Jicho la tatu: Wapinzani waliokosa Ubunge kuingia katika mtihani wa kupewa Teuzi Serikalini ili wasaliti vyama vyao lengo likiwa kuua upinzani

Magu anajua kutandika watu vibao, akifanikiwa tu jua 2025 CCM watapita kirahisi sana tena. Na kiukweli mtu kama Msigwa, Prof J, Sugu and the likes wakipewa RC au DC hawachomoi, wapinzani wote wana price tag hadi Mbowe na Lissu , wote wana price tag.
Mbowe angekuwa na price tag angeshanunuliwa siku nyingi sana, wamemshindwa kote huko ndio maana wakaamua kumfanyia uhuni wa wazi, usijidanganye kuhusu Mbowe.
 
Napenda kuwaleza mapema juu ya utabiri wangu huu ili yakianza kutokea msishangae na pengine kufadhaika bali mjipange kuyapokea yatayotokea...
Ili kupata umoja wa kitaifa na nakutambuliwa kimataifa, ( international recognition) lazima kuepo maridhiano Kati ya serikali na wanao ipinga, ila strategy ya kuitekeleza hayo ndo tatizo, sidhani kama JPM ni smart enough kisiasa kufanya peaceful lobbying ya wa pinzani, na sidhani watu kama mbowe zitto myika niwajinga kiasi hicho kutojua kama ccm is a sinking boat,

Ila jua kwamba upinzani Tz ni wanguvu sio kwasababu ya personality nikwasabb ya sera mbovu za chama tawala, mtu yoyote atakae jitokeza kua genuine and serious mpizani watanzania wa tamuaga mukono hata kama wote wana hamia CCM jambo ambao aliwezekani kwasasa.
 
Msigwa mnamjua lakini, ameshindwa kununuliwa na hera za akina Asas waarabu wa Iringa ndio atakubali RD lile jembe.
 
 
Umenikumbusha ya Musalia Mudavadi yeye alichomoa uteuzi wa kuwa mbunge baada ya kushindwa ubunge kwenye box la kura.

Alisema kama wananchi hawakumiamini katika sanduku la kura kuwa muwakilishi wao basi haitakua ni kuwatendea haki kukubali.
 
Upinzani siyo watu wachache, Upinzani ni ideas, ni hitajio la kutaka ufanyaji mambo kwa utofauti na kwa mafanikio zaidi. Usidhani eti akiondoka mtu yeyote kutoka chama cha upinzani ndo upinzani utakufa!. Upinzani hautokufa kwa sababu ni hitajio la wananchi!
 
Hiyo ni kweli, ila wasipokomaa na kuwa na msimamo, tutachelewa sana kupata mageuzi tunayoyataka.
 
Hiyo ni kweli, ila wasipokomaa na kuwa na msimamo, tutachelewa sana kupata mageuzi tunayoyataka.
Wasipotaka upinzani kwa njia za amani, watakutana na upinzani wa nguvu, na hawana uwezo wa kupredict nani ataongoza upinzani huo au utatokeaje, watashangaa tu damage imeshatokea kisha washindwe kujua la kufanya. Wanadamu siyo mifugo uiswage tu huku ikikuangalia!
 
Ni kweli kabisa mkuu...mm mtu ambaye sina Imani nae Sana....Ni katibu mkuu wa sasa wa Chadema....naona kama amekaa kwa kuegesha tu... Naona kama ataunga juhudi wakati wowote....tatizo kubwa Africa....siasa pia ni kazi ya kudumu.
umeona mbali na niukweli mtupu,akunaga mkate mgumu mbele ya chai.
 
Umeongeamengi mazuri na yakiuchambuzi kasoro uliposema uchaguzi ulikua huru na haki hii m kinyume
 
Uchaguzi huu Magufuli ameshindishwa na vyombo vya dola na wala si CCM wenzake. Sasa hivi chama kiko mfukoni mwake kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…