Jifanye wewe ndio mgaga wa kienyeji unipe masharti

Nimecheka adi wapangaji wezangu wamekuja kunigongea

Mimi mwenyewe iyo ndo time yangu nashindwa kabisa kuitoa moyoni na hii yanga zinanitesa sana

Hahahaha wewe kweli uko pabaya

Manchester united+Yanga=Kifo cha kujinyonga πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaha wewe kweli uko pabaya

Manchester united+Yanga=Kifo cha kujinyonga πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha tu maisha yananichanganya, mpira ndo usiseme afu kibaya zaidi sina ata wa kunifariji usingekua mziki sijui ningeishije
 
Nast c inaitwa everything
Jason derulo if am lucky


Na nyingine nyomi
Hizo mbili nasikiliza sasa hivi nishazidownload,siku ukipata muda naomba unitajie nyingi nyingi
Mziki na mpira ndio starehe zangu kubwa
 
Acha tu maisha yananichanganya, mpira ndo usiseme afu kibaya zaidi sina ata wa kunifariji usingekua mziki sijui ningeishije
Mie pia bila mziki ningekuwa vibaya zaidi na simba sio mbaya sana inatia moyo
 
Shatti ni moja tu... Ingia hicho chumba cha pili vua nguo zote na uiname kuna mzimu wangu utakuja sasa hivi. Mimi naenda kuwaletea KY ila wewe anza kwa kusikiliza wimbo wa Mwanza wa Rayvanny
 
0677 062 998

Namba ya joanah hiyo hapo...sasa ndugu mganga naomba unisaidie niitoe moyoni man chester united,inanipa stress nataka niachane nayo
Nimeitumia muamala hii namba jina likatokea Jokate Mwegelo. Hivi unataka niunganishwe kwenye kesi ya uhujumu uchumi na kutakatisha papuchi za chama na serikali...???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…