Jicho langu la Kiufundi na Tahadhari kwa Simba SC kuelekea katika ' Desicive Game ' yake na AS Vita Club tarehe 2 April, 2021

Na simba atapigwa kimoja na hatachomoa mimba ya albino hiyo ukichomoa unaondoka nayo.​
 
Kuna kipindi mabeki walijisahau wakafikiri jukumu.lao kubwa ni kufunga
 
Mugalu mi namwona ni mchezaji mzuri hasa kwa mfumo. Sometime pressure inamsumbua. Abaki
 
Mugalu mi namwona ni mchezaji mzuri hasa kwa mfumo. Sometime pressure inamsumbua. Abaki
Huyu jamaa match na Vita acheze first half tu..
Simba ikienda misri acheze vipindi vyote!
Mungu amsaidie Onyango apone, maana huyu Muduva sijui bado mfumo hajauelewa!
Mzamiru angekua makini angesaidia match na Vita ila
Coach ajaribu friendly match lwanga na Mkude kwa ajili ya maandalizi game na VITA,
Bwalya pia asinze ikiwezekana
 
Kwa kweli chama anakaa sana na mpira lakini mugalu umuhimu wake upo sana yule jamaa tofauti na kagere yule jamaa anakaa kwenye position yake ...hivo inakua ngumu kwa mabeki kupanda mbele tofauti na kagere ambaye anamove saaana

My opinion mugalu atafutiwe mbadala ni mtu mwenye stamina lakini kasi hana ambayo ni muhimu pale timu inapozidiwa na mnabidi mtumie counter kwa mipira ya kutanguliziwa
 
Hivi nyie utopolo mtaendelea kututisha Simba kwa riwaya katika media?

Kama club bingwa Afrika amefungwa,unaanzaje kututisha na wengine ambao ni size yetu tu?

Hivi hamjui nao wanatuogopa?
 
Chama anakosa kujiamini mara nyingi akiwa eneo la adui, anakaa na mpira anachelewa kuchukua maamuzi matokeo yake anawapa nafasi wapinzani wajipange na kuokoa hatari langoni mwao.

Hili tatizo lake aambiwe alifanyie kazi, akitaka kuremba awe anaremba katikatika ya uwanja, lakini sio wakati timu ime break kwa counter attack unakita wako three against two halafu tunaupoteza mpira kizembe coz of him delaying the move.

Hao Vita ni kuwakazia tu, naamini hata wachezaji wa Simba SC wanajua umuhimu wa hiyo mechi, hawatakiwi kuremba kabisa, hiyo ndio tiketi yao kwenda robo fainali, kama walikufa kwao sioni sababu kwanini wasife kwa Mkapa.

Mwisho kabisa napata ukakasi na bonasi wanazopewa wachezaji kama timu ikishinda, huwa najiuliza hivi ikitokea wasiahidiwe bonasi hawatacheza kwa kujituma? kwanini watu wanaolipwa mishahara mizuri bado mpaka waahidiwe bonasi ndio washinde? hapa kwangu nawaona wachezaji wamekosa professionalism, ni kama wanadekezwa ndio mana mitimu kama Prison huwa zinatusumbua.
 
mkuu gentamicin waga unatoa wapi haya madini mzee

nimekubali 🤝🤝
 
frengwaaa ila kwa Chama umekosea, huyo jamaa ndio decesive midfielder wa goals nyingi za Simba , either zitaanzia wake au kusabababisha. Yeye anaslow game na kui nyanyua game. Anaujua, another factor ya muhimu Simba game ya Vita warelax na Managua wanachokitafuta, uzoefu wa mashindano haya so far utawapiga chapuo. Simba knows what they want na Managua sisi Mashabiki na Nchi nini kinahitaji
 
kwa sasa mugalu mbadala wake ni kagere tu haina namna wakizungushana na bocco. Pia Miraji wanamchukulia poa sana ni fundi huyo adunje kama vipi apewe tisa tu hapo
 
Kuna kipindi mabeki walijisahau wakafikiri jukumu.lao kubwa ni kufunga
Defense ilikuwa tight muda wote. Kawaida kama forward zinafanya upuuzi basi mido huwa zinaingilia jukumu la kufunga na baadae defenders wanaingilia Kati kama alivyofanya tshaba na kupata goli lililowapa aibu forward. Mwisho tungeanza kuona morison na miq wanalazimisha wafunge kwasababu vinginevyo mechi ingeisha draw na hata kupoteza. Hii mechi kipindi cha kwanza tu tungeenda na goli 5 achilia mbali kipindi cha pili.
Kazi kubwa iliyopo kwa kocha ni finishing, huwezi kupata nafasi za wazi namna ile dhidi ya vita na ahly
 
Mimi huwa nawaza simba tukisitisha kutoa bonasi 2 za milioni 200 jumla 400 na tuzielekeze kununua basi lenye hadhi ya simba. Haiingii akilini unatoa bonus mil 200 kwa mechi moja halafu timu inatumia basi la milioni 40 miaka nenda rudi
 
halafu pia manuraaa anachelewa sana kujishauri akirudishiwa pasi na beki zake
 
kwa sasa mugalu mbadala wake ni kagere tu haina namna wakizungushana na bocco. Pia Miraji wanamchukulia poa sana ni fundi huyo adunje kama vipi apewe tisa tu hapo
Kuna umuhimu wa kuwa na combination mbadala pale mbele. Sipati picha kwa zile nafasi zingemkuta okwi na kagere wa wakati ule
 
Mimi huwa nawaza simba tukisitisha kutoa bonasi 2 za milioni 200 jumla 400 na tuzielekeze kununua basi lenye hadhi ya simba. Haiingii akilini unatoa bonus mil 200 kwa mechi moja halafu timu inatumia basi la milioni 40 miaka nenda rudi
Hili nalo ni Neno Kuntu kabisa Ndugu.
 
halafu pia manuraaa anachelewa sana kujishauri akirudishiwa pasi na beki zake
Ila kwa sasa Kipa Aishi Salum Manula amebadilika sana Kiakili na Kiuchezaji. Pongezi nyingi kwa Kocha wa Makipa Mbrazil kwani amembadilisha Vitu vingi ila Kubwa ameweza Kumjengea zaidi Confidence na hata Footwork yake Manula ya sasa iko juu mno. Akifungwa ni bahati mbaya tu na nu hali ya Kimchezo.
 
Mimi huwa nawaza simba tukisitisha kutoa bonasi 2 za milioni 200 jumla 400 na tuzielekeze kununua basi lenye hadhi ya simba. Haiingii akilini unatoa bonus mil 200 kwa mechi moja halafu timu inatumia basi la milioni 40 miaka nenda rudi
Mkubwa huko ni kuingilia mfumo wao wachezaji mpira ndio ajira na pia uongozi matokeo ndio kipimo Chao cha timu kilele cha mafanikio yao km kipimo ss waache wanunue basi sioni kbs wanaweza pata kwa namna nyingine

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Nimeliona hilo kwa manula amebadilika sana kuanzia decision making, positioning, body movements, confidence hata mipira ya nje ya 18 si threat tena kwake na mashabiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…