Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hawa watu walikuwa washirika wakubwa na wa karibu wa Mzee Baba na huenda waliunda ushirika wao kwa lengo la kufanikusha mipango yao kwani si rahisi kwa tunayoyasikia kutokea kirahisirahisi tu kisa eti fulani alikuwa mgonjwa(mnaanzaje kwa mfano?)
Hivyo basi, kwa mtazamo wangu, inawezekana walikuwa wanashirikiana kuhifadhi noti katika ile Benki kubwa (kama yasemwayo ni ya kweli) na walipoona dalili za Mzeee Baba kuondoka huku wakiwa na hofu ya mrithi wake kuzuia fedha hizo, wakaamua kuziondoa haraka kwa tahadhari ili zisije kuchukuliwa au kuwalatea matatizo iwapo mrithi wa Mzee Baba angeamua kuzizuia.
Kama niwazavyo ni sahihi, najiuliza tu kama familia ya Mzee Baba imeambulia chocolate na kama wamedhulumiwa, nawaza wataenda kushitaki wapi zaidi ya wao kulipiza kwa kutoa siri na kuwa wapole.
Hivyo basi, kwa mtazamo wangu, inawezekana walikuwa wanashirikiana kuhifadhi noti katika ile Benki kubwa (kama yasemwayo ni ya kweli) na walipoona dalili za Mzeee Baba kuondoka huku wakiwa na hofu ya mrithi wake kuzuia fedha hizo, wakaamua kuziondoa haraka kwa tahadhari ili zisije kuchukuliwa au kuwalatea matatizo iwapo mrithi wa Mzee Baba angeamua kuzizuia.
Kama niwazavyo ni sahihi, najiuliza tu kama familia ya Mzee Baba imeambulia chocolate na kama wamedhulumiwa, nawaza wataenda kushitaki wapi zaidi ya wao kulipiza kwa kutoa siri na kuwa wapole.