Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Mkuu nakushauri nenda banc ABC kafungue account ya cash card, it takes dk 20 tuu ila uwe na kitambulisho chako na tsh 5000/= ya kufungulia baada ya hapo wewe ni kuweka pesa na kufanya manunuzi tuu that simple


Sent from my iPad using JamiiForums

verfying paypal account is innevitable hata ufungue acc ya Bank gani...
 
Wadau nahitaji msaada kidogo kuhusu shipping adress pale ebay.kuna sehem unajaza adreess 1 na pengine adress tu.sasa adress 1 mimi nilijaza p.o box 110 na pale adress 2 niliacha kwa kuwa ni optional.je nilikuwa sahihi kujaza hilo sanduku langu la posta au kuna njia nyingine ya kuandika hyo adress
 
danmarc, hiyo anwani ya pili unaweza kuacha tu bila kujaza.

Hiyo ya kwanza ikiwa umejaza P. O Box 110 labda Dar utakuwa sahihi
 
Last edited by a moderator:
danmarc, hiyo anwani ya pili unaweza kuacha tu bila kujaza.

Hiyo ya kwanza ikiwa umejaza P. O Box 110 labda Dar utakuwa sahihi
Mkuu nilijaza p.o box 110 MWANZA.
Hapo inamaana hautafika mzigo au?
 
Last edited by a moderator:
Wanajanvi vip kuna mtu anae fahamu manunuzi kupitia alibaba ya china?
kama yupo naomba anisaidie uzoefu wake wa usala wa hawa jamaa
 
Kweli kinota hata mimi natamani kusikia kuhusu hao jamaa
 
Last edited by a moderator:
Wanajanvi vip kuna mtu anae fahamu manunuzi kupitia alibaba ya china?
kama yupo naomba anisaidie uzoefu wake wa usala wa hawa jamaa

tumia debit card yako ambayo imewezeshwa online
 
Alibaba iko poa tu, ila unatakiwa kuwa makini sababu scam ni wengi sana tena wana website kabisa but most ya price zao ziko chini sana. Scam wengi wanapenda kutuma offer kwenye email ya mtu hata kama hujawauliza, ukiona email kutoka kwa supplier ambaye hujamuuliza product zake uje mostly itakuwa ni scam. So chakufanya usishawishike na bei ndogo wanayokupa, nenda kwenye alibaba home page na uandike jina la kampuni ya huyo jamaa kwenye search box ya suppliers. Kama hiyo kampuni haipo uje ni scam. kama ipo check years of supply, response feedback, na kama wapo escrow.
Wishing you luck.
 
Alibaba iko poa tu, ila unatakiwa kuwa makini sababu scam ni wengi sana tena wana website kabisa but most ya price zao ziko chini sana. Scam wengi wanapenda kutuma offer kwenye email ya mtu hata kama hujawauliza, ukiona email kutoka kwa supplier ambaye hujamuuliza product zake uje mostly itakuwa ni scam. So chakufanya usishawishike na bei ndogo wanayokupa, nenda kwenye alibaba home page na uandike jina la kampuni ya huyo jamaa kwenye search box ya suppliers. Kama hiyo kampuni haipo uje ni scam. kama ipo check years of supply, response feedback, na kama wapo escrow.
Wishing you luck.

Hwa siwaamini hawa Alibaba pamoja na bei zao hawaaminiki kabisaaa
 
verfying paypal account is innevitable hata ufungue acc ya Bank gani...

Si kweli, sio lazima uverify especially mastercard ninazo na nafanya shopping kama kawaida ebay na sija verify only debit card
 
Jamani nashukuruni sana sababu nimejifunza mengi katika uzi huu. Na mimi nataka kuagiza accessories ila shida sina Tin number nataka kutumia DHL ili mzigo ufike salama. Ni piece moja tu. Sijui naweza tumia njia gani itakayonihakikishia napata mzigo. Hata kama itakuwa late ila usipotee maake pesa zenyewe ni za kudunduliza wakuu

Watu wanasema siku hizi postal haina usumbufu na mizigo haipotei kabisaa sema inachukua mda mrefu kidogo
 
Kaka Papizo hana niliposema veryfying Paypal account is a must ina nimesema ni innevitable(haizuiliki) naona wewe unajisifia lkn one day inaweza kukutokea puani tu iwapo seller atakataa hela kutoka kwa unverified account maana nyingi udhaniwa ni za wizi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom