Jicho la tatu: Michuano ya CAF itavurugika? Kaizer Chiefs nayo yapigwa stop kuingia Morroco

Jicho la tatu: Michuano ya CAF itavurugika? Kaizer Chiefs nayo yapigwa stop kuingia Morroco

kuna wale wapiga tarumbeta watajifanya hii hawaioni....... namungo ilipozuiliwa mlisema sababu tz haifuati miongozo ya who, hao wasouth mnakuja na porojo zingine hovyo kabisa.
 
Morocco wanaakili nyingi kutuzidi...wanawathamini na kuwalinda raia wao...pongezi nyingi ziwaendee morocco country...wamatumbi tuendelee kujinadi kuwa "Tanzania hakuna corona" huku watu wake wakiangamia. Sifa inauwa!


I wish nikaishi Morocco mahala ambapo salama kabisa.
Nenda tu mkuu
 
Hii ni kwa sababu CAF yenyewe haijajipanga kabisa kuhusu Ugonjwa wa Corona.

Ikumbukwe kwamba kila nchi ina sera yake kuhusu namna ya kujilinda na Corona, wengine wanapiga nyungu za malimao na Tangawizi na wengine wanafuata muongozo wa WHO.

Baadhi ya nchi haziruhusu kabisa wageni, huku nyingine zikiwaruhusu na kuwaweka karantini, lakini ziko nchi nyingine kama Tanzania ambazo kwao wageni wanaingia bila masharti yoyote.

Kitendo cha baadhi ya Timu kuzuiliwa kuingia nchi zingine kunafanya ugumu wa mashindano haya kuendelea kufanyika, kwa mfano Kaizer Chiefs ya South Afrika imenyimwa ruhusa ya kuingia nchini Morroco kupambana na Waydad Cassablanca. Hii ni kwa sababu sera ya nchi yao hairuhusu wageni kuingia nchini humo kibwege na makorona yao.
Ujerumani pia imefanya kama ilivyofanya Morocco, game ya RB Leipzig itapigwa ktk neutral ground huko Budapest.Kawaida sana wala huhitaji kusema CAF hawajajipanga
 
Ujerumani pia imefanya kama ilivyofanya Morocco, game ya RB Leipzig itapigwa ktk neutral ground huko Budapest.Kawaida sana wala huhitaji kusema CAF hawajajipanga
Hiyo game ya ujerumani ilisubiri mpaka timu zikafika Airport ndiyo ikapelekwa Budapest ? uwe unaelewa kabla ya kuchangia UEFA imepanga mambo mapema CAF inasubiri nini ?
 
Hii ni kwa sababu CAF yenyewe haijajipanga kabisa kuhusu Ugonjwa wa Corona.

Ikumbukwe kwamba kila nchi ina sera yake kuhusu namna ya kujilinda na Corona, wengine wanapiga nyungu za malimao na Tangawizi na wengine wanafuata muongozo wa WHO.

Baadhi ya nchi haziruhusu kabisa wageni, huku nyingine zikiwaruhusu na kuwaweka karantini, lakini ziko nchi nyingine kama Tanzania ambazo kwao wageni wanaingia bila masharti yoyote.

Kitendo cha baadhi ya Timu kuzuiliwa kuingia nchi zingine kunafanya ugumu wa mashindano haya kuendelea kufanyika, kwa mfano Kaizer Chiefs ya South Afrika imenyimwa ruhusa ya kuingia nchini Morroco kupambana na Waydad Cassablanca. Hii ni kwa sababu sera ya nchi yao hairuhusu wageni kuingia nchini humo kibwege na makorona yao.
Sasa walicho kutana nacho namungo ni part two ya walivho kutana nacho kaizer chief, hawa wa angola walitolewa na kaizer chief na walieafanyia kitu walicho wafanyia namungo isipo kuwa wenzetu serikali yao ika imgilia kati mapema japo kuna wachezaji kama wa 3 wa kaozer chiefs hawa kucheza sasa nqona wakaona walikosea wakawaamulia namungo nafikiri CAF wawa toe kabisa hawa wa angola
 
Hii ni kwa sababu CAF yenyewe haijajipanga kabisa kuhusu Ugonjwa wa Corona.

Ikumbukwe kwamba kila nchi ina sera yake kuhusu namna ya kujilinda na Corona, wengine wanapiga nyungu za malimao na Tangawizi na wengine wanafuata muongozo wa WHO.

Baadhi ya nchi haziruhusu kabisa wageni, huku nyingine zikiwaruhusu na kuwaweka karantini, lakini ziko nchi nyingine kama Tanzania ambazo kwao wageni wanaingia bila masharti yoyote.

Kitendo cha baadhi ya Timu kuzuiliwa kuingia nchi zingine kunafanya ugumu wa mashindano haya kuendelea kufanyika, kwa mfano Kaizer Chiefs ya South Afrika imenyimwa ruhusa ya kuingia nchini Morroco kupambana na Waydad Cassablanca. Hii ni kwa sababu sera ya nchi yao hairuhusu wageni kuingia nchini humo kibwege na makorona yao.
Wakisumbua wambie Tuna assume As Vitta na Simba ndio ilikuwa fainali
 
Hiyo game ya ujerumani ilisubiri mpaka timu zikafika Airport ndiyo ikapelekwa Budapest ? uwe unaelewa kabla ya kuchangia UEFA imepanga mambo mapema CAF inasubiri nini ?
Uwezi kuwalaumu CAF, shida ni kwamba serikali zetu hazina uwazi, mfano ujerumani ilitanganza kutokuruhusu watu toka uingereza kutoingia ujerumani. Ndio maana UEFA wakahamisha mechi mapema,
Sasa huku Africa timu inatua airport ndo wanaanza kuzuia watu kuingia, walikua wapi kutangaza mapema?
 
Tanzania simba ana bonge la advantage..wageni wake wanakuja bila masharti... na mashabiki wanajaa uwanja wa taifa.

Simba ndio timu pekee inayocheza ikishangiliwa na mashabiki home games zake.
Watajanyagwa na al ahly vibaya
 
Back
Top Bottom