Jide: Sijampiga kijembe Gadner

Jide: Sijampiga kijembe Gadner

Zote ni nyimbo tu tofauti ni miondoko, kwani wimbo wa Linex -Aifola ukimsikilizisha manzi wako mliyegombana anaweza kukupa jibu gani?
Taabu ni fasiri ya 'ndi ndi ndi' hapo ndio kwenye shida
 
Ni muhimu tukafahamu hiyo 'ndi ndi ndi' manake nini? Halafu hayo maneno “Niliwezaje kutoa vyote ili hali wewe ulininyima vyote” yanatia shaka angefafanua alitoa nini akanyimwa nini?



wewe hujui kama jamaa aliomba ndogo akapewa but alivyoombwa naniliiuu akagoma kutoa
 
Mtafutieni Jide tiba. Acheni tabia za kike wanaume wa Dar ninyi.
 
MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani.

[http://www]

Jide na aliyekuwa mumewe, Gardner

Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi amemuimba mtu fulani kumbe yeye aliimba kwa ajili ya mashabiki wake wote.

“Sijampiga kijembe huyo wanayemsema (Gardner). Mimi nimetumia utunzi wangu kuwakilisha yale yanayotokea katika jamii mbalimbali sasa kama mtu anaona umemgusa fulani atakuwa amejiongeza tu lakini mimi sikumaanisha mtu mmoja bali ujumbe kwa mashabiki wangu wote,” alisema Jide.

Kwenye wimbo huo kuna sehemu Jide kaimba; “Niliwezaje kutoa vyote ili hali wewe ulininyima vyote” ambapo iliaminika amemzungumzia Gardner.
 
Jamen wale wakujiongezaa, angalieni msije mkajioverdozeeyi.. Hii yenu na inawahusu
 
hekima, ni Njema sana ikiwa kila mtu Atamwomba Mungu, Amruzukie, ni vizuri kama wa2 mmeachana basi kukaa kimya ni hekima nzuri sana, maana kila mtu Ana ubaya na uzuri wake. Lindianeni heshima wandugu.
 
Mwanamke Sura, Tako na Kiuno ukikosa hivyo hata umiliki Dunia nzima Kidume chako lazima kika Pump hata kitaa kwa housegirl wa jirani!


Sasa Jide akose tako amekuwa nyoka?
 
Back
Top Bottom