Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,181
[emoji3] sasa ukiweka hapa mrembo haitapendeza. Anyway nipe coordinates tu nitakutafuta kupitia google maps na kukufikishia mzigo wako.Hahaha mimi huko mgeni au ndo staili ya kuninyima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] sasa ukiweka hapa mrembo haitapendeza. Anyway nipe coordinates tu nitakutafuta kupitia google maps na kukufikishia mzigo wako.Hahaha mimi huko mgeni au ndo staili ya kuninyima?
Huko kwa Ras Simba namaanisha [emoji23] [emoji23] namba mbona ilishafika pm zamani[emoji3] sasa ukiweka hapa mrembo haitapendeza. Anyway nipe coordinates tu nitakutafuta kupitia google maps na kukufikishia mzigo wako.
Let me check my pm [emoji6] [emoji6] [emoji6]Huko kwa Ras Simba namaanisha [emoji23] [emoji23] namba mbona ilishafika pm zamani
Kama katuma hiyo namba,nami nifowardie nimtumie ya kutoleaLet me check my pm [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Ya kutolea tu????Kama katuma hiyo namba,nami nifowardie nimtumie ya kutolea
Kha [emoji50] ! Mi mwenyewe nahitaji ufungaji bora, ati assist nikupe wewe??!!Kama katuma hiyo namba,nami nifowardie nimtumie ya kutolea
Pengine hataki, yote Mungu anajua.Watu wameshavurugwa halafu we unakuja na kikoment chako [emoji23] kwani Mungu hajui kama Jide anataka mtoto
Na kama hataki je?JD hakupaswa kupanic,, Siku zote unaweza ukaomba MUNGU akupe jambo fulani na lisiwe,,, ikatokea Siku Moja tu,, ukakutana na mtu usiyemjuwa,, akakwambiya MUNGU atakufanikishia shida zako za moyoni,,, unapaswa kusrma AMEEN,, Sababu hujuwi yule aliyosema maneno yale ni MALAIKA AU BINADAMU,, na hata akiwa BINADAMU pia hujuwi DARAJA LAKE KWA MUNGU,, kwn UCHA MUNGU unatofautiana kwa Sisi ubinadamu,, unaweza kumdharau mtu kwa UFUKARA,, AU MUONEKANO wake wa KIDUNIA alio nao,, lakini kwa MUNGU ni mtu mwenye NGUVU KUBWA SANA za KUOMBA NA KUSIKILIZWA SALA AU DUA ZAKE, , pia hata MALAIKA hujigeuza ktk maumbo ya KIBINADAMU sometimes,, kwahyo tujifunze kuto kumdharau usiyemjuwa,, huenda ikawa UNAMTUSI MALAIKA pasi na kujuwa...
Walokole wa wapi wanasemaga go to hell [emoji41] [emoji41] af acha uchoyo hebu mupe na huyoKha [emoji50] ! Mi mwenyewe nahitaji ufungaji bora, ati assist nikupe wewe??!!
Unahitaji kukemewa kilokole 'Go to hell...'
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mama nami nina moyo, jifanye umepitiwa na usingizi basi usijibu post zake...Walokole wa wapi wanasemaga go to hell [emoji41] [emoji41] af acha uchoyo hebu mupe na huyo
Natamani iwe hivyo ila najikuta nimesoma..Mama nami nina moyo, jifanye umepitiwa na usingizi basi usijibu post zake...
Soma kimyakimya ila usijibu mrembo [emoji6]Natamani iwe hivyo ila najikuta nimesoma..
Basi mwambie asitaje hela kwenye comments zake[emoji41]Soma kimyakimya ila usijibu mrembo [emoji6]
Aisee! Hili jambo ulitakiwa uninong'oneze ili nimpige mkwara kuwa hamna kitu usichopenda kama mwanaume mhongaji.Basi mwambie asitaje hela kwenye comments zake[emoji41]
Dawa ya mtu mwenye kiherehere cha kuhonga ni kuwa mhongaji zaidi yake baaasAisee! Hili jambo ulitakiwa uninong'oneze ili nimpige mkwara kuwa hamna kitu usichopenda kama mwanaume mhongaji.
Haki unaniua kwa presha sasa[emoji26] [emoji26] [emoji26]
Mi nishafika kwenye level ya itapendeza huku nasubiri pesa itoke Urusi sasa yeye anaweza kucash in si nitakukosa [emoji26].Dawa ya mtu mwenye kiherehere cha kuhonga ni kuwa mhongaji zaidi yake baaas
Huwezi kunikosa ila unachukua likizo kidogo tuMi nishafika kwenye level ya itapendeza huku nasubiri pesa itoke Urusi sasa yeye anaweza kucash in si nitakukosa [emoji26].
Hakuna kitu kama hicho, nitashare vingine vyote lakini siyo tamu [emoji34] .Huwezi kunikosa ila unachukua likizo kidogo tu