Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mpina Spika Bashe.jpg
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.

Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Magufuli kinamuuma sana na huenda yupo tayari hata kuuza uhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mpina ni mzizi mrefu sana 🤐 na nisiandike mie ila Kwenye x akina Kimambe wataanika.

Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujua nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Bashe. Asijue Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.

Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayoyajua na huenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.🤐🙄

Kwanini Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kuku wengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?

Je, alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funua na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?

Well Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki ni kwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na huenda ficha mambo mazito nyuma ya report. Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.

Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo. Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu.

Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.

Pia soma:
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote.
Kwanza tuanze kwanini Mh Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Aa nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu. Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina Lissu, Lema and others wametoa tuhuma hizi tunadhani wangewezaje kuingia BRELA, TRA Benki mbalimbali nk na wakapewa nyaraka za namna hiyo?

2. Tunadhani ni kwanini Luhaga Mpina immediately baada ya kuwasilisha ushahidi wake kwa Spika akaitisha PC na kumwaga kila kitu hadharani kabla Spika hajaamua? Je, alishajulishwa kuwa ushahidi wake unakwenda kuchakachuliwa? Tunadhani Luhaga Mpina alikuwa hajui kuwa kanuni za Bunge zinamkataza kufanya alivyofanya? Tunadhani Luhaga Mpina hajui afanyacho? Hakuwa anajua matokeo yake?

3. Mtazamameni Spika Dr Tulia Ackson wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.

Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
 
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.

Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
Tumeshawazoea kujifariji ndo mtaji wenu
 
Mleta mada umeandika pasipo kuwa na lengo mahususi (main body). Ulitaka kusema nini?
1. Kwamba Bashe na Mpina wana bifu?
2. Kwamba Mpina siyo mtu wa mchezo mchezo?
3. Kwamba Mpina anatumika na kundi fulani la siasa?
4. Kwamba nchi (kitalu kama ulivyokiita) inaenda inaenda kusambaratika kwasbb ya sakata hili?
 
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina hema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
Shadow war. Keep silent 🤫 🙊
 
Mleta mada umeandika pasipo kuwa na lengo mahususi (main body). Ulitaka kusema nini?
1. Kwamba Bashe na Mpina wana bifu?
2. Kwamba Mpina siyo mtu wa mchezo mchezo?
3. Kwamba Mpina anatumika na kundi fulani la siasa?
4. Kwamba nchi (kitalu kama ulivyokiita) inaenda inaenda kusambaratika kwasbb ya sakata hili?
Poree
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote.
Kwanza tuanze kwanini Mh Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote nuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na uwenda ficha mambo mazito nyuma ya report.
Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.
Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo.
Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu. Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
 
Back
Top Bottom