Jicho la kisheria kuhusu uhalali wa barua ya Spika Ndugai kujiuzulu

Hii siyo mimi. Ni katiba ya Tanzania. Speaker hajajiuzulu


MODS. TAGADHALI MSIUNGANISHE.
 
Kazi siyo utumwa. Nionyeshe sehemu yoyote ya katiba au sheria inayomlazimu mtu kufanya kazi asiyoitaka, yaani awe mtumwa wa kazi hiyo. Spika au mtu mwingine, akiona hataki kazi hiyo, au kazi ingine yoyote ile, anaweza kijiuzulu chooni au maktaba au barabarani au ITV, popote pale kwa njia yoyote ile mradi wahusika wamesikia. Mdau mkubwa hapa ni CCM, chama tawala, kikishasikia wadau wote wamesikia.Kufanya handing over ni kitu ingine, tena privare. Mbatiya hana akili.
 
Hizo ni technicalities ambazo can be cured by refiling the same letter to the correct authority.



Emphasis should be taken that, such an error is not fatal and doesn't negate the whole process to the extent that the petitioner rights are infringed or the process leads to abuse of powers stipulated in the Constitution.



I therefore find that any application to negate the resignation of his Honorable Speaker being plausible for academic purposes rather than justice for that cause.



However one cannot deny the fact that adherence to the Constitution is a matter of Law since it is a "grund norm".
 
Nauliza tuu.. Hivi kipindi cha Ndugai kulikuwa na bunge linalo fuata sheria? Au ilikuwa kama klabu ya ulanzi? Sasa muuza ulanzi kafunga banda lake. Hiyo sheria mnaitakia wapi?
 

sasa kama yeye alipitisha uviko 19 bado unataka kuja kuchambua barua !.
badilika kwa kuachana na ccm
 
Aibu kwa cc mabush lawyer, Mhimili unaotunga sheria haujui uadresi wapi barua.
Bunge halina washauri kitaaluma kwa sheria?
Bunge halina maofisa waliosomea elimu ya siasa?
Bunge halina maofisa wakushauriana na mihimili mingine?
Aibu!Aibu!
 
Mods futeni huu ujingaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nashauri serikali isije kukosea ikamlipa mafao ya u-spika.
Huyu mtu ameondoka kwa kashfa na hajamaliza muda wake!
Tusitumie vby fedha za walipa kodi jamani, ale vihela vya ubunge vinamtosha!
ACHA WIVU, ROHO MBAYA NA AKILI MBOVU
 
Mkuu waliomzonga ni chama chake cha kijani na kwakuwa yeye pia ni mwananchama na jina lake lilipendekezwa kupitia chama chake na kwakuwa wao ndio walioshinikiza kujiuzulu amewapelekea barua waliyotaka kisha kuondoka kwenye hiyo ofisiambayo wao wanahisi ni kikwazo kwao imetosha amewaachia mengine mtajua wenyewe.

Hamuwezi kumlazimisha kubadili barua aliyoandika nmwisho wa siku lazima aliyesimama hadharani kumtisha kwamba ni adui yake ataibeba lawama yote pamoja na laana zote kwa kile kilichotokea.

Usijadili kilichofanyika na spika tu, jadili pia kitendo cha mhimili tendaji ambao ndio heshima ya nchi ukisema hadharani maneno ya vitisho dhidi ya mwenye dhamana ya mhimili jamii hapo wote walikosea na watailipa gharama yake.

You are a seasoned lawyer, do not analyze issues by choosing a position to stake, it is absolutely double standards
 
Punguani tu yule,kajidhalilisha sana kwa wale uviko19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…