Jicho la kisheria kuhusu uhalali wa barua ya Spika Ndugai kujiuzulu

Jicho la kisheria kuhusu uhalali wa barua ya Spika Ndugai kujiuzulu

Nashauri serikali isije kukosea ikamlipa mafao ya u-spika.
Huyu mtu ameondoka kwa kashfa na hajamaliza muda wake!
Tusitumie vby fedha za walipa kodi jamani, ale vihela vya ubunge vinamtosha!
Siyo kwa ccm ndugu. CCM ni kama ukoo wa panya. Lowasa alijuzulu lkn bado analipwa marupurupu yote Kama mstaafu ikiwemo pension ambayo ukubwa wake ni 80% ya mshahara wa Majaliwa (pm wa Sasa). Why not Ndugai?
 
Tatsiri yangu ni kuwa si kwamba spika hajui utaratibu bali Ndugai anapeleka ujumbe chamani kuwa waliomkataa ni wana ccm kwa sababu zao za kichama na si wananchi/Watanzania. Kwa hiyo wanachama wapende wasipende ndugai ataondoka kwa wanachama na atarudi kwa wananchi ambao watampa kazi yenye hadhi kama hiyo hiyo au hata yenye hadhi ya juu zaidi
Wananchi wepi hao? Labda mazuzu kama wewe.

Spika pekee aliyejijengea heshima kwa wananchi ni Samuel Sitta peke yake na akaja kujivunjia heshima mwenyewe kwenye bunge la katiba kwa tamaa ya Urais.
 
Kuna siku tutaskia Mnyika kapokea Barua ya kujiuzulu Uenyekiti wa Taifa Bw. FREEMAN
Sawa,ila hiyo haiondoi ukweli kwamba kajiuzuru pamoja na hizo proceedings,labda aikane barua yake mwenyewe,kwamba si yeye aliyeiandika
 
Yawezekana kuwa barua Ile hakuiandika yeye na Wala haikuchapwa kwenye ofisi yake na secretary wake Kwa jinsi ilivyopangiliwa pamoja na kutumia herufi kubwa kwenye barua yote!
Yawezekana mwandishi siyo secretary wake na au imechapwa na tiss Kisha yeye kulazimishwa kuweka sahihi yake!
Aje hadharani aikatae au kuikubali barua Ile na aseme kwanini hakuizingatia katiba na kanuni za bunge ambazo kashiriki kuzitunga na kuwapa kuzisimamia!
Kwa mwanasheria mkuu wa serikali ambaye ndiye mshauri wa rais kwenye masuala ya sheria anatakiwa amweleweshe rais kasoro zilizopo kwenye barua hiyo na ilibidi rais aikatae ili ikaandikwe upya na ama sheria na kanuni za bunge zizingatiwe ili kuepusha mgogoro wa kikatiba ambao upo wazi Kwa Sasa!
Haya ni mashaka na mtazamo wangu japo wasio na uelewa wa makosa hayo watanichana kimhemko!
 
Kutokana na Barua ya kujiuzulu kwa Spika kuelekezwa kwa katibu mkuu wa chama ambapo ni kinyume cha katiba iliyompa mamlaka, ambapo angepaswa kuiwasilisha bungeni ni wazi kwamba hizo ni dharau!
Ndungai ni kama alikuwa amekwiamini pengine yeye bunge ni la kwake na kwamba pengine lisingeweza kutokea lolote la kumwajibisha!
Ndungai kwa maneno yake mengine bungeni ambayo alikuwa akiyatamka kibabe, na wakati mwingine kutumia ubabe kufanya yale aliyokuwa akifanya, alidhani boss wake ni mmoja tu na kikatiba hakuna popote anabowajibika!
Haiwezekani kwa spika ambaye alianza kuwa naibu spika kisha spika kamili ambapo amesimamia mengi bungeni kwa kuzingatia kanuni za bunge na katiba halafu akafanya alichofanya!
Hiki alichofanya si kwa bahati mbaya bali ni dharau kwa katibu mkuu ambaye ni mwanamama!
Kwa hili alilolifanya ahojiwe na achukuliwe hatua stahiki kwa dharau zake!
 
Wananchi wepi hao? Labda mazuzu kama wewe.

Spika pekee aliyejijengea heshima kwa wananchi ni Samuel Sitta peke yake na akaja kujivunjia heshima mwenyewe kwenye bunge la katiba kwa tamaa ya Urais.
Hata huyo six hovyo tu. Na hata kama angekuwa mzur bado uzur wake hauwez kuonekana ndani ya katiba iliyopo sababu katiba hii inalifanya bunge kama nyumba ndogo ya executive. Ndugai yeye alienda mbali zaid, hakuna nyumba ndogo tu bali alijigeuza kabisa house boy wa banda la ng'ombe huko chatrou
 
Hata huyo six hovyo tu. Na hata kama angekuwa mzur bado uzur wake hauwez kuonekana ndani ya katiba iliyopo sababu katiba hii inalifanya bunge kama nyumba ndogo ya executive. Ndugai yeye alienda mbali zaid, hakuna nyumba ndogo tu bali alijigeuza kabisa house boy wa banda la ng'ombe huko chatrou
Mm binafsi naona tatizo co ktb au sheria tatizo ni utashi wa viongozi mf ktb iliyopo ni mara ngapi tunaona viongozi wakiivunja?hatua8 zipi zimechukuliwa au nani kakemee bussines as usual wt wanaapa kuilinda na kuitetea ktb lakini hao hao ndio wanaivunja na sheria zo wazi ukivunja ktb unatakiwa ufukuzwe kazi lakini nani kafukuzwa sbb hakuna anayejali hivyo ata tukiwa na ktb mpya nani atailinda na kuitetea jama viongoz ni walewale wasiokuwa na utashi wananchi tunatakiwa tuwe watetezi tukiona kuingoz anavunja jtb tuseme no
 
Nchi ya hovyo sana hii... halafu Chongolo kwa umbumbumbu wake akaaja front kusema kapokea barua ambayo haikufuata utaratibu. Huenda hii barua imeandikwa na maccm yenyewe ili kumfurahisha mwenyekiti.
Yote heri....
 
Ndugu zangu watanzania mnafahamu fika nchi yetu si yenye kufuata misingi ya sheria na utaratibu, hata issue ya Job kuhoji, katiba inamruhusu ila kwa sababu nchi yenyewe haina mwenye kauli ya mwisho ndiyo basi tena.

Angalau Mkapa au late faza of nation angekuwepo tungepata last say now kila mtu anapiga ngoma anavyoweza na mwenye ngoma iko na sauti kubwa huyo ndiye wachezaji wanakata viuono kwa juhudi.
 
Nikiri wazi kuwa nami, nikiwa mtanzania wa kawaida na mfuatiliaji mzuri wa mambo ya kisiasa na kijamii, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sakata lililopelekea Spika Job Yustino Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika. Nimefuatilia pia mjadala ulioibuka kuhusu uhalali wa barua yake ya kujiuzulu Uspika. Kama Msomi wa sheria (neno lililokuwa likimkwaza Mjiuzulu) nawiwa kuchangia katika hoja hii.

Nimepata fursa, ingawa si kubwa sana, kupitia Ibara za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sura Nambari 2 ya Sheria za Nchi yetu (Katiba) na Kanuni za Kudumu za Bunge (Toleo la 2016) ili kuona utaratibu wa kufuatwa pale Spika anapotaka kujiuzulu. Nimepitia nyaraka hizi kwakuwa ndizo hasa zinazounda na kuendesha Bunge kwa kiwango kikubwa. Kanuni tajwa za Bunge zimetungwa chini ya Ibara ya 89 ya Katiba.

Nilianza na Kanuni za Kudumu za Bunge. Neno 'kujiuzulu' limetajwa mara sita kwenye Kanuni husika. Ni kuhusu maazimio ya kuwaondoa madarakani Rais, Makamu wa Rais, Spika na Naibu Spika. Kuhusiana na Spika, kujiuzulu kwake kunaelezwa kwenye Kanuni ya 137 Fasili ya 6. Ni pale ambapo Spika anajiuzulu kabla ya uamuzi wa hoja ya Bunge ya kumuondoa madarakani. Namna ya kujiuzulu huku, kwa mujibu wa Kanuni na Fasili tajwa ni kutoa maelezo yake Bungeni. Kimsingi, ni wakati wa kikao cha Bunge. Kwa Ndugai hakukuwa na hoja ya aina hiyo.

Kanuni za Bunge hazisemi wala hazitoi utaratibu wowote wa namna ya kujiuzulu kwa Spika pale ambapo hakuna hoja ya kumuondoa madarakani ndani ya Bunge kwa mujibu wa Kanuni ya 137 nzima. Lakini, Katiba inatoa majibu. Ibara ya 149, Ibara Ndogo ya 1 kifungu (c) inamtaka Spika anayetaka kujiuzulu kuwasilisha taarifa yake ya maandishi aliyoitia saini yake kwenye Bunge. Kwangu mimi, 'kwenye Bunge' kunamaanisha kwa Mtendaji Mkuu katika Ofisi ya Bunge ambaye ni Katibu wa Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 87, Ibara ndogo ya 2.

Kwakuwa Kanuni za Bunge ziko kimya kuhusu utaratibu wa Spika kujiuzulu bila ya uwepo wa hoja ya kumuondoa madarakani Bungeni, matakwa ya Katiba LAZIMA yatimizwe. Ndiyo kusema, taarifa ya kujiuzulu kwa Spika LAZIMA iwasilishwe kwa Katibu wa Bunge na si vinginevyo. Si sawa wala sahihi kwa Spika kuwasilisha taarifa ya kujiuzulu kwake kwa Katibu Mkuu wa CCM badala ya Katibu wa Bunge. Haikuwa sahihi pia Katibu wa Bunge kunakiliwa TU barua husika.

Hivyobasi, nakubaliana na wote wanaotoa maoni ya kisheria kuwa barua/taarifa ya Spika Job Yustino Ndugai ya kujiuzulu kwake haikuwa halali. Anapaswa kuandika, kusaini na kuwasilisha taarifa yake kwa mujibu wa Katiba. Katibu Mkuu wa CCM, namshauri, kujiweka mbali na mtego huu wa kikatiba. Ingekuwa sahihi kuandikiwa Katibu Mkuu wa CCM kama Ndugai angetaka kuachia uanachama wake wa CCM.
Tuna mkuu wa nchi ambaye ndiye mkuu wa mihimili yote. Ndungai kwa bahati mbaya au kwa kukusudia alimkwaza sana mkuu wa nchi kwa kumbeza kukopakopa. Mkuu wa nchi kakasirika sana na hata baada ya kuombwa msamaha na huyo Ndungai, mkuu wa nchi alikataa kumsamehe.

Kwa hali kama hiyo the best logical option ilikuwa ni Ndungai kumwaandikia (direct) barua ya siri mkuu huyo wa nchi aliyemkwaza kumjulisha uamuzi wake huo wa kukaa pembeni (kujiuzuru) ili kazi iendelee bila vikwazo na kumuahidi atakuwa raia mwema na mtiifu kwa nchi yake. Mkuu wa nchi baada ya kupokea barua hiyo na kuridhia, ndiye angalizielekeza mamlaka husika kufanya mchakato wa kupata spika mwingine.

Haya mambo ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kutoa TAARIFA KWA UMMA hayafai. Hata huo msamaha aliomuomba mkuu wa nchi kwa kupitia vyombo vya habari, ni utaratibu mbaya. Kwa nini hakumuandikia mkuu wa nchi moja kwa moja na/ au kuonana naye moja kwa moja? Siku ya kutathimini matumizi ya huo mkopo wa 1.3 trillion ilikuwa mhimu kwake ku lobby kuhudhuria kikao hicho na kupewa fursa ya kuweka mambo sawa na kuomba msamaha kwa kutoeleweka vizuri.

Kama ulivyosema katiba na kanuni za bunge hazitoi maelekezo ya namna spika anavyoweza kujiuzuru katika mazingira ya aina hii yaliyomkuta Job Ndungai. Katiba na kanuni za bunge zinaelekeza tu namna ya kupata spika mwingine mara kiti hicho kinapokuwa wazi.
 
IMG_20220107_143809.jpg
 
Nikiri wazi kuwa nami, nikiwa mtanzania wa kawaida na mfuatiliaji mzuri wa mambo ya kisiasa na kijamii, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sakata lililopelekea Spika Job Yustino Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika. Nimefuatilia pia mjadala ulioibuka kuhusu uhalali wa barua yake ya kujiuzulu Uspika. Kama Msomi wa sheria (neno lililokuwa likimkwaza Mjiuzulu) nawiwa kuchangia katika hoja hii.

Nimepata fursa, ingawa si kubwa sana, kupitia Ibara za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sura Nambari 2 ya Sheria za Nchi yetu (Katiba) na Kanuni za Kudumu za Bunge (Toleo la 2016) ili kuona utaratibu wa kufuatwa pale Spika anapotaka kujiuzulu. Nimepitia nyaraka hizi kwakuwa ndizo hasa zinazounda na kuendesha Bunge kwa kiwango kikubwa. Kanuni tajwa za Bunge zimetungwa chini ya Ibara ya 89 ya Katiba.

Nilianza na Kanuni za Kudumu za Bunge. Neno 'kujiuzulu' limetajwa mara sita kwenye Kanuni husika. Ni kuhusu maazimio ya kuwaondoa madarakani Rais, Makamu wa Rais, Spika na Naibu Spika. Kuhusiana na Spika, kujiuzulu kwake kunaelezwa kwenye Kanuni ya 137 Fasili ya 6. Ni pale ambapo Spika anajiuzulu kabla ya uamuzi wa hoja ya Bunge ya kumuondoa madarakani. Namna ya kujiuzulu huku, kwa mujibu wa Kanuni na Fasili tajwa ni kutoa maelezo yake Bungeni. Kimsingi, ni wakati wa kikao cha Bunge. Kwa Ndugai hakukuwa na hoja ya aina hiyo.

Kanuni za Bunge hazisemi wala hazitoi utaratibu wowote wa namna ya kujiuzulu kwa Spika pale ambapo hakuna hoja ya kumuondoa madarakani ndani ya Bunge kwa mujibu wa Kanuni ya 137 nzima. Lakini, Katiba inatoa majibu. Ibara ya 149, Ibara Ndogo ya 1 kifungu (c) inamtaka Spika anayetaka kujiuzulu kuwasilisha taarifa yake ya maandishi aliyoitia saini yake kwenye Bunge. Kwangu mimi, 'kwenye Bunge' kunamaanisha kwa Mtendaji Mkuu katika Ofisi ya Bunge ambaye ni Katibu wa Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 87, Ibara ndogo ya 2.

Kwakuwa Kanuni za Bunge ziko kimya kuhusu utaratibu wa Spika kujiuzulu bila ya uwepo wa hoja ya kumuondoa madarakani Bungeni, matakwa ya Katiba LAZIMA yatimizwe. Ndiyo kusema, taarifa ya kujiuzulu kwa Spika LAZIMA iwasilishwe kwa Katibu wa Bunge na si vinginevyo. Si sawa wala sahihi kwa Spika kuwasilisha taarifa ya kujiuzulu kwake kwa Katibu Mkuu wa CCM badala ya Katibu wa Bunge. Haikuwa sahihi pia Katibu wa Bunge kunakiliwa TU barua husika.

Hivyobasi, nakubaliana na wote wanaotoa maoni ya kisheria kuwa barua/taarifa ya Spika Job Yustino Ndugai ya kujiuzulu kwake haikuwa halali. Anapaswa kuandika, kusaini na kuwasilisha taarifa yake kwa mujibu wa Katiba. Katibu Mkuu wa CCM, namshauri, kujiweka mbali na mtego huu wa kikatiba. Ingekuwa sahihi kuandikiwa Katibu Mkuu wa CCM kama Ndugai angetaka kuachia uanachama wake wa CCM.
Ni kweli kabisa Katiba inaelekeza kama Spika atajiuzulu,ataandika barua kwenda Bunge ( Katibu wa bunge) kitendo cha Katibu kupewa Nakala siyo Sahihi, hivyo Ndugai anapaswa kuandika barua kwenda kwa Katibu wa Bunge kama Mtendaji.
 
Nchi ya hovyo sana hii... halafu Chongolo kwa umbumbumbu wake akaaja front kusema kapokea barua ambayo haikufuata utaratibu. Huenda hii barua imeandikwa na maccm yenyewe ili kumfurahisha mwenyekiti.
Chongolo ni punguani flani hivi. Ndio maana hata Badjita alikuwa anayaburuza
 
Tatsiri yangu ni kuwa si kwamba spika hajui utaratibu bali Ndugai anapeleka ujumbe chamani kuwa waliomkataa ni wana ccm kwa sababu zao za kichama na si wananchi/Watanzania. Kwa hiyo wanachama wapende wasipende ndugai ataondoka kwa wanachama na atarudi kwa wananchi ambao watampa kazi yenye hadhi kama hiyo hiyo au hata yenye hadhi ya juu zaidi

Majivuno ndio yamemuangusha. Huwezi kusema " mama yenu juzi hapa kaenda kukopa" wakati huo mkopo ulipitia kwenye kamati ya bunge. Ndugai anatafuta maslahi ya kisiasa Kama angekuwa mkweli asingekubali pesa za walipa Kodi ziwalipe wabunge wasiokuwa na sifa.
 
Nikiri wazi kuwa nami, nikiwa mtanzania wa kawaida na mfuatiliaji mzuri wa mambo ya kisiasa na kijamii, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sakata lililopelekea Spika Job Yustino Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika. Nimefuatilia pia mjadala ulioibuka kuhusu uhalali wa barua yake ya kujiuzulu Uspika. Kama Msomi wa sheria (neno lililokuwa likimkwaza Mjiuzulu) nawiwa kuchangia katika hoja hii.

Nimepata fursa, ingawa si kubwa sana, kupitia Ibara za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sura Nambari 2 ya Sheria za Nchi yetu (Katiba) na Kanuni za Kudumu za Bunge (Toleo la 2016) ili kuona utaratibu wa kufuatwa pale Spika anapotaka kujiuzulu. Nimepitia nyaraka hizi kwakuwa ndizo hasa zinazounda na kuendesha Bunge kwa kiwango kikubwa. Kanuni tajwa za Bunge zimetungwa chini ya Ibara ya 89 ya Katiba.

Nilianza na Kanuni za Kudumu za Bunge. Neno 'kujiuzulu' limetajwa mara sita kwenye Kanuni husika. Ni kuhusu maazimio ya kuwaondoa madarakani Rais, Makamu wa Rais, Spika na Naibu Spika. Kuhusiana na Spika, kujiuzulu kwake kunaelezwa kwenye Kanuni ya 137 Fasili ya 6. Ni pale ambapo Spika anajiuzulu kabla ya uamuzi wa hoja ya Bunge ya kumuondoa madarakani. Namna ya kujiuzulu huku, kwa mujibu wa Kanuni na Fasili tajwa ni kutoa maelezo yake Bungeni. Kimsingi, ni wakati wa kikao cha Bunge. Kwa Ndugai hakukuwa na hoja ya aina hiyo.

Kanuni za Bunge hazisemi wala hazitoi utaratibu wowote wa namna ya kujiuzulu kwa Spika pale ambapo hakuna hoja ya kumuondoa madarakani ndani ya Bunge kwa mujibu wa Kanuni ya 137 nzima. Lakini, Katiba inatoa majibu. Ibara ya 149, Ibara Ndogo ya 1 kifungu (c) inamtaka Spika anayetaka kujiuzulu kuwasilisha taarifa yake ya maandishi aliyoitia saini yake kwenye Bunge. Kwangu mimi, 'kwenye Bunge' kunamaanisha kwa Mtendaji Mkuu katika Ofisi ya Bunge ambaye ni Katibu wa Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 87, Ibara ndogo ya 2.

Kwakuwa Kanuni za Bunge ziko kimya kuhusu utaratibu wa Spika kujiuzulu bila ya uwepo wa hoja ya kumuondoa madarakani Bungeni, matakwa ya Katiba LAZIMA yatimizwe. Ndiyo kusema, taarifa ya kujiuzulu kwa Spika LAZIMA iwasilishwe kwa Katibu wa Bunge na si vinginevyo. Si sawa wala sahihi kwa Spika kuwasilisha taarifa ya kujiuzulu kwake kwa Katibu Mkuu wa CCM badala ya Katibu wa Bunge. Haikuwa sahihi pia Katibu wa Bunge kunakiliwa TU barua husika.

Hivyobasi, nakubaliana na wote wanaotoa maoni ya kisheria kuwa barua/taarifa ya Spika Job Yustino Ndugai ya kujiuzulu kwake haikuwa halali. Anapaswa kuandika, kusaini na kuwasilisha taarifa yake kwa mujibu wa Katiba. Katibu Mkuu wa CCM, namshauri, kujiweka mbali na mtego huu wa kikatiba. Ingekuwa sahihi kuandikiwa Katibu Mkuu wa CCM kama Ndugai angetaka kuachia uanachama wake wa CCM.

Pole Sana Tanzania hakuna utawala wa sheria. ndio maana leo tunatoza wananchi na kukopa nje ili tuwalipe wabunge 19 wasiokuwa na sifa kikatiba.
 
Watanzania na dunia mzima inajua kwamba Ndugai kajiuzulu uspika. Hiyo ndo fact. We ukatae ni shauri yako na hakuna kitacho badilika. Huo ndo ukweli. Lakini kama ni school/academic discussion haya!
Ok uko vizuri.lakni kumbuka katika sakata la matibabu ya Lissu .ndugai alisema ofs yake haijui kuwa Lissu Yuko wapi na anafanya Nini wakati dunia mzima
inajua yalo mpata Lissu
 
Nikiri wazi kuwa nami, nikiwa mtanzania wa kawaida na mfuatiliaji mzuri wa mambo ya kisiasa na kijamii, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sakata lililopelekea Spika Job Yustino Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika. Nimefuatilia pia mjadala ulioibuka kuhusu uhalali wa barua yake ya kujiuzulu Uspika. Kama Msomi wa sheria (neno lililokuwa likimkwaza Mjiuzulu) nawiwa kuchangia katika hoja hii.

Nimepata fursa, ingawa si kubwa sana, kupitia Ibara za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sura Nambari 2 ya Sheria za Nchi yetu (Katiba) na Kanuni za Kudumu za Bunge (Toleo la 2016) ili kuona utaratibu wa kufuatwa pale Spika anapotaka kujiuzulu. Nimepitia nyaraka hizi kwakuwa ndizo hasa zinazounda na kuendesha Bunge kwa kiwango kikubwa. Kanuni tajwa za Bunge zimetungwa chini ya Ibara ya 89 ya Katiba.

Nilianza na Kanuni za Kudumu za Bunge. Neno 'kujiuzulu' limetajwa mara sita kwenye Kanuni husika. Ni kuhusu maazimio ya kuwaondoa madarakani Rais, Makamu wa Rais, Spika na Naibu Spika. Kuhusiana na Spika, kujiuzulu kwake kunaelezwa kwenye Kanuni ya 137 Fasili ya 6. Ni pale ambapo Spika anajiuzulu kabla ya uamuzi wa hoja ya Bunge ya kumuondoa madarakani. Namna ya kujiuzulu huku, kwa mujibu wa Kanuni na Fasili tajwa ni kutoa maelezo yake Bungeni. Kimsingi, ni wakati wa kikao cha Bunge. Kwa Ndugai hakukuwa na hoja ya aina hiyo.

Kanuni za Bunge hazisemi wala hazitoi utaratibu wowote wa namna ya kujiuzulu kwa Spika pale ambapo hakuna hoja ya kumuondoa madarakani ndani ya Bunge kwa mujibu wa Kanuni ya 137 nzima. Lakini, Katiba inatoa majibu. Ibara ya 149, Ibara Ndogo ya 1 kifungu (c) inamtaka Spika anayetaka kujiuzulu kuwasilisha taarifa yake ya maandishi aliyoitia saini yake kwenye Bunge. Kwangu mimi, 'kwenye Bunge' kunamaanisha kwa Mtendaji Mkuu katika Ofisi ya Bunge ambaye ni Katibu wa Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 87, Ibara ndogo ya 2.

Kwakuwa Kanuni za Bunge ziko kimya kuhusu utaratibu wa Spika kujiuzulu bila ya uwepo wa hoja ya kumuondoa madarakani Bungeni, matakwa ya Katiba LAZIMA yatimizwe. Ndiyo kusema, taarifa ya kujiuzulu kwa Spika LAZIMA iwasilishwe kwa Katibu wa Bunge na si vinginevyo. Si sawa wala sahihi kwa Spika kuwasilisha taarifa ya kujiuzulu kwake kwa Katibu Mkuu wa CCM badala ya Katibu wa Bunge. Haikuwa sahihi pia Katibu wa Bunge kunakiliwa TU barua husika.

Hivyobasi, nakubaliana na wote wanaotoa maoni ya kisheria kuwa barua/taarifa ya Spika Job Yustino Ndugai ya kujiuzulu kwake haikuwa halali. Anapaswa kuandika, kusaini na kuwasilisha taarifa yake kwa mujibu wa Katiba. Katibu Mkuu wa CCM, namshauri, kujiweka mbali na mtego huu wa kikatiba. Ingekuwa sahihi kuandikiwa Katibu Mkuu wa CCM kama Ndugai angetaka kuachia uanachama wake wa CCM.
Kwa mtazamo wangu mimi, nadhani kuna scenario kadhaa za kuzingatia;

1. Kwanza lazima tuelewe pia kuwa, jambo hili pamoja na kuwa ni la kisheria na kikatiba, lakini pia ni la KISIASA, kwamba, ndani yake kunachezwa gemu ya kisiasa kupumbaza umma...

2. Spika Ndugai na administration ya Bunge kwa ujumla si wajinga wa taratibu za kisheria na kikatiba kiasi hicho hata hata washindwe kuona njia sahihi ya kujiuzulu Spika..

3. Kuna possibility kubwa barua iliyokwenda kwa KM wa CCM ni nyingine (ndiyo tunayopumbazwa nayo) na wakati huohuo Katibu wa Binge naye akiwa amepata barua iliyofuata utaratibu halali wa kisheria na kikatiba kujiuzulu kwake...

4. Kumbeni kuwa, CCM ni watu wajanja na wanajua sana kucheza michezo ya kisiasa. Yote hii ni katika ku - minimize political damage ya chama chao...!!
 
Back
Top Bottom