Jicho la kisheria kuhusu uhalali wa barua ya Spika Ndugai kujiuzulu

Good brain barkiwa sana
 
Watanzania na dunia mzima inajua kwamba Ndugai kajiuzulu uspika. Hiyo ndo fact. We ukatae ni shauri yako na hakuna kitacho badilika. Huo ndo ukweli. Lakini kama ni school/academic discussion haya!
kama hujui kitu bora ufunge tu domo sio kila kitu unarukia tu
 
Katibu wa bunge ameshatangaza kiti kipo wazi na uchaguzi wa spika mpya ni tarehe 1 February.

Hizi nyingine ni porojo tu, wale wadada 19 wapo bungeni kwa katiba ipi?
nyammmbafff unakubali nini unakataa nini. ungefunga tu hilo domo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…