Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mambo mengine (hasa mambo ya hovyo kama ushoga) ukitaka yasienee hutakiwi kuyazungumzia kabisa.

Nguvu wanayo itumia Qatar kupambana na ushoga kwenye kombe la DUNIA itafanya hata wale ambao walikuwa hawajui ushoga ni nini wawe curious kujua ni kitu GANI hicho.

Sasa hivi ushoga unatajwa mara nyingi zaidi kuliko hata kombe lenyewe.

Nahisi walio peleka kombe Qatar agenda yao kuu ilikuwa ni kuutangaza ushoga in an indirect way (there is no bad publicity)

Walijua waarabu wataingia mkenge na kutumia nguvu kubwa kudeal na ishu ya ushoga jambo ambalo lita upromote ushoga in the process.

Kama watu wa Intelligence wa Qatar hawaku waza hiki ninacho kiwaza mimi basi tayari wamekwisha feli unless otherwise ndani ya serikali ya Qatar wapo mapandikizi wa USA and co ambao WANAJUA kitu GANI wanakifanya.

Nipo nimekaa pale mtakuja kuniambia.

JK akiwa Rais aliwahi kuulizwa swali na mwandishi wa CNN.

Mwandishi: Nini misimamo wako kuhusu haki za mashoga.

J.K: Katika jamii ninayoishi baadhi ya mambo ni taboo/mwiko hata kuyazungumzia KWA hiyo sina chochote cha kukujibu.

FANTASTIC ANSWER. AND THIS IS WHAT I AM TALKING ABOUT
Screenshot_20221125-155200.png
 
LITAUTANGAZA ILA UTAZIDI KUCHUKIWA NA WANAOUPENDA WATAFURAHIA KIMOYONI KWA KIHAMU CHAO KUTAJWA KWA UKUBWA WAKE.
 
Lengo la qatar sio kutotangqza ushoga, wao ni hawataki ushoga ktk ardhi yao... wale wanaoitakabna kuutangaza wakafanyie kwingine... ukitangqziwa nje kwao haina madhara...
Nguvu wanayotumia kupambana na ushoga imefanya habari za ushoga ziwe popular zaidi uarabuni na middle east yote kuliko kipindi chochote kile.

KWA kawaida kwa tamaduni za kiarabu habari za ushoga huwa hazizungumzwi kabisa hadharani ni mwiko mkubwa sana kuzungumza habari kama hizo.

Qatar hawakuwa na ulazima wowote ule wa kuandaa hayo mashindano huku wakijua watalazimika kuzungumza habari za ushoga na mashoga.
 
LITAUTANGAZA ILA UTAZIDI KUCHUKIWA NA WANAOUPENDA WATAFURAHIA KIMOYONI KWA KIHAMU CHAO KUTAJWA KWA UKUBWA WAKE.
Tatizo ni kwamba watafanya vijana wengi wa arabuni na middle east kuwa curious na huo ushoga na hapo ndipo ushoga utakapo tamalaki katika nchi hizo kama ambavyo sasa hivi Misri, Jordan na Lebanon umeanza kutamalaki
 
Kama kueneza ushoga ndio ajenda ya wamarekani Basi nawaambia hawatatoboa kamwe.

Labda wasubiri mwaka 2026 huko Canada na Mexico ndio watakuwa na fursa nzuri ya kueneza ushoga.

Wacha tuendelee kufuatilia mechi za kombe la Dunia tuone bingwa atakuwa nani
 
Hata kupeleka hayo mashindano Uarabuni.

Mwarabu ameingia kingi.
Amejikuta yeye ndie anayetangaza. Ukiukataa au kuukubali maana yake unautangaza.

Waarabu wameingia kingi

MUNGU INUSURU DUNIA TUNAELEKEA PABAYA MNO.
 
Kama kueneza ushoga ndio ajenda ya wamarekani Basi nawaambia hawatatoboa kamwe.
Labda wasubiri mwaka 2026 huko Canada na Mexico ndio watakuwa na fursa nzuri ya kueneza ushoga.

Wacha tuendelee kufuatilia mechi za kombe la Dunia tuone bingwa atakuwa nani
Kaka kombe likifanyikia Canada ushoga hauwezi kuwa ishu KWA sababu haitatumika nguvu yoyote kuutangaza/kuupinga.

Tumekuwa tukitazama ligi za Uingereza, Spain n.k ambako bendera za upinde zimekuwa ni jambo la kawaida na watu wamekuwa wakizipuuzia na ku concentrate kwenye mpira.

Mzungu kaona njia ya kuupromote ushoga in a direct way haina nguvu zaidi kama njia ya ku upromote in an indirect way.

Njia ya indirect way imeonekana kuwa ina work zaidi kuliko njia ya direct way na Qatar wameshaonyesha njia.

Watu bilioni walio Tazama mechi ya KWANZA tayari SASA hivi WANAJUA ushoga ni nini KWA sababu habari za kuwapinga mashoga zilisemwa sana kabla ya hiyo mechi.

Kati ya hao watu bilioni saba wapo vijana wa kiume ambao walikuwa hawajui chochote kuhusu ushoga wataanza kuwa curious kujua ni kitu GANI hicho.

Aliwahi kusema Tshaka Zulu " Esithi si kumte bumlungu" akimaanisha don't trust a white man..

Tunapaswa kujua kwamba mzungu sio mjinga kupeleka kombe Qatar.

Qatar na Maka/Medina ni kama Dar to Tanga.

Uislamu ni dini pekee iliyo baki duniani ambayo bado ina misimamo imara dhidi ya ushoga n.k.

Soon nchi zote za kiarabu zitakuwa Dubainized.

Niko pale nimekaa
 
Ushoga ulikuwepo tangu enzi hizo za sodoma na gomora, hivyo ni muhali kukuta kuna watu hawafahamu ushoga ni nini.

Lakini haukuwa ukifanyiwa campaigns za kuonekana ni jambo la kawaida na wala haukushamiri kama ilivyo hivi sasa.

Hivyo wanachokifanya Qatar ni kuonyesha msimamo wao kuwa hawalichukulii jambo kuwa ni jambo la kawaida. Japo hilo halikanushi kuwa jamii zingine zinalikubali na kulifanya.

Sasa ukisema kufanya hivyo ni kuutangaza ushoga nashindwa kukuelewa, ukizingatia haya matangazo yanayo fanywa kila kukicha, kuutangaza gani tena.
 
Waarabu wamesababisha curiosity juu ya mashoga na masagaji ikaongezeka. Ilitakiwa wamkamate mmoja na kumkata shingo kwa mujibu wa quran ili wengine waogope kuliko tu kutoa matamko.
 
Mbona wewe unautangaza kwa kuuandikia post, ni mwendelezo wa kile unachokiwaza tu. Mbona tunaishi na visu ndani na hatujichomi wala kujikata. Anayechagua kufir₩a ni hiari yake wala si kwamba ukijua kuna ushoga lazima ufir₩e, chagua kuwa kile unachotaka kuwa.

Ukiona kisu cha jikoni kinafaa kwa kujikata jikate, jichome hadi ufe! Ukiona waweza kukitumia kutatia kabeji, karoti au nyama... chagua matumizi yanayokufaa! Word cup is for footballers.
 
Waarabu wamesababisha curiosity juu ya mashoga na masagaji ikaongezeka. Ilitakiwa wamkamate mmoja na kumkata shingo kwa mujibu wa quran ili wengine waogope kuliko tu kutoa matamko.
Kabisa mkuu. Hili kombe hali kupaswa kabisa kufanyikia Qatar.

MWARABU anacheza ngoma ya msingi bila kujua.

Lengo la mzungu ni kuufanya ushoga uwe popular kwenye nchi za kiarabu na middle east.

No bad publicity.
 
Mbona wewe unautangaza kwa kuuandikia post, ni mwendelezo wa kile unachokiwaza tu. Mbona tunaishi na visu ndani na hatujichomi wala kujikata. Anayechagua kufir₩a ni hiari yake wala si kwamba ukijua kuna ushoga lazima ufir₩e... chagua kuwa kile unachotaka kuwa. Ukiona kisu cha jikoni kinafaa kwa kujikata jikate, jichome hadi ufe! Ukiona waweza kukitumia kutatia kabeji, karoti au nyama... chagua matumizi yanayokufaa! Word cup is for footballers.
Upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom