana Watanzania mambo ya vyama tuweke pembeni watanzania wanataka maendeleo.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
FATMA NYANGASA. Swali; Mh Waziri (Dr.Mpango) deni la taifa linakua kufikia trilioni 50, huoni hii itaathiri utekelezaji wa bajeti mwaka ujao wa fedha??

DR.MPANGO; JIBU: ' Mataifa yote yanadaiwa.............'
 
Swali: mkuu eti PhD yako ni feki?

Jibu: nawaomba mniombee na mimi sitawaangusha kwani msemakweli ni mpenzi wa mungu.
 
Back
Top Bottom