Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Baada ya kusoma hii mada nami nilisema ngoja nijaribu kununua kitu ebay,kwa kuanzia niliamua kununua kitu cha bei rahisi
Nilifungua account ya Paypal nikalink na account yangu ya Equity Bank then nikanza mchakato wa kuchagua kitu cha kununua.Seller niliyenunua kwake alikuwa na rating ya 96.3%

Nilibid Power bank ya 20,000mAh nikashinda kwa $16.28 ambazo ni Tshs. 28,000 ilikuwa tarehe 24/May/2014 nikalipia through paypal 28/05/2014 nikachat na Seller akaniambia" it will take 15-20 working days".Mzigo ulifika 10/06/2014 nikaenda kuchukua Posta na nikaukuta uko poa,Hakuna gharama yeyote niliyolipia Posta na item ilikuwa free shipping
Nina mpango wa kununua tablet siku za mbele

Mkuu, hawa Eguity bank wanatoa huduma ya paypal, na kujiunga hawana longo longo kama CRDB?
 
Mkuu, hawa Eguity bank wanatoa huduma ya paypal, na kujiunga hawana longo longo kama CRDB?

Sifahamu longolongo za CRDB but Equity wana kadi za VISA ukiwa na hiyo card unafungua account ya paypal then unalink na account yako
Ni rahisi sana
 
Sifahamu longolongo za CRDB but Equity wana kadi za VISA ukiwa na hiyo card unafungua account ya paypal then unalink na account yako
Ni rahisi sana

Ok ngoja nifuatilie.
 
Leo nimefanikiwa kupata shipment yangu ya kwanza kati ya mbili nilizonunua online ... kwa manufaa ya wote, zoezi zima lilienda kama ifuatavyo..

Baada ya kukamilisha ku -link na paypal online Atm card yangu, tarehe 24 nikanunua earphone kwa dola 34, (free shipping ) hapa contcacts zangu wakachukua zile nilizotumia kujusajili paypal , jina langu , email adress yangu, namba yangu ya simu ie. +255...... , mkoa na mtaa , sina sanduku la posta kwa hiyo sikujaza box namba. free shipping zinatumwa through registerd mail ( 5 to 45 days) kwa hiyo baada ya kununua nikapata email kutoka kwa seller ikiwa na tracking number ,baada tu ya kununua nikapata sms kwenye simu yangu kuwa nimetoa ths 56700 , ina maana rate ya dola kwa transaction hiyo ilikuwa kama $1-tsh 1660. jana nilitumiwa sms na watu wa posta kuwa kuna rejista yangu, leo nimekwenda posta mpya na kuchukua mzigo,upo kama nilivyoagiza, bila tatizo lolote na sijalipia chochote.

tarehe hiyo hiyo nikanunua simu kupitia hapa kupitia etotalk , thamani yake iliuwa ni dola 228, hapa seller alinipa option tatu, DHl china dola 55, (2-7days delively) DHL dubai dola 42 (7-10days ) ya tatu iliuwa ni registerd airmail, dola 25 (5-45 days ). nikaopt Dhl dubai kwa hiyo gharama yote ilkawa dola 270, hapa baada ya kufanya manunuzi kupitia paypal nikapata sms ya kutoa ths 457699 kwa rate ile ile ya 1$- ths 1600, kama seller wa mwanzo alivyofanya naye akanipatia tracking number , challenge ni kuwa etotalk wapo hongkong kwa hiyo mzigo ulikuwa unapitia kwa courier agent wa huko (zj express) kwanza ,kabla ya kufika Dhl dubai. track number niliyopewa ilikuwa ya zj express ,siku tatu za kwanza nilikuwa na track kupitia huko ,mzigo ulipofika dubai nikapewa track number ya dhl, trackin inaonesha simu tayari imeshafika Dar, DHL wanafanya clearance ambayo wanasema itabidi nilipe kodi, uzuri ninayo tin number, nafikiria kama nisingekuwa nayo delays zingekuwaje, ukizingatia gharama za juu wanazochaji kusafirisha mizigo,nilitegemea shipment zao zingekuwa super fast. ila usumbufu unaojitokeza huko dhl unakula muda na kukatishaa tamaa sana , nitaendelea kuwajuza siku nitakapokamilisha zoezi hilo huko dhl.

Nimejifunza registered air mail haina usumbufu, japo challenge iko kwenye usalama wa mizigo,kwa wasio nabox namba kama mimi inabidi ukachukue mizigo posta mpya, that is, kama rejister haina box number haitoki makao makuu.



ahsante nakuomba utushirikjshe pia ktk ulipaji kodi
tujifunze zaidi nazaidi ubarikiwe
 
Jamani nashukuruni sana sababu nimejifunza mengi katika uzi huu. Na mimi nataka kuagiza accessories ila shida sina Tin number nataka kutumia DHL ili mzigo ufike salama. Ni piece moja tu. Sijui naweza tumia njia gani itakayonihakikishia napata mzigo. Hata kama itakuwa late ila usipotee maake pesa zenyewe ni za kudunduliza wakuu
 
samahani wakuu,nilijaza form ya online transaction benk ya CRDB cku 9 zilizopita lakn nikijarib kulink a/c yang na paypal inasema a/c haijathibitishwa,nifanyeje au ndo usumbufu wa crdb hapo? lakn pia kuna mdau amedokeza kuhusu tin # kuhusu DHL shiping,naomba ufafanuz naipataje? na wapi naweza kuipata?ahsante.
 
Niliagiza kitu kingine tena toka China kwa free shipping.. Natarajia kukipata kuanzia wiki ijayo
 
wakuu mimi nilijaribu kuunga master card yangu ya nbc na paypal ikakubali bila hata kujaza hizo form za benki na wala sikwenda benki kuverify master card yangu.ila nimeshanunua item toka ebay kwa hii hii master card yangu sasa ipo njiani kuja nchini. sa naomba mnijuze je nbc hawataifunga card yangu kweli pili imewezekanaje kununua item wakati siku verify card yangu kwny paypal akaunti
 
wakuu mimi nilijaribu kuunga master card yangu ya nbc na paypal ikakubali bila hata kujaza hizo form za benki na wala sikwenda benki kuverify master card yangu.ila nimeshanunua item toka ebay kwa hii hii master card yangu sasa ipo njiani kuja nchini. sa naomba mnijuze je nbc hawataifunga card yangu kweli pili imewezekanaje kununua item wakati siku verify card yangu kwny paypal akaunti
sijui umewezaje ila nnachojua by default kadi uwa zimekuwa disabled kufanya transaction za online kua void mtu kutumia kadi isiyo yake, kwa wzungu unaona credit card znavyoibiwa.......

pili ili uweze kununua vitu ebay huwezi kutumia kadi yako direct ila kwa kupitia paypal, paypal lazima waverify akaunti ya benki au kadi yako ambpo hutoa hela na kukutumia code ambapo ukiverify hela inarudishwa (hapa huwezi kupata code mpaka uende ndani benki kwa teller)
 
sijui umewezaje ila nnachojua by default kadi uwa zimekuwa disabled kufanya transaction za online kua void mtu kutumia kadi isiyo yake, kwa wzungu unaona credit card znavyoibiwa.......

pili ili uweze kununua vitu ebay huwezi kutumia kadi yako direct ila kwa kupitia paypal, paypal lazima waverify akaunti ya benki au kadi yako ambpo hutoa hela na kukutumia code ambapo ukiverify hela inarudishwa (hapa huwezi kupata code mpaka uende ndani benki kwa teller)

Kwanza lazima ujue kwamba sio kila Debit card iko disabled mm natumia Banc ABC cash card iko enabled by default kiasi kwamba mtu akiokota anaweza niliza(uzuri wa cash card hazina majina sijui kama unaweza kufanya non-paypal transaction bila jina la acc)

Mimi nafikiri ni urasimu tu wa baadhi ya bank ila sio zote zina hizo limitation

Kuhusu verification sio lazima pia mimi nilijiunga paypal bila kujua hiyo verification ni kitu gani na bila kuifanya...nilifanya malipo mengi tu lkn siku moja timbwiri mtu mmoja akakataa payment zangu akasema CARD nimeiba na mwisho wa siku paypal wakijua watamkata hiyo hela...Ndo nikambembeleza asi terminate hiyo transaction anielekeze jinsi ya ku-verify ntafanya within 2 days jamaa akakubali na nika verify card ...lkn nimeitumia kwa mda mrefu bila shaka yoyote si eBay tu bali website nyingine...

Kumbe basi Verified account inaongeza trust katika ya wewe na muuzaji wako pia kama card yako inaweza kupokea malipo kama hauja verify wanakua wameku limit kiwango cha kupokea hela hivo hivo katika kutuma wanakua wameku limit(sikumbuki viwango ila vimeanishwa kwenye paypal community)
 
Kwanza lazima ujue kwamba sio kila Debit card iko disabled mm natumia Banc ABC cash card iko enabled by default kiasi kwamba mtu akiokota anaweza niliza(uzuri wa cash card hazina majina sijui kama unaweza kufanya non-paypal transaction bila jina la acc)

Mkuu mi ninavyofaham non PayPal transactions unahitaji card no tu na si akaunti no.
 
Mkuu mi ninavyofaham non PayPal transactions unahitaji card no tu na si akaunti no.

Mm nimesema kuhusu "jina la account"
Maana non paypal transaction huwa wanaomba Jina,card number na 3 digts za security code"
 
Kwanza lazima ujue kwamba sio kila Debit card iko disabled mm natumia Banc ABC cash card iko enabled by default kiasi kwamba mtu akiokota anaweza niliza(uzuri wa cash card hazina majina sijui kama unaweza kufanya non-paypal transaction bila jina la acc)

Mimi nafikiri ni urasimu tu wa baadhi ya bank ila sio zote zina hizo limitation

Kuhusu verification sio lazima pia mimi nilijiunga paypal bila kujua hiyo verification ni kitu gani na bila kuifanya...nilifanya malipo mengi tu lkn siku moja timbwiri mtu mmoja akakataa payment zangu akasema CARD nimeiba na mwisho wa siku paypal wakijua watamkata hiyo hela...Ndo nikambembeleza asi terminate hiyo transaction anielekeze jinsi ya ku-verify ntafanya within 2 days jamaa akakubali na nika verify card ...lkn nimeitumia kwa mda mrefu bila shaka yoyote si eBay tu bali website nyingine...

Kumbe basi Verified account inaongeza trust katika ya wewe na muuzaji wako pia kama card yako inaweza kupokea malipo kama hauja verify wanakua wameku limit kiwango cha kupokea hela hivo hivo katika kutuma wanakua wameku limit(sikumbuki viwango ila vimeanishwa kwenye paypal community)

Wanalimit mwisho mzigo wa 500 USD huwezi kuagiza.

Mimi mpaka leo sijaverify na sijui jinsi ya kuverify kwasababu nilienda CRDB wakanipa statement ila zile number hazikuonekana.

Naomba nielezee zaid kuhusu hiyo Banc ABC nataka kuhamia
 
Wanalimit mwisho mzigo wa 500 USD huwezi kuagiza.

Mimi mpaka leo sijaverify na sijui jinsi ya kuverify kwasababu nilienda CRDB wakanipa statement ila zile number hazikuonekana.

Naomba nielezee zaid kuhusu hiyo Banc ABC nataka kuhamia


Crdb nenda ukaombe Universal Bank Statement ndio utaweza kuona iyo transaction ya Pay pal ili uweze kuverify.
 
wakuu mimi nilijaribu kuunga master card yangu ya nbc na paypal ikakubali bila hata kujaza hizo form za benki na wala sikwenda benki kuverify master card yangu.ila nimeshanunua item toka ebay kwa hii hii master card yangu sasa ipo njiani kuja nchini. sa naomba mnijuze je nbc hawataifunga card yangu kweli pili imewezekanaje kununua item wakati siku verify card yangu kwny paypal akaunti

kuna siku itakuponza utatuma hela tena siku hiyo umetuma mpunga mkubwa seller ata reject transaction na haita appear kwenye acc yako...Haya mambo ya Online purchase sometimes ni risk mostly ukirudishiwa hela/refund na isionekane katika Bank statement afu customer care wa Bank yako wabovu wasikupe msaada...utaishia kujuta

Yaani fanya uwezolo uverify hiyo pp acc.
 
wakuu mimi nilijaribu kuunga master card yangu ya nbc na paypal ikakubali bila hata kujaza hizo form za benki na wala sikwenda benki kuverify master card yangu.ila nimeshanunua item toka ebay kwa hii hii master card yangu sasa ipo njiani kuja nchini. sa naomba mnijuze je nbc hawataifunga card yangu kweli pili imewezekanaje kununua item wakati siku verify card yangu kwny paypal akaunti

Mkuu nakushauri nenda banc ABC kafungue account ya cash card, it takes dk 20 tuu ila uwe na kitambulisho chako na tsh 5000/= ya kufungulia baada ya hapo wewe ni kuweka pesa na kufanya manunuzi tuu that simple


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Back
Top Bottom