Basi Card haina hela ndo maana hawajaweza kata hela lkn ile point wanaship wanakata hela yao kwenye card iwapo haina hela watakutumia email kwamaba either ukikishe card iko sahihi au uhakikishe kuna credit
Wadau naomba mnieleweshe. Je ni sahihi na salama kumtumia seller paypal adress yangu? Manake kanambie nimtumie my paypal adress anitumie invoice
Sawa lakin mbona wameship mzigo alaf bdo cjawalipa na nna utrack nauona unazidi sogea EMB Chek hzo screenshot
Mkuu una bahati wewe hajakuibia huyo mchina bdala ya kutafuta watu kam sisi tupo nje nyinyi mnatafuta Ebay au amzon ngojeeni muibiwe pesa zenu . Ukinataka ninaweza kukusaidia nitumie email baruwa ya pep Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.comMm eBay nachukuaga sana mizigo
Na bidhaa nyingi nauza humu jf
Tumia search button kutafuta "soln to hypehydrosis" au "soln to premature ejaculation"
mkuu chief-mkwawa mm natumia box la chuo hivo silipiagi kitu chochote zaidi ya ile shiping fee iliyoandikwa na muuzaji
Kama alivyo sema chief-mkwawa inabidi kuangalia repitation ya seller
Maana mm kama mnakumbuka nilianzisha thread ya "hivi eBay ni genuine market place" sababu niliona iPhone 5 $14.99 na Mac book mpya $24.99
seller alikuwa wa china na akuwa na positive feedback hata moja
Baada ya dakika na baada ya mm kufanya paymeny nikaambiwa kwa email item removed
Namshukuru Mungu nili open case nakikawa refunded lkn hadi leo hii refund sijawahi kuiona kwenye Bank statement naliamua chuna tu
HOPE YOU WILL LEARN FROM WHAT HAPPENED TO ME
Aione: JZHOELOMkuu una bahati wewe hajakuibia huyo mchina bdala ya kutafuta watu kam sisi tupo nje nyinyi mnatafuta Ebay au amzon ngojeeni muibiwe pesa zenu . Ukinataka ninaweza kukusaidia nitumie email baruwa ya pep Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
okay brother, mimi niko malimbe mwanza saint augustine na ni watu wengi sana wanataka kununua vitu online almost kila wiki watu watatu wanne wananitafuta kuhusu hilo suala hivyo nadhani base nzuri ipo mkuu, pia nilikuwa nazungumzia paypal account yako ili mtu akulipe shipping costs za kuja Tz pamoja na kukulipa wewe kiurahisi ili mambo ya western union yasihusike, iwe ni mtu kukujulisha kuwa ananunua mzigo wewe umpe go-ahead anunue yeye mwenyewe aship kuja kwako, ukifika kwako wewe utampa costs za shipping kuja bongo na kiasi chako ,yeye atakutumia paypal, ukishapata malipo yake paypal (na nadhani ni instant) unamtumia via DHL au FEDeX kama gift.... inshort wewe unakuwa kama myus lakini local mkuu. and i assure you watu wakikujua utakula faida nzuri sana kaka..
sawasawa mkuu. basi kwa sasa its best ufanye mchakato wa kutupatia address yako ya us kaka, ill be the first of your transists kaka, one more question upo wapi in the states mkuu, na ukitaka hii kitu iende smooth zaidi ts best uwe na account ya paypal inayokubali malipo tuweze kukulipa percent yako kirahisi na kwa haraka.. ila ombi kubwa ni kuwa kama unampango na uko serious kufanya hii bussiness tunakuomba uship kwa DHL au FEDEX na mizigo yetu uiship kama GIFT ili tuepuke kodi za huku kwetu mkuu... haya ni mawazo yangu ya haraka kaka @waltham
Mkuu una bahati wewe hajakuibia huyo mchina bdala ya kutafuta watu kam sisi tupo nje nyinyi mnatafuta Ebay au amzon ngojeeni muibiwe pesa zenu . Ukinataka ninaweza kukusaidia nitumie email baruwa ya pep Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
Nitafute kwa njia Email Addreess yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com Watu wengi wana danganyika Eti kununuwa vitu kwa njia Ebay au Amazon vingi hivyo vitu vinakuwa vimeshatumika used na havina Garantii kwa mfano umenunuwa Simu ya Mkono Samsung Galax umetumia kwa mwezi mmoja imeharibikaNaomba nikutafute pia mkuu
Nitafute kwa njia Email Addreess yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com Watu wengi wana danganyika Eti kununuwa vitu kwa njia Ebay au Amazon vingi hivyo vitu vinakuwa vimeshatumika used na havina Garantii kwa mfano umenunuwa Simu ya Mkono Samsung Galax umetumia kwa mwezi mmoja imeharibika
na pesa yako imekwenda na maji hutoweza kuwarudishia hao AEbay wala amazon. Lakini ukinunuwa kwa mtu aliye nje na atakupa risiti ya garantii ya miaka 2 ikiharibika unatengenezewa bure bila ya malipo au wanakupa simu nyingine mimi siwashauri watu wanunuwe vitu
kwa njia ya Online Ebay wala amazon bora tafuta watu wa njeya nchi kama sisi ununuwe Simu au Laptop kwa gharama lakini una uhakika hiyo Laptop au Simu ni Mpya na Origanall na inayo Garantii ikiharibika unatengenezewa bure au unalipwa simu nyingine mpya kabisa.
Nitafute kwa njia Email Addreess yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com Watu wengi wana danganyika Eti kununuwa vitu kwa njia Ebay au Amazon vingi hivyo vitu vinakuwa vimeshatumika used na havina Garantii kwa mfano umenunuwa Simu ya Mkono Samsung Galax umetumia kwa mwezi mmoja imeharibika
na pesa yako imekwenda na maji hutoweza kuwarudishia hao AEbay wala amazon. Lakini ukinunuwa kwa mtu aliye nje na atakupa risiti ya garantii ya miaka 2 ikiharibika unatengenezewa bure bila ya malipo au wanakupa simu nyingine mimi siwashauri watu wanunuwe vitu
kwa njia ya Online Ebay wala amazon bora tafuta watu wa njeya nchi kama sisi ununuwe Simu au Laptop kwa gharama lakini una uhakika hiyo Laptop au Simu ni Mpya na Origanall na inayo Garantii ikiharibika unatengenezewa bure au unalipwa simu nyingine mpya kabisa.
mwamba ngoma uvutia kwake
Sas ndugu,kuna vitu nyinyi mkiagizwa mnapata tabu sana,maana sisi wengine tunanunua vitu ambavyo hamvijui,msifikiri kila mtu anaagiza laptop na cmu,wengine cc tuna nunua tools,spear parts,na vitaka taka vingine,so hamchelewi kusema hicho ki2 cjakipata,sasa tunaona bora tukimbilie huko ebay.that is it
wewe Tetea Ubovu wa Ununuzi wa online wa Ebay na Amazon shauri yako utanunuwa vitu vilivyokwisha tumika na utatumia muda mchache mchezo kwisha shauri yako.ni kweli kabisa, nyie watu mlio nje ni kweli mtanunua na viwe na garantee lakini shida ni bei mkubwa, licha ya hivyo hata sisi tunaweza kununua vipya vyenye guarantee kwenye official websites na tukavipata within a week mkuu MziziMkavu , ni rahisi via myus.com, ebay watu tunakwenda kwa unafuu wa bei, ila amazon iko tofauti na ebay, amazon kuna baadhi ya bidhaa wanafunga na kuship wao kama amazon ana haijalishi uko wapi guarantee yako iko palepale kwahiyo bwana MziziMkavu usipotoshe wanaforum na nakubaliana na njunwa wamavoko kuwa unavutia kwako, watu mlioko nje ni hanging option ya mwisho tunapofeli kudeliver kwa aothorised companies kama myus, na online marketing sio simu na pc, watu wananunua hadi mashuka,viatu hata ukitaka mswaki.samahani kama nimeongea out of line ila thats the truth mkuu.
wewe Tetea Ubovu wa Ununuzi wa online wa Ebay na Amazon shauri yako utanunuwa vitu vilivyokwisha tumika na utatumia muda mchache mchezo kwisha shauri yako.
Wakuu ebay ni sehemu ambayo wauzaji(Seller) na wanunuaji(Buyer) wanakutana
Muuzaji(Seller) anajiunga kwa kufungua Account ebay na kisha anatangaza kitu anachokiuza akiwa popote pale Duniani
Mnunuzi(Buyer) anajiunga kwa kufungua Account ebay popote alipo Duniani kisha anachagua bidhaa nayoitaka iliyotangazwa na Muuzaji(Seller) ana inunua online.
Ili kukamilisha zoezi la malipo na kuuziana bila kuibiana ndio sasa anaingia Pay pal
Pay Pal ni njia ya malipo ambapo mtu yeyote anajiunga ili mradi awe ni mteja wa Bank inayotoa Card za Master au Visa Card
Kibongo Bongo CRDB wapo vizuri, baada ya kufungua Acc na kupewa Master/Visa Card yako unarudi tena CRDB kuomba wai link Master/Visa Card yako iweze kufanya online Transaction kwa kujaza form maalumu then you're done
Baada ya kadi yako kuwa Linked unajiunga kwa kufungua Acc Pay Pal kwa maana ya kwamba unawapa details za Account yako na kuwapa ruhusa kutoa pesa kwenye account unapo waomba kufanya hivyo
Jinsi ebay na Pay Pal wanavyofanya kukamilisha mpango mzima
ebay ni kama soko ambalo watu hawaonani, mmoja yupo Hong Kong anauza iphone mwaingine Yupo Manzese Tz anataka kuinunua lakini wanakuta online through ebay. so huwezi ukamtumia tu mtu hela kwenye acc ya bank maana anaweza kuingia mitini na asiwepo wa kufuatilia
Sasa wanapotaka kulipana Pay Pal anaingia katikati kama bima wa malipo kwa kuhakikisha anamjua vyema Muuzaji(Seller) ambaye ndio mlipwaji
Mlipaji aka Mnunuzi(Buyer) aliyeko Manzese hamlipi direct mlipwaji aka Muuzaji(Seller) aliyeko Hong Kong,
Anachofanya Mnunuzi(Buyer) anampa ruhusa Pay Pal atoe pesa kwenye Acc yake ya bank kutumia Master/Visa kisha amlipe Muuzaji(Seller)
Kwakuwa Pay Pal anakuwa amechukua dhamana ya malipo ya mauziano yenu anawajibika kuhakikisha Muuzaji(Seller) ana bidhaa kweli anayouza na anaaminika atatuma kwa Mnunuzi(Buyer) kile alicho tangaza,....Fail to do so basi Pay Pal atawajibika kumrudishia Mnunuzi(Buyer) pesa yake, na baada ya hapo Pay Pal kushirikiana na ebay ndio watao mtafuta na kumbana Muuzaji(Seller) kwa utapeli alioufanya lakini wewe utakuwa tayari umerudishiwa pesa yako iwapo watajiridhisha kuna uvunjifu wa makubaliano.
CHANGAMOTO
Mara chache sana inaweza kutoke Muuzaji(Seller) akawa tapeli maana ili uwe Muuzaji ni lazima lazima ebay na Pay Pal watataka kujirisha lakini changamoto ipo baada ya kurudishiwa pesa zako
Mifumo ya Pay Pal yetu wanasema hairuhusu kupokea Pesa maana mabank nasikia sijui hayajaingia mikataba gani I dont know, so kibongo bongo acc zetu za pay pal ni kwa kulipia tu na si kupokea pesa(wataalamu watatusaidia katika hili)
Jambo lingine ni wizi wa mizigo Posta, binafsi ni muhanga wa hili.
Mwaka juzi niliagiza BlackBerry yangu lakini ilipotelea Posta na sijaipata hadi leo, nilianza kumsumbua Buyer lakini alinithibitishi mzigo umetumwa na hadi tarehe ulipopekelewa Bongo, nilipo wabana Posta wakaanza kunizungusha tu.
Na hii ndio maana Buyer wengi hawatumi(ship) mizigo Africa maana Posta za kiafrica ni majanga kwa wizi na hasa ukituma vitu vidogodogo vya thamani ya kuonekana kama Simu kamera nk, mara nyingi wana iba
Kuna baadhi ya items ukiagiza utakutana na mkono wa TRA, hawa jamaa ni wasumbufu balaa ukiingia kwenye kumi nanane zao, watakutwanga makodi hadi uchanganyike au la sivyo ukate "kitu kidogo"
Hakikisha unaangalia Feed back na Reputation ya Muuzaji(Seller)
Hakikisha unasoma kwa makini na kuelewa discription ya item, ikiwezekana muulize Buyer kama hujaelewa.
Epuka kutumia njia zingine zaidi ya Pay Pal kama means ya malipo.Unaweza ku bid item alafu ukashangaa unapoke email ianakuambia ipo items kama hiyo kwa bei ndogo......usi jaribu
Shipping nayo ni topic ndefu kidogo natumai wapo wadau wataifafanua vizuri
Jamani mie nikitaka kununua ebay mzigo nakuta gharama ya kusafirisha ni kubwa kuliko gharama ya mzigo,nifanyeje?
Hivi kitu kikiwa shipped kwa USPS First Class Mail Intl toka USA inachukua muda gani kufika Tanzania?
depends na location alipo seller na ulipo wewe, ila usps uwa ni less than a week uwa wanaandika 3 to 5 working days, kukiwa hakuna maelezo unaweza m pm seller. Mimi nilinunua kitu uingereza seller ikatumwa kwa royal mail na akasema itafika in 3 to 5 days, kweli kifaa kikafika ila ishu ikawa posta. Jamaa wazushi sana mpaka napata mzigo nshampm sana seller na akaconfirm mzigo ushatumwa, kumbe ulikuwa tu post mie kila kukicha naenda hamna kitu