Mkuu hakuna msukuma mzembe kazi nafanya maana mm nimetoka mikononi mwa wachapa kazi na niko vyema tu kiuchumi sema nimepambana sana kupata hiki nilicho nacho .
Watanzania zumbukuku kaeni mkao wa kushangilia wapigaji wanapokula hata kama hutapata hata senti yao moja toka pesa zenu za kodi mtakazotozwa kwa kushangilia kwenu.
ID fake za EFD za revenue collection kwa wadau wasio na maslahi kwa umma zimeingia tena vuup bila hodi ! Wataiona pesa inaingia kwao mapema asubuhi kabla hawajapiga mswaki bila wajibu wao kazini. Tumekwisha! Tulidhani Zanzibar kulikuwa na ufalme pekee kumbe hata Tanzania bara umerudi. Karume kisha mwanae sasa.
Mwinyi kisha mwanae na Hulu bara hali kadhalika habari ndiyo hiyo!