Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Hadi 2026 utakua na mengi ya kusimulia wajukuu!!
 
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina Lissu, Lema and others wametoa tuhuma hizi tunadhani wangewezaje kuingia BRELA, TRA Benki mbalimbali nk na wakapewa nyaraka za namna hiyo?

2. Tunadhani ni kwanini Luhaga Mpina immediately baada ya kuwasilisha ushahidi wake kwa Spika akaitisha PC na kumwaga kila kitu hadharani kabla Spika hajaamua? Je, alishajulishwa kuwa ushahidi wake unakwenda kuchakachuliwa? Tunadhani Luhaga Mpina alikuwa hajui kuwa kanuni za Bunge zinamkataza kufanya alivyofanya? Tunadhani Luhaga Mpina hajui afanyacho? Hakuwa anajua matokeo yake?

3. Mtazamameni Spika Dr Tulia Ackson wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.

Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
Point number mbili, mpina hayupo mwenyewe, and si kwamba hajui taratibu za bunge ila alihisi or anajua taarifa zile zingefungiwa kwenye droo, so akanona the best options ni kuwawahi wahusika before hawajabadili chochote
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote.
Kwanza tuanze kwanini Mh Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote nilazima mjuwe Mh Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Mh Magufuli kinamuuma sana na uwenda yup tayari hata kuuza bhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mh Mpina ni mzizi mrefu sana [emoji850] na nisiandike mie ila Kwenye x akina kimambe wanataanika.
Mh Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujuwa nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Mh Bashe. Asijuwe Mh Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.

Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayo yajuwa na uwenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.[emoji850][emoji849]

Kwanini Mh Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kukuwengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?
Je alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funuwa na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?
Well Mh Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki nikwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na uwenda ficha mambo mazito nyuma ya report.
Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.
Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo.
Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu. Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
nilichokiona umeandika ni Mpina mzizi mrefu ni sukuma genge nyingine
 
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina Lissu, Lema and others wametoa tuhuma hizi tunadhani wangewezaje kuingia BRELA, TRA Benki mbalimbali nk na wakapewa nyaraka za namna hiyo?

2. Tunadhani ni kwanini Luhaga Mpina immediately baada ya kuwasilisha ushahidi wake kwa Spika akaitisha PC na kumwaga kila kitu hadharani kabla Spika hajaamua? Je, alishajulishwa kuwa ushahidi wake unakwenda kuchakachuliwa? Tunadhani Luhaga Mpina alikuwa hajui kuwa kanuni za Bunge zinamkataza kufanya alivyofanya? Tunadhani Luhaga Mpina hajui afanyacho? Hakuwa anajua matokeo yake?

3. Mtazamameni Spika Dr Tulia Ackson wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.

Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
Huko chadema kwenyewe si shwari
 
Naomba ni wakumbushe kuwa hii ni siasa na baya zaidi ni kwamba kila mtu anatetea maslahi yake, lakini kwenye kufanya analysis kuhusu sakata hili kuna mambo mengi ya nyuma mnatakiwa kukumbuka.

1) Kilichoripotiwa kuhusu mchuano kati ya bashe na Kigwangala.
2) Bashe na uchapakazi na utetezi kwa wakulima, na athari yake kwa wakubwa mfano wake na zaidi yake.
3) Sakata la bei za mazao ya biashara na kutishia kumwangusha harmonize mjengoni.
4) Maandalizi ya uchaguzi mwakani kutoka kambi tofauti tofauti.
5) Uwajibikaji na uadilifu wa baadhi ya viongozi na wanasiasa wenye uzalendo na huruma kwa watanzania, mfano wa Mhe. Mpina.
Angle ni nyingi ila stick with 23 huenda ikawa ndio sababu ya haya yote.
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote.
Kwanza tuanze kwanini Mh Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote nilazima mjuwe Mh Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Mh ya mzalendo huyu zibwa mdomo.
Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu. Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
Mkuu karibu sana kwa mara nyingine jukwaani.
Long time no see you 😂
 
Point number mbili, mpina hayupo mwenyewe, and si kwamba hajui taratibu za bunge ila alihisi or anajua taarifa zile zingefungiwa kwenye droo, so akanona the best options ni kuwawahi wahusika before hawajabadili chochote
Sivyo.

Mpina kaona hana ushahidi kwa yalioongelewa siku ile na akaona awahi kusambaza uongo wake.

Kashastukiwa ndiyo maana Tulia anaendelea lufata taratibu na sheria.

Mpina kajinyonga mwenyewe. Ana sababu za kufanya hivyo.

Anajuwa wazi kabisa kuwa mwaka 2025 atastukizwa kuukosa ubunge, anataka ahame mapema awahi kujifanyia kampeni, akumbuke tu, CCM kama haitaki uwe mbunge hata uhamiwe chama kipi, hata paa la bunge hautaliona.
 
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina Lissu, Lema and others wametoa tuhuma hizi tunadhani wangewezaje kuingia BRELA, TRA Benki mbalimbali nk na wakapewa nyaraka za namna hiyo?

2. Tunadhani ni kwanini Luhaga Mpina immediately baada ya kuwasilisha ushahidi wake kwa Spika akaitisha PC na kumwaga kila kitu hadharani kabla Spika hajaamua? Je, alishajulishwa kuwa ushahidi wake unakwenda kuchakachuliwa? Tunadhani Luhaga Mpina alikuwa hajui kuwa kanuni za Bunge zinamkataza kufanya alivyofanya? Tunadhani Luhaga Mpina hajui afanyacho? Hakuwa anajua matokeo yake?

3. Mtazamameni Spika Dr Tulia Ackson wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.

Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
Hapana hii ni ndoano kwa chadema chonde chonde @erthryocite msimpokee mpina hii muvi inapangwa kwa chadema
 
Ndio mtetezi wa dini ya mnyazi unatetea dhulmat ccm ninani mpaka mtanzania halali asiingie bungeni kisa ccm? Mtetezi wa dini ya mnyazi? Ndio maana mnapigwa mabomu na mayahudi kwa usaliti huu.
Sivyo.

Mpina kaona hana ushahidi kwa yalioongelewa siku ile na akaona awahi kusambaza uongo wake.

Kashastukiwa ndiyo maana Tulia anaendelea lufata taratibu na sheria.

Mpina kajinyonga mwenyewe. Ana sababu za kufanya hivyo.

Anajuwa wazi kabisa kuwa mwaka 2025 atastukizwa kuukosa ubunge, anataka ahame mapema awahi kujifanyia kampeni, akumbuke tu, CCM kama haitaki uwe mbunge hata uhamiwe chama kipi, hata paa la bunge hautaliona.
 
Sivyo.

Mpina kaona hana ushahidi kwa yalioongelewa siku ile na akaona awahi kusambaza uongo wake.

Kashastukiwa ndiyo maana Tulia anaendelea lufata taratibu na sheria.

Mpina kajinyonga mwenyewe. Ana sababu za kufanya hivyo.

Anajuwa wazi kabisa kuwa mwaka 2025 atastukizwa kuukosa ubunge, anataka ahame mapema awahi kujifanyia kampeni, akumbuke tu, CCM kama haitaki uwe mbunge hata uhamiwe chama kipi, hata paa la bunge hautaliona.
Nani aliyekudanganya maisha ni lazima uwe mbunge. Jibuni hoja za mpina, acha mbambambaaa we shangazi.
 
Tuna safari ndefu sana kama taifa, iwapo tunaamini Mpina peke yake anaweza kukusanya ushahidi wa source zote za idara tofauti peke kwa nafasi yake ya ubunge.

Jiulize wewe ungekuwa mmbunge yale yote ya departments tofauti na ushahidi wa Mpina aliotoa ungeweza yajua bila yakuwa na whistle blowers kwenye department zote hizo.

Mpina ni nani kwenye nchii hii mpaka awe ni attached whistle blowers wa kumkusanyia ushahidi tu kwa sababu yake?

Maana yake nini kuna watu washamchoka Bashe kwenye maswala ya usalama na ulinzi kwa ufisadi wake (ndio wanaoweza pokea info zote hizo), Mpina anapewa tu, ni messenger.

Shida ya MaCCM ni upoyoyo, Bashe your cornered; uamini watch this space.
 
Back
Top Bottom