Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,055
- 2,466
Umenena ukweli mtupu
Kuna kipindi nilibishana na mpuuzi moja kibanda-umiza,ila game ya merreikh kutoka nao sare, Kutokuwafunga wale vibonde kule kwao, bado kunatuweka wakat mgumu...
Kibonde kwenye group akifungwa na wenzio woote kisha ww usimfunge ana kudhurumu mahesabu
Ile mechi ilikuwa muhimu saana, kwanza ingeamua sisi kufuzu kwa kushika usukani, jambo ambalo ni zuri zaidi, hatua inayofata tungekutana na maji yetu, ila tukifuzu watu wa pili, robo fainali tutaangukia kwa mamelodi, esperence ama wydad casablanca aisee.. Hawa sio watu wazuri kabisa..
Pili mpaka sasa hatujafuzu, tutegemee mechi ngumu mnoo kutoka kwa as vita, vita watakuja kichwa, miguu, mikono, kila kitu yaani wazima wazima, hawana cha kupoteza na mpira hauna adabu unaweza ukapigwa kimoja, ikawa chomoa, chomoa na ww.
Yote kwa yote kila la kheri chama langu
Na simba atapigwa kimoja na hatachomoa mimba ya albino hiyo ukichomoa unaondoka nayo.