Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijarishi ni nini utasema.. Lakini haita badiri maana kuwa wewe ni Mpumbavu sema kila utakachosema haitabadiri maana kuwa wewe ni Mpumbavuwewe ni mbulula
Hujui hata kuweka search results link,
Nimezipata hizi hapa, kazi inaanza sasa, mlozi kigagula wewe
Search results
Kuna hatua katika kufanya meditation...Nimeelewa vizuri bro na umeelezea vizuri sana asa nawezaje kufungua chakra hzo saba kwa hatua nzuri yaan nifungue moja moja kwa mpangilio ili mpaka kufikia kwenye jicho la tatu nisipate madhara?
Kwan mr we ushafungua jicho la 3Niliwahi kwenda kisiwani Mafai wakati fulani..kwenye utalii nikapanda boti inakioo kikubwa kwa chini kwa ajili ya kukuwezesha kuona chini ya bahari na uoto wake ambao haujaathiriwa na mabomu yatumikayo kwa ajili ya uvuvi haramu.
Kule chini ya bahari kuna manthari ya kibuluu mazuri sana..manthari haya ndiyo unayoyaona pale unapofungua jicho la tatu..yaani unajisikia vizuri sana.
Sawa bro ngoj nipitie nitkupa mrejesho ntakapo kwamaKuna hatua katika kufanya meditation...
Rejea hapa
Mwanzo wa meditation
JINSI YA KUFANYA MEDITATION Meditation Ya Pumzi: MEDITATION: Ni ile hali wakati mawazo yanapokuwa yameyeyushwa na kufikia mahali ambapo hakuna fikra yenye kuingia tena. ¡¤ Wengine wanaielezea tahajudi kwamba, ni sala za usiku wa manane. FAIDA ZA MEDITATION: 1. Husaidia kuratibu msukumo wa...www.jamiiforums.com
Soma vizuri pamoja na Quotes zake. Kisha ukisha pata mwanga kuhusu meditation basi tutaenda hatua ya pili
Bro unavumilia mengi hongera zako wazoee tu ila me kam kitu kina faida lazima nikifatilie nikijue kwa undani shukran kwa elimu hii ambao wanaona inawafaa wataftilia inshaallah [emoji120]Haijarishi ni nini utasema.. Lakini haita badiri maana kuwa wewe ni Mpumbavu sema kila utakachosema haitabadiri maana kuwa wewe ni Mpumbavu
Rakims
Usichokijua ni kwamba hao matajiri na wavumbuzi wengi wanatumia hii katika kubuni na kuibua mambo yaoMada zinazo wavutia masikini
Kwa kiwango kidogo...kwanini bado.Kwan mr we ushafungua jicho la 3
Acha uboyaUsichokijua ni kwamba hao matajiri na wavumbuzi wengi wanatumia hii katika kubuni na kuibua mambo yao
AhsanteAcha uboya
Ndio maana watu weusi tunaonwa kama manyani kutokana na low IQ
Wewe ni mbululaHaijarishi ni nini utasema.. Lakini haita badiri maana kuwa wewe ni Mpumbavu sema kila utakachosema haitabadiri maana kuwa wewe ni Mpumbavu
Rakims
Mark my words Son... When you grow up you will understand why I called you a fool.Wewe ni mbulula
Miaka yote uko humu kujaza watanzania ujinga
Hii dalili wewe ulikuwa kilaza shuleni sasa umeangukia kwenye huu ulozi na pia huna shughuli ya maana kimaisha zaidi ya kushinda humu kundeleza huu utopolo kudanganya jamii na hizi pumba,na kama inayoonekana kwa jinsi ya mitanzania kuwa asilimia kubwa ya mbulula kama wewe inaamini huu upuuzi.
Nimekuelewa vizuri san mr ila wewe mpaka sasa umefungua chakra ngapi? mana mimi sielew utajuaje kma hapa nimefungua ya 1 au ya 2 msaada nduguKwa kiwango kidogo...kwanini bado.
Jicho la tatu kila mtu analog..anazaliwa nalo kwani ni sehemu katika kichwa au Ubongo. Sasa kinachotokea ni namna unavyoishi na kukua ambapo Ubongo hupokea vitu vingi sana kupitia macho ya kawaida hivyo kufifisha nguvu ya jicho la tatu.
Kinachotakiwa kufanyika ili jicho la tatu lipate nguvu ni hizo Tahajudi kama zilivyosemwa na Rakims hivyo ninachofanya mimi ni mazoezi ya kuhuisha na kuamsha(activate) jicho langu la tatu.
Kuna wakati kwenye hayo mazoezi nafikia hiyo hali niliyoieleza.
Kama alivyosema mtaalamu Rakims kuna Chakra kwenye mwili wa binadamu ambazo ni lazima zote ziwe kwenye uwiano mzuri ili kuiamsha Chakra ya jicho la tatu na haya yanawezekana ila siyo kwa siku moja.
Rejea kwenye Uzi Mkuu..kuna vitu utaanza kuviona ambavyo awali hukuwa navyo.Nimekuelewa vizuri san mr ila wewe mpaka sasa umefungua chakra ngapi? mana mimi sielew utajuaje kma hapa nimefungua ya 1 au ya 2 msaada ndugu
Mbn nimeusoma wte mr ujue shda iko wp?Rejea kwenye Uzi Mkuu..kuna vitu utaanza kuviona ambavyo awali hukuwa navyo.
Mkuu jibu hapa kwanza.Unamaanisha mtu anaweza kudhuru au kutenda kitu kwa mtu au kitu bila mguso
Na bila kiumbe wa tatu!!?? Hi haiwezekani kwa utaalamu na uhalisia ulivyo
If possible give us it's mechanism. How
Angalia kwenye video ya chakras nimeelezea kwa dalili na hali halisi hata wewe ukimtizama mtu utajua imefunga au imefungua...Nimekuelewa vizuri san mr ila wewe mpaka sasa umefungua chakra ngapi? mana mimi sielew utajuaje kma hapa nimefungua ya 1 au ya 2 msaada ndugu
Well kwa pale sijaona swali likowapi maana nimeona mtu kajiuliza swali kisha akajijibu mwenyewe..Mkuu jibu hapa kwanza.
link ya video bro, ila samahani kam ntakuwa nakukera [emoji120]Angalia kwenye video ya chakras nimeelezea kwa dalili na hali halisi hata wewe ukimtizama mtu utajua imefunga au imefungua...
Rakims