Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Jicho la tatu sakata la Mpina vs Bashe na hasira ya Spika Tulia

Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.

Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.

Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.

Crap. Sijwahi kuwa shabiki wa Mpina, lakini kwenye ataungwa mkono na kila mwenye akili timamu na anayelipenda Taifa hili.

Tunaomfahamu Bashe, hatushangazwi na aliyoyafanya. Tangu ujana wake, ametumika sana kwenye deals chafu. Hata kwenye hili atakuwa ametumika.
 
Crap. Sijwahi kuwa shabiki wa Mpina, lakini kwenye ataungwa mkono na kila mwenye akili timamu na anayelipenda Taifa hili.

Tunaomfahamu Bashe, hatushangazwi na aliyoyafanya. Tangu ujana wake, ametumika sana kwenye deals chafu. Hata kwenye hili atakuwa ametumika.
Mimi nadhani kila mjinga ndiye atamuona kufokafoka kwake kuwa anaonge cha maana. Kwangu mpina ni poyoyo tu kama mapoyoyo wengine wengi sana.

Nafahamu elewa wenu ni mdogo sana hamuwezi kuelewa mageuzi aliyokwisha yafanya Bashe na anayoendelea kuyafanya Bashe kwenye kilimo.

Tunafahamu pia lazima atakuwa na maadui wengi alipoikata mirija.

Mpina hana lolote zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja, kutafuta kiki tu.
 
Mimi nadhani kila mjinga ndiye atamuona kufokafoka kwake kuwa anaonge cha maana. Kwangu mpina ni poyoyo tu kama mapoyoyo wengine wengi sana.

Nafahamu elewa wenu ni mdogo sana hamuwezi kuelewa mageuzi aliyokwisha yafanya Bashe na anayoendelea kuyafanya Bashe kwenye kilimo.

Tunafahamu pia lazima atakuwa na maadui wengi alipoikata mirija.

Mpina hana lolote zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja, kutafuta kiki tu.
Wewe yumkini ni akili kibaba unayejiona umetimia kichwani, lakini umepungukiwa kama wengi waliokosa weledi.

Mpina kwenye hili huwezi kuzipuuza hoja zake. Kila hoja aliyoitoa ameambatanisha vielelezo rasmi tena vya kutoka kwenye taasisi rasmi za serikali na za mamlaka mbalimbali. Lazima uwe punguani hasa kuipuuza hoja yake.

Ungekuwa na weledi japo kidogo ungeanza kwa kutaja ni hoja gani na kielelezo kipi, havipo sahihi, kuliko kupiga kelele zisizo na tija.
 
Wewe yumkini ni akili kibaba unayejiona umetimia kichwani, lakini umepungukiwa kama wengi waliokosa weledi.

Mpina kwenye hili huwezi kuzipuuza hoja zake. Kila hoja aliyoitoa ameambatanisha vielelezo rasmi tena vya kutoka kwenye taasisi rasmi za serikali na za mamlaka mbalimbali. Lazima uwe punguani hasa kuipuuza hoja yake.

Ungekuwa na weledi japo kidogo ungeanza kwa kutaja ni hoja gani na kielelezo kipi, havipo sahihi, kuliko kupiga kelele zisizo na tija.
Zote porojo tu, vielelezo vyanini zaidi?

Mpina kishajuwa kayakoroga alipoambiwa na spika yyeye athibitishe uongo wa Bashe, Mpina akaona hapa pagumu ndiyo akatafuta wajinga ndiyo waliwao akaanza kubwabwaja na kuhororoja yasiyokuwepo.

Na wajinga mmeingizwa mkenge na umewaingia.
 
Mimi nadhani kila mjinga ndiye atamuona kufokafoka kwake kuwa anaonge cha maana. Kwangu mpina ni poyoyo tu kama mapoyoyo wengine wengi sana.

Nafahamu elewa wenu ni mdogo sana hamuwezi kuelewa mageuzi aliyokwisha yafanya Bashe na anayoendelea kuyafanya Bashe kwenye kilimo.

Tunafahamu pia lazima atakuwa na maadui wengi alipoikata mirija.

Mpina hana lolote zaidi ya kubwabwaja na kuhororoja, kutafuta kiki tu.
Wewe haujui mambo ya Nchi hii tuachie Nchi yetu huyo Bashe anayewatumikia Wahuni au unadhani hatujui Siri iliyopo kati yake na Sponsor,Rostam na lord rings kama vipi mchukueni mpelekeni Zanzibar akaifanyie mapinduzi Tanganyika 2025 itaamua.
 
Zote porojo tu, vielelezo vyanini zaidi?

Mpina kishajuwa kayakoroga alipoambiwa na spika yyeye athibitishe uongo wa Bashe, Mpina akaona hapa pagumu ndiyo akatafuta wajinga ndiyo waliwao akaanza kubwabwaja na kuhororoja yasiyokuwepo.

Na wajinga mmeingizwa mkenge na umewaingia.

Wewe aheri ungetulia tu maana inaonekana hujui chochote kwenye sakata hili. Hata nikikuuliza ni vielelezo gani alivyowasilisha Mpina, yumkini hukijui hata kimoja. Pumzika mama. Unapiga tu kelele kama mtu aliyeambiwa kuwa uwe unasema Mpina mwongo, nawe ukabakia unapiga tu kelele wakati hujui chochote.

Hii ni kashfa kubwa sana. Rais Samia ana machaguo mawili tu: ama kumkana Bashe ili ibakie kuwa ni kashfa ya Bashe, au kumkumbatia fisadi Bashe ili iwe kashfa ya Serikali nzima.
 
Wewe aheri ungetulia tu maana inaonekana hujui chochote kwenye sakata hili. Hata nikikuuliza ni vielelezo gani alivyowasilisha Mpina, yumkini hukijui hata kimoja. Pumzika mama. Unapiga tu kelele kama mtu aliyeambiwa kuwa uwe unasema Mpina mwongo, nawe ukabakia unapiga tu kelele wakati hujui chochote.

Hii ni kashfa kubwa sana. Rais Samia ana machaguo mawili tu: ama kumkana Bashe ili ibakie kuwa ni kashfa ya Bashe, au kumkumbatia fisadi Bashe ili iwe kashfa ya Serikali nzima.
Nayajuwa kuliko unavyofikiria, sema wewe, ushahidi umetakiwa uupeleke kwa Spika bungeni, wewe siku hiyohiyo ukimbilie kuwaita waandishi wa habari upige porojo zisizokuwepo. Ndiyo bunge linavyofanya kazi hivyo?

Mpina hajaanza leo kwa Bashe, labda hulifatilii bunge, bashe hana sababu ya kumjibu nje ya bunge. Mpina hamuwezi bashe hata chemebe kwa uelewa na uthubutu, labda siyo Msomali yule.
 
Sivyo.

Mpina kaona hana ushahidi kwa yalioongelewa siku ile na akaona awahi kusambaza uongo wake.

Kashastukiwa ndiyo maana Tulia anaendelea lufata taratibu na sheria.

Mpina kajinyonga mwenyewe. Ana sababu za kufanya hivyo.

Anajuwa wazi kabisa kuwa mwaka 2025 atastukizwa kuukosa ubunge, anataka ahame mapema awahi kujifanyia kampeni, akumbuke tu, CCM kama haitaki uwe mbunge hata uhamiwe chama kipi, hata paa la bunge hautaliona.
Faiza CCM ina wenyewe usijidanganye kiasi Hicho. Nataka nikwambie 2025 kazi itafanyika hata milima itasema CCM inawenyewe na wenyewe hawajulikani. This is a nation sio Taifa langu au la chama Bashe tunamtetea ila anashida ambazo uwenda zimewekwa kimkakati kufunuliwa.
Labda nikwambie unafikiri why Mh Tulia anahema au anataka nikwambie sikwambii muda utajibu
 
Hatuwezi kukuelewa mzee wa mahaba na CIA, MOSSAD, FBI! Unajiona una akili na maarifa kulilko watu wote! Unapenda uogopwe kumbe kiazi! Unapenda sana sifa za kijinga!

Nb: Vipi kuhusu Putin??
Kama mtu anaweza tumia uhalisia kumpoteza mtu pasipo kuacha alama ya uhusika unafikiri kwanini usiwe na mahaba naye.
Putin kila kukicha anahaha kuitisha dunia atatumia nuclear weapons Marekani amemwambia "don't " by Biden. Alafu mwamba pasipo kujuwa akamtisha mmarekani akapeleka submarine zake karibu na USA 🇺🇸 mmarekani cia wakawa kazini waka ya scann masubmerne yaka wakaja na taarifa fupi haya vichwa vya nyuklia unasemaje ? Nani akili kubwa?
 
ama mtu anaweza tumia uhalisia kumpoteza mtu pasipo kuacha alama ya uhusika unafikiri kwanini usiwe na mahaba naye.
Samahani, wewe unajihisi unaona yajayo kuhusu Urusi kuliko wao wenyewe?? Yaani wewe Mtanzania unaiona Urusi ya miaka 20 kuliko wao wenyewe?? Acha ushamba wa kijinga! Wao wenyewe wanajua dunia inaelekea wapi!

Nchi ina watu karibia watu 140 milioni wewe Mtanzania unaiona kesho yao! Kisa mahaba ya MOSSAD, CIA, FBI, M16!
 
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.

Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Magufuli kinamuuma sana na huenda yupo tayari hata kuuza uhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mpina ni mzizi mrefu sana 🤐 na nisiandike mie ila Kwenye x akina Kimambe wataanika.

Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujua nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Bashe. Asijue Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.

Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayoyajua na huenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.🤐🙄

Kwanini Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kuku wengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?

Je, alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funua na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?

Well Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki ni kwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na huenda ficha mambo mazito nyuma ya report. Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.

Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo. Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu.

Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.

Pia soma:
Tuna wahuni kwelikweli wameshika ccm na dola kwa sasa. Yanahitajika mapambano makali 2025 kurejesha nchi mikononi kwa wazalendo. Upinzani ukijipanga uzuri utavuna sana 2025.
 
Back
Top Bottom