Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jamani nimenunua kitu mtandaoni kupitia Banggood.com wameprosec zen wamecancel oda yangu nifanyaje ili pesa yangu irudi. Pia na ebay nimelipia lakini akuna nilichojibiwa. Zote nimelipia kupitia paypal
 
EBay ni salama mara chache sana huwa watu wanazurumiwa but hzo site zingine ndio lazima utalia
 
EBay ni salama mara chache sana huwa watu wanazurumiwa but hzo site zingine ndio lazima utalia
Upo sahihi. Mimi bidhaa zangu kadhaa hazikufika nimewasiliana na supplier na wamenitumia tena, tena anakuomba supplier akurudishie hela au akutumie tena.
7e12470f324deb6766ccdbcd643d0743.jpg
[/IMG]
e0cc678b27211961e0de1f5f44f633cd.jpg
[/IMG]
 
Vp paypal wakirudisha pesa wanairudisha katika account yako au inakuaje
 
Amazon na Ebay ndio site salama kununua bidhaa
Vipi kuhusu Alibaba na Aliexpress, wao usalama ukoje? maana nimejaribu kuwachek nikaona kuna vitu vya bei rahisi kulinganisha na ebay na amazon
 
Wakuu, kuna mtu yoyote anaejua jinsi TRA / Customs wanavyo calculate tax kwenye bidhaa zinazoingia nchi kuagizwa kutoka ebay au online shopping sites nyingine? Na je vitu gani havitozwi kodi na vinavyotozwa kodi..Naomba kueleweshwa ili. Natanguliza Shukran
 
wakuu naomba mnijuze brach za hiyo bank ABC ziko maeneo gani hapa dar na pia vipi NBC gharama za kufungua akaunti na kupata vis card ni kiasi gani(kwa NBC Bank)
 
Msaada hapo expiration date,tajazaje tarehe ya kikoma wakati sio msafirishaji mie.Naomba msaada wenu.
 

Attachments

  • ice_screenshot_20160503-024341.png
    ice_screenshot_20160503-024341.png
    3.4 KB · Views: 94
ebay wanasisitiza utumie paypal kulipa na kataa kama muuzaji ataomba details zako za akaunti ya benki etc.

na nilichopenda ni, wanakwambia kama hujapata ulichonunua siku kumi baada ya muda wa kufikishwa basi waambie ebay na muuzaji ili waweze kujua kimepotelea wapi pia wanaweza kurefund
mkuu samahan kidogo naomba unipe ufafanuz. kuna baadhi ya site kama bestbuy iko certified by pay pal naweza kununua kwa kuanza na utararibu wa pay pal i mean all site except ebay na amazoni nisije kuliwa peya yangu!
 
Nimekuja hapa kutoa experience yangu ya Aliexpress nadhani labda itawasaidi, sasa tarehe 29 niliamua kujitosa aliexpress maana kuna bidhaa niliziona eBay sema bei ilikuwa juu kidogo sasa nikadownload application yao ya Android, nikasign up (ilichukua dakika chache sana) nikaanza kwa kununua tempered screen protector, cover ya simu, pamoja na cable usb type c to USB ya kawaida (maana Dar nzima nimeikosa).

Sema ukweli nimepapenda aliexpress maana kwanza wanapayment system yao wenyewe ya Alipay haina shida unajaza tu card number basi simple, pili kwenye review watu wanapost hadi picture so unajua kifaa unacho agiza kutafananaje, tatu bidhaa unaweza kutrack kwenye mobile app pale pale nne buyers wako
fasta sana kujibu matatizo uliyonayo.

Sasa kwenye bidhaa yani nilivyo Agiza na kulipia shipping (ya juu ilikuwa 3$) vyote vimefika Dar tarehe 11 mwezi huu so vilichukua siku 12 na posta wakanitumia message nikachukue.

So kama kuna mtu alikuwa anaogopa ondoa shaka cha msingi soma review za seller, angalia rating na nunua bidhaa yenye buyers wengi kidogo.. Ndio hayo tu.
 
Nimekuja hapa kutoa experience yangu ya Aliexpress nadhani labda itawasaidi, sasa tarehe 29 niliamua kujitosa aliexpress maana kuna bidhaa niliziona eBay sema bei ilikuwa juu kidogo sasa nikadownload application yao ya Android, nikasign up (ilichukua dakika chache sana) nikaanza kwa kununua tempered screen protector, cover ya simu, pamoja na cable usb type c to USB ya kawaida (maana Dar nzima nimeikosa).

Sema ukweli nimepapenda aliexpress maana kwanza wanapayment system yao wenyewe ya Alipay haina shida unajaza tu card number basi simple, pili kwenye review watu wanapost hadi picture so unajua kifaa unacho agiza kutafananaje, tatu bidhaa unaweza kutrack kwenye mobile app pale pale nne buyers wako
fasta sana kujibu matatizo uliyonayo.

Sasa kwenye bidhaa yani nilivyo Agiza na kulipia shipping (ya juu ilikuwa 3$) vyote vimefika Dar tarehe 11 mwezi huu so vilichukua siku 12 na posta wakanitumia message nikachukue.

So kama kuna mtu alikuwa anaogopa ondoa shaka cha msingi soma review za seller, angalia rating na nunua bidhaa yenye buyers wengi kidogo.. Ndio hayo tu.
Kaka tunashukuru saana.. nilikuwa naomba kama unaweza usceeenshot ile profile ya muuzaji ulionunulia bidhaa maana anaonekana yuko faster katika kuship mizigo... tukimpata atasaidia wengi humu ndani mkuu.. Natanguliza shukrani
 
Kaka tunashukuru saana.. nilikuwa naomba kama unaweza usceeenshot ile profile ya muuzaji ulionunulia bidhaa maana anaonekana yuko faster katika kuship mizigo... tukimpata atasaidia wengi humu ndani mkuu.. Natanguliza shukrani
Bila tabu huyu ndio nimenunulia USB c cable Check out this recommended store on AliExpress. Find great products at low prices!
Wireless Technology - Small Orders Online Store, Hot Selling and more on Aliexpress.com | Alibaba Group
(from AliExpress Android)

Huyu seller sielewi after order yangu atumitena Tanzania
68d1ba20810c03f18a7bd4d7e61492b5.jpg

b65399f42be2a97e97e5dc07f9565001.jpg


Huyu hapa nimenunua Tempered glass Check out this recommended store on AliExpress. Find great products at low prices!
24 hours Service + Fast Shipping + Evan Trade Co,.Ltd. - Small Orders Online Store, Hot Selling premium glass bottles,glass aluminum,premium ink and more on Aliexpress.com | Alibaba Group
(from AliExpress Android)

9d12a747253f0eb008dbc47371b9eaca.jpg




Kwa sasa nasubiria hizi headphones nataka kuangalia kama na hizi free shipping zitafika haraka kama za kulipia

042b035b60d490dfc200297a9f96c6ad.jpg
 
Back
Top Bottom