KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,518
Mie kinachonipa taabu ni hiyo 'ndi ndi ndi' hayo mengine ni marembeshoKwenye bongo fleva hakuna metaphors na subliminal messages?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie kinachonipa taabu ni hiyo 'ndi ndi ndi' hayo mengine ni marembeshoKwenye bongo fleva hakuna metaphors na subliminal messages?
Taabu ni fasiri ya 'ndi ndi ndi' hapo ndio kwenye shidaZote ni nyimbo tu tofauti ni miondoko, kwani wimbo wa Linex -Aifola ukimsikilizisha manzi wako mliyegombana anaweza kukupa jibu gani?
Kwa makabira ya musoma kama waikizu na Jamii zao hilo neno lina maanisha 'ukivua navaa'Taabu ni fasiri ya 'ndi ndi ndi' hapo ndio kwenye shida
Jay dee ni mrembo sana.. She is so beautifulwajaaamen wewe ni kipofu...jide kajaaliwa sauti ya kuimba tuu..hivyo vingine hana hata chembe..upoo
Kwa tafsiri yako 'ndi ndi ndi' ni 'ukivua navaa' nashukuru sana mkuuKwa makabira ya musoma kama waikizu na Jamii zao hilo neno lina maanisha 'ukivua navaa'
kama ulivyohisi mimi ni habash ndio hivyo hivyo unavyohisi jay dee ni mrembo.. mbu mbu mbuJay dee ni mrembo sana.. She is so beautiful
Tatizo umeingiza chuki au we ndio habash mwenyewe
Ni muhimu tukafahamu hiyo 'ndi ndi ndi' manake nini? Halafu hayo maneno “Niliwezaje kutoa vyote ili hali wewe ulininyima vyote” yanatia shaka angefafanua alitoa nini akanyimwa nini?
Sawa mkuu. Huu wimbo kila mtu atakuja na tasfida yake, una maneno yenye utata meeengiwewe hujui kama jamaa aliomba ndogo akapewa but alivyoombwa naniliiuu akagoma kutoa
MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani.
[http://www]
Jide na aliyekuwa mumewe, Gardner
Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi amemuimba mtu fulani kumbe yeye aliimba kwa ajili ya mashabiki wake wote.
“Sijampiga kijembe huyo wanayemsema (Gardner). Mimi nimetumia utunzi wangu kuwakilisha yale yanayotokea katika jamii mbalimbali sasa kama mtu anaona umemgusa fulani atakuwa amejiongeza tu lakini mimi sikumaanisha mtu mmoja bali ujumbe kwa mashabiki wangu wote,” alisema Jide.
Kwenye wimbo huo kuna sehemu Jide kaimba; “Niliwezaje kutoa vyote ili hali wewe ulininyima vyote” ambapo iliaminika amemzungumzia Gardner.
There you go!
we mtoto bwa dar au soweto mbeyaJamen wale wakujiongezaa, angalieni msije mkajioverdozeeyi.. Hii yenu na inawahusu
Me wa hapahapa!!we mtoto bwa dar au soweto mbeya
Mwanamke Sura, Tako na Kiuno ukikosa hivyo hata umiliki Dunia nzima Kidume chako lazima kika Pump hata kitaa kwa housegirl wa jirani!
Mkuu mbona unamdhalilisha, au ndo hiyo 'ndi ndi ndi'Hapo anaposema aiwezaje kutoa vyote anamaanisha TIGO ama?