Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Unasalimiwa na Shura ya akina Ponda 😀
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.

Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Magufuli kinamuuma sana na huenda yupo tayari hata kuuza uhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mpina ni mzizi mrefu sana 🤐 na nisiandike mie ila Kwenye x akina Kimambe wataanika.

Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujua nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Bashe. Asijue Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.

Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayoyajua na huenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.🤐🙄

Kwanini Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kuku wengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?

Je, alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funua na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?

Well Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki ni kwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na huenda ficha mambo mazito nyuma ya report. Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.

Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo. Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu.

Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.

Pia soma:
Nikajua umeandika kitu Cha maana kumbe Bado ni blaa blaa as Mpina?
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.

Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Magufuli kinamuuma sana na huenda yupo tayari hata kuuza uhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mpina ni mzizi mrefu sana 🤐 na nisiandike mie ila Kwenye x akina Kimambe wataanika.

Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujua nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Bashe. Asijue Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.

Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayoyajua na huenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.🤐🙄

Kwanini Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kuku wengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?

Je, alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funua na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?

Well Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki ni kwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na huenda ficha mambo mazito nyuma ya report. Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.

Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo. Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu.

Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.

Pia soma:
Sakata hili lina uhusiano na ile panga pangua inayoendelea pale jumba jeupe
 
Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Kuanzia leo, nimeamua kukupuuza na nakuona ni kama mtu usiyeumizwa na chochote juu ya madhila yanayowapata Watanzani wenzako na ama wewe ni mtu wa mlengo fulani na kwa sababu hiyo, hata kama kunapotokea makosa kwa watu wale walio kwenye mlengo wako, kwako ni manukato kwa sababu ulishajiwekeza hivyo

Mtu yeyote mwenye akili timamu na asiyefungwa na umlengo wa unganiko fulani, sharti amuunge mkono Mpina bila kujali itikadi
 
Mimi nimekuelewa vyema

Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili

1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina Lissu, Lema and others wametoa tuhuma hizi tunadhani wangewezaje kuingia BRELA, TRA Benki mbalimbali nk na wakapewa nyaraka za namna hiyo?

2. Tunadhani ni kwanini Luhaga Mpina immediately baada ya kuwasilisha ushahidi wake kwa Spika akaitisha PC na kumwaga kila kitu hadharani kabla Spika hajaamua? Je, alishajulishwa kuwa ushahidi wake unakwenda kuchakachuliwa? Tunadhani Luhaga Mpina alikuwa hajui kuwa kanuni za Bunge zinamkataza kufanya alivyofanya? Tunadhani Luhaga Mpina hajui afanyacho? Hakuwa anajua matokeo yake?

3. Mtazamameni Spika Dr Tulia Ackson wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.

Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
CCM Asili vs Ccm maslahi 😳
 
Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Bashe kawajengea misikiti mingapi? Make nyie kuiba ni ruksa Ili mradi umegusa misikiti
 
Luhaga Mpina ameeleza umma, maamuzi ya mawaziri, Hussein Bashe (Kilimo) na Mwigulu Nchemba (Fedha) yamepoteza mapato ya Serikali zaidi ya Sh580 bilioni.

Kwa mantiki ndogo, upotevu wa fedha za Serikali ni zaidi ya ufisadi wa RICHMOND ambao ulimfanya Waziri Mkuu, Edward Lowassa kuwajibika kwa kujiuzulu.

Badala ya bunge kuunda kamati teule kuchunguza taarifa kwa kuwa upo ushahidi wa nyaraka, bunge la CCM limemuita Luhaga Mpina kamati ya maadili.

Luhaga Mpina amepelekwa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kilichoitwa kuingilia madaraka ya Spika kwa kuwasilisha ushahidi wa tuhuma kwa umma.

Bunge la CCM limechoka. Tuhuma hizo zimebebwa na ushahidi. Bunge lilitakiwa kuunda kamati teule ya bunge, siyo kumpeleka kamati ya maadili ya bunge

Upotevu wa mapato ya serikali Sh580 bilioni ni zaidi ya ufisadi mkubwa wowote uliowahi kutikisa serikali na bunge ukiondoa upotevu wa TZS trilioni 1 enzi za JPM.

Tegeta ESCROW (Sh306bn), EPA (TZS 133bn), Mwananchi Gold (Sh272bn), Meremeta (Sh155bn), Mfuko wa kuwezesha uagizaji - CIS (Sh200 bilioni).

Ufisadi wote, mmoja mmoja haujafika katika ufisadi (Sh580bn) ambao unatajwa na Luhaga Mpina kuwa ulisababishwa na Hussein Bashe na Mwigulu Nchemba.

Baraza la usalama la Taifa (2014) lilikutana na kupitia taarifa ya uchunguzi PCCB kuhusu ufisadi wa ESCROW (Sh306bn) kwanini ufisadi wa Sh580bn upuuzwe?

PCCB walifanya uchunguzi ufisadi wa ESCROW na kukabidhi taarifa kwa Rais Jakaya Kikwete, kwanini uchunguzi wa Sh580 bilioni usifanyike? Analindwa nani?

Uchunguzi wa PCCB ulionesha taarifa ya Mkombozi Bank (20/01/14-14/08/14) na malipo kutoka akaunti ya VIP engineering kwenda kwa watu mbalimbali.

Tunashangaa, badala ya bunge kuunda kamati teule kuchunguza taarifa na kuujuza umma, bunge limeamua kumtisha Mpina kwa kutoa ushahidi kwa umma.

Hizo ni juhudi za kumnyamazisha Luhaga Mpina na kuwatetea watu hao anaowatuhumu kwa ufisadi na upotevu wa fedha za serikali zaidi ya Sh580 bilioni.

Martin Maranja Masese, MMM.
 
Wewe Mpina ana kundi kubwa ndani ya system,vile vielelezo alivyonavyo mtu wa kawaida utavitoa wapi?
Mnawachukulia poa watu wa kanda ya ziwa wakati wao ndiyo wengi humo CCM na wana uwezo wakuichanachana CCM na huyo Bi.Kizimkazi akarudi Zanzibar.
Subiri 2025,Kuna Askofu Msukuma anachukua nchi na Samia atafyata!!
Screen shot this comment!
Kuchukua madaraka huko ccm ni wingi au ni kuwa kwenye nguvu ya madaraka?
 
Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Hujuwi kile wakiandika
 
Wewe umeelewa nini mkuu 'Rabbon', mimi nimetoka kimasomaso.
Sioni haja ya kuandika lugha pinda alivyo fanya huyu uliyemwelewa kwa hayo aliyoweka hapo. Sikuona lolote la maana sana aliloeleza.
Ujumbe wake una seal/ code.

Na amefanya kusudi Ili waliolengwa waelewe na wengine wasome na wasielewe.
 
Nimeona unamshupalia kuwa hatarudi bungeni hiyo 2025. Tuwe taifa lenye kutenda haki. Na mtu muongo aoneshwe uongo wake.
Isiwe kutishanatishana. Sote ni watanzania, tunahitaji kila jambo lifanyike kwa nia njema pasipo kuwa na kujifaidisha nyuma ya pazia.
Amenisikitisha sana huyu dada anamaanisha kua mtu akiona maovu Anyamaze kwamba akisema ukweli atanyimwa nafasi ya kurudi bungeni.
 
Back
Top Bottom